Bado sina imani na usajili wa Simba

Bado sina imani na usajili wa Simba

Unasemeje

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2021
Posts
249
Reaction score
923
Binafsi nilitarajia msimu huu tutafumua kikosi na kuunda upya kwa kusajili makinda wanaofanya vizuri kwenye vilabu vikubwa, kuanzia walinzi, viungo na washambuliaji.

Hii ingetusaidia sana kwa misimu hata 4 mfululizo. Kwa usajili huu wa kuwarudisha waliofeli maisha ya soka na kuokota goli kipa toka ligi ya 3 brazil aliyecheza mechi 13 na kuruhusu magoli 17 nadhani msimu huu hautafana.

Mo hizo pesa zako unazifanyia nini?
 
Binafsi nilitarajia msimu huu tutafumua kikosi na kuunda upya kwa kusajili makinda wanaofanya vizuri kwenye vilabu vikubwa, kuanzia walinzi, viungo na washambuliaji.

Hii ingetusaidia sana kwa misimu hata 4 mfululizo. Kwa usajili huu wa kuwarudisha waliofeli maisha ya soka na kuokota goli kipa toka ligi ya 3 brazil aliyecheza mechi 13 na kuruhusu magoli 17 nadhani msimu huu hautafana.

Mo hizo pesa zako unazifanyia nini?
Huko Utokolo mna hazina kubwa sana ya vilaza
 
Waliopo wameshindwa kutupa mataji misimu 2 mfululizo, sasa unategemea watakuwa na maajabu gani?
Msimu miwili Simba haijafanya vibaya ila mpinzani wake alikuwa kwenye peak. Labda useme tunahitaji taji la kimataifa na wachezaji hawa hawawezi kutupa.
 
Hii Yanga isiyo na kiungo wa pasi za magoli

Isiyo na fowadi wa maana

Isiyo na kiungo wa ulinzi wa maana

Isiyo na Hela

Ikijitahidi saaana itashika nafasi ya 4 kwenye Ligi
 
Binafsi nilitarajia msimu huu tutafumua kikosi na kuunda upya kwa kusajili makinda wanaofanya vizuri kwenye vilabu vikubwa, kuanzia walinzi, viungo na washambuliaji.
Ingependeza kama ungetaja hao makinda kwa majina yao matatu, vilabu wanavyotoka na umri wao
 
Simba Wamesajili kimihwmuko.

ANGALIA idadi ya mawinga.

1. Miquesson.
2. CHAMA.
3. Saido.
4. Kramo.
5. KIBU.
6 . Opnana.
7. Phili.
 
Back
Top Bottom