Bado sijaona wa kumzidi Rihanna

Bado sijaona wa kumzidi Rihanna

Ngoma kali kutoka kwa Rihanna
  • Fading
  • Put it up
  • Wild thoughts
  • The monster
  • Fly
  • No love allowed
  • Love the way you lie
  • Man down
  • Needed me
  • What now
  • What's my name
  • Work
  • Teamo
  • Lemon
  • Royalty
  • Unfaithful
  • Rehab
  • We ride
  • Live your life
  • Run this town
  • Talk that talk
  • This is what you came for
  • We found love
  • Hate that I love you
  • Bitch better have my money
  • Umbrella
  • Where have you been
  • Rude boy
  • Diamonds
  • Stupid in love

Niendelee ? Rihanna ni Queen uzi ufungwe
📌🔨 👏👏👏
 
Leta numbers hizo ?

Ukali wa ngoma, hits, performance, tuzo, mafanikio, umaarufu n.k weka pembeni hapa baadae tutazungumzia
Mkuu Taylor Swift ni sweetheart wa wazungu, rekodi anazopiga kwa sasa hamna anayeweza kukimbizana naye. Nimefanya research ndogo tu kwa haraka kuhusu namba zake:
  • Ana tuzo 603, nominations 1199, kati ya hizo grammy ni 12.
  • Ndio msanii wa kike aliyekaa billboard namba moja kwa muda mrefu (Wiki 63)
  • Ameuza jumla ya nakala 114m.
  • Album yake ya Fearless (Mwaka 2009) ipo certified diamond ni album 29 tu kutoka kwa wasanii wa kike zimeweza kufikia rekodi hiyo.
  • Tour yake inayoisha mwakani inategemewa ndio kuwa tour ya kwanza duniani kuingiza dola bilioni 1.
  • Album yake ya Anti hero iliyotoka mwaka jana iliweka rekodi ya kiwa album ya kwanza kuweka nyimbo top 10 yote.
Sisikilizi sana nyimbo zake maana mimi mtu wa hip hop ila kwenye numbers ni wasanii wachache sana wanaweza kushindana na Taylor Swift. Kuna kona nyingine za dunia huwaambii kitu kuhusu huyo mwanadada.
 
Hivi huyo Taylor swift anaimba aina gani ya mziki maana sifahamu ngoma yake hata moja ila anasifiwa na wengi. Anaye jua hits zake hata 5 anifahamishe hapa chini ?
Naikubali sana ngoma yake ya bad blood na ile kaimba na zayn i don't wanna live forever...
 
Taylor mwanzo alikuwa anaimba Country, ila 2014 akafanya transformation kwenda kwenye Pop kwa kutoa album ya 1989!
Ngoma zake kubwa ni pamoja na Blank Space, Shake it off, Cruel Summer, Style na ngoma ya karibuni inayofanya vizuri ni Anti-Hero toka kwenye Album ya Midnight aliyoitoa mwaka jana October!

Kifupi Taylor Wengi wanamconsider kama Music Industry, ameweza kuvunja records nyingi pamoja na kupata tuzo lukuki. Tour yake aliyoipa jina la Eras Tour imempa mafanikio makubwa huku mapato yake yakikadiriwa kufikia usd 1b na zaidi baada ya Tour kuisha.

Pia mpaka sasa ana monthly listeners takribani milion 101, huku akishika nafasi ya pili baada ya The Weeknd.
Huyu demu bhana nimeanza kumfahamu zamani na ngoma zake nazijuajua ila sijawahi kumkubaligi, labda hio Blank space kidogo sana....namuonaga kama hana kitu cha kumtofautisha na wasanii wakike wengine, yaan yupo kama karatasi nyeupe, japokuwa ana mashabiki wengi na most of them ni wanawake.
 
Sio huyo tu pengine Hufahamu wasanii wengi wa USA maarufu, sisi Africa tuna Genre zetu Hip hop, Pop na R&B, wasanii tunao wajua ni Hizo genre, ila genre nyengine kama Rock hizo Country, Jazz na nyenginezo hatuna mda nazo.

Angalia msanii kama Queen ni maarufu kama Michael jackson Usa ila naamini asilimia 99 ya Watanzania hawamjui,
Queen sio msanii, ni Band na lead singer wao alikuwa anaitwa Freddy Mercury.
 
Mkuu Taylor Swift ni sweetheart wa wazungu, rekodi anazopiga kwa sasa hamna anayeweza kukimbizana naye. Nimefanya research ndogo tu kwa haraka kuhusu namba zake:
  • Ana tuzo 603, nominations 1199, kati ya hizo grammy ni 12.
  • Ndio msanii wa kike aliyekaa billboard namba moja kwa muda mrefu (Wiki 63)
  • Ameuza jumla ya nakala 114m.
  • Album yake ya Fearless (Mwaka 2009) ipo certified diamond ni album 29 tu kutoka kwa wasanii wa kike zimeweza kufikia rekodi hiyo.
  • Tour yake inayoisha mwakani inategemewa ndio kuwa tour ya kwanza duniani kuingiza dola bilioni 1.
  • Album yake ya Anti hero iliyotoka mwaka jana iliweka rekodi ya kiwa album ya kwanza kuweka nyimbo top 10 yote.
Sisikilizi sana nyimbo zake maana mimi mtu wa hip hop ila kwenye numbers ni wasanii wachache sana wanaweza kushindana na Taylor Swift. Kuna kona nyingine za dunia huwaambii kitu kuhusu huyo mwanadada.
Hivyo vyote ni uchafu mbele ya Rihanna . Unafahamu ukubwa wa Rihanna kweli ni wa kumlinganisha na hako ka binti seriously ?


With sales of over 250 million records worldwide, Rihanna is the second-best-selling female music artist of all time and the highest-certified female artist of all time on the RIAA's Top Artists (Digital Singles) ranking.
 
Mkuu Taylor Swift ni sweetheart wa wazungu, rekodi anazopiga kwa sasa hamna anayeweza kukimbizana naye. Nimefanya research ndogo tu kwa haraka kuhusu namba zake:
  • Ana tuzo 603, nominations 1199, kati ya hizo grammy ni 12.
  • Ndio msanii wa kike aliyekaa billboard namba moja kwa muda mrefu (Wiki 63)
  • Ameuza jumla ya nakala 114m.
  • Album yake ya Fearless (Mwaka 2009) ipo certified diamond ni album 29 tu kutoka kwa wasanii wa kike zimeweza kufikia rekodi hiyo.
  • Tour yake inayoisha mwakani inategemewa ndio kuwa tour ya kwanza duniani kuingiza dola bilioni 1.
  • Album yake ya Anti hero iliyotoka mwaka jana iliweka rekodi ya kiwa album ya kwanza kuweka nyimbo top 10 yote.
Sisikilizi sana nyimbo zake maana mimi mtu wa hip hop ila kwenye numbers ni wasanii wachache sana wanaweza kushindana na Taylor Swift. Kuna kona nyingine za dunia huwaambii kitu kuhusu huyo mwanadada.
Asipoelewa hapa ndo basi tena
images%20(7).jpg
 
Hivyo vyote ni uchafu mbele ya Rihanna . Unafahamu ukubwa wa Rihanna kweli ni wa kumlinganisha na hako ka binti seriously ?


With sales of over 250 million records worldwide, Rihanna is the second-best-selling female music artist of all time and the highest-certified female artist of all time on the RIAA's Top Artists (Digital Singles) ranking.
Ila we jamaa ni mbishi sana 😅

Mi mwenyew nampenda sana Rihanna ila linapokuja kweny suala la namba, kwa sasa Taylor yupo juu ya Rihanna.
 
Bora nimsikikize Dua Lipa kuliko Taylor Swift
Kama unamuelewa Dua wewe unajua muziki [emoji3]
Wabongo wamekariri story za akina Rihanna tu.
Ile Future Nostalgia ya Dua ni vyuma vitupu mle, na ndo album yenye streams nyingi kwa wasanii wa kike kama 11bilion!
 
Ushapewa namba za kutosha ila bado unabisha.
Numbers gani za kutosha wamenipa kuonesha huyo manzi yupo juu ya riri ?

Hapa ni Numbers zinaongea leta numbers kama hivi

With sales of over 250 million records worldwide, Rihanna is the second-best-selling female music artist of all time behind Madonna and the highest-certified female artist of all time on the RIAA's Top Artists (Digital Singles) ranking.
 
Back
Top Bottom