Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FOR SURE ILA KAMA MLIJENGA MISINGI MIZURI YA URAFIKI NJE YA JF HAUTAATHIRIKA SANAbila kua na bundle la internet huja kutana nao bado, ukipoteza simu, laptop au kifaa chako cha internet n hasara nyingine na ina take time ku recover
Anyway utaona wenye faida kwako ni wapi??ukiombwa kuchaagua moja unadhani lipi jema kwako
hiyo fact yako imeiva vilivyo,, na ina harufu nzuri yaweza kutumiwa na walio wengi wenye mawazo kama yakoAnyway utaona wenye faida kwako ni wapi??
ila personally naona mitandaoni kidogo inanilisha chakula cha roho.tofauti na washkaji wengi kitaa wao vizinga sana na mambo mengine yasiyopendeza ingawa sio wote.btw marafiki wa mitandaoni unakuwa nao wengi hivyo unapata idea nyingi zaidi.kwamaana wengi wape.basi mitandaoni panafaa zaidi ingawa waliopo mitandaoni pia ni washkaji wa kitaa wale wenye akili mbovu
HAHAAA aisee juzi kati nilikwenda moro kutembea nilipofika kule baada yakumaliza mambo yliyonipeleka nikaona nivyema nikiutumia muda wangu kwenda kutembelea Jamaa ambao sikuwahi kuonana nao miaka mingi mnoo ..nilifika mpka kwa mama mmoja hvi ambaye kipindi cha utoto wangu aliwahi kuni treat vyema mnooo ...nimama wa mmoja wa rafiki zangu wa utotoni ..lakini huyo rafiki yangu sasa hvi kaharibika kawa Muhuni yaani acha tu ...daahh wakati nimeaga nikapitia Dukani nikafnya manunuzi flani Hivi nikamwambia yule Jamaa yngu atakapokuwa anarejea nyumbani kwao baada ya kunisindikiza ampelekee bimkubwa wake vile vitu ..Anyway utaona wenye faida kwako ni wapi??
ila personally naona mitandaoni kidogo inanilisha chakula cha roho.tofauti na washkaji wengi kitaa wao vizinga sana na mambo mengine yasiyopendeza ingawa sio wote.btw marafiki wa mitandaoni unakuwa nao wengi hivyo unapata idea nyingi zaidi.kwamaana wengi wape.basi mitandaoni panafaa zaidi ingawa waliopo mitandaoni pia ni washkaji wa kitaa wale wenye akili mbovu
kawaida sana kwa wenye akili za usikuHAHAAA aisee juzi kati nilikwenda moro kutembea nilipofika kule baada yakumaliza mambo yliyonipeleka nikaona nivyema nikiutumia muda wangu kwenda kutembelea Jamaa ambao sikuwahi kuonana nao miaka mingi mnoo ..nilifika mpka kwa mama mmoja hvi ambaye kipindi cha utoto wangu aliwahi kuni treat vyema mnooo ...nimama wa mmoja wa rafiki zangu wa utotoni ..lakini huyo rafiki yangu sasa hvi kaharibika kawa Muhuni yaani acha tu ...daahh wakati nimeaga nikapitia Dukani nikafnya manunuzi flani Hivi nikamwambia yule Jamaa yngu atakapokuwa anarejea nyumbani kwao baada ya kunisindikiza ampelekee bimkubwa wake vile vitu ..
daahhh bas Jamaa baada ya kuona nimetoa Pesa macho yakamtoka mithili ya zinkovinyo ..akanipiga binge silamzinga nika mwambia kuwa nitamtumia Pesa baadae zile nilizokuwa nazo kunamahitaji nataka kwenda kuyanunua zaidi ..Mara nikakutana na kijana mwingine tuliwahi kucheza wote uttoni nae akanipiga mizinga mizito tu .mpka nikawa naiona anga ya dunia kam ya njano ...
daahh nikichoka hoi ...nikaachana nao nakupnda bajaj nikarudi om ...nafika om kila tym Jamaa ananaipigia Simu anaulizia ile Pesa ..niliyomuahidi . yaani kwacha kunipigia jana usiku ..MPKA NILIJUTA KWANINI NILIKWNDA KUMUONA MAMA YAKE