Bado Trilioni 3 Tu TRA (Tzn) Kuipita KRA (Ken) Makusanyo ya Kodi. Kishindo Cha Tanzania ya Samia Kitapeleka vilio Kwenye Uchaguzi wao 2027

Sasa nimeelewa ni kwanini uchaguzi wa TAL na Heche ulikutoa machozi.
 
Lete matokeo ya hizo Kodi kwenye maisha ya wananchi wa Kila siku.


Bima ya afya
Elimu ( bodi ya mikopo). Shule zina madawati ?
Barabara wilayani
Umeme
Ajira zikoje Kwa vijana


Kama Kodi hazina matokeo Kwa hivyo nilivyotaja hata tukusanye matrilion 7000 ya dollar hakuna maana.
 
hayo makusanyo hayana faida kama mpaka leo watoto wana kaa chini ili wasome, wananchi wanauwa mamba ili wapate maji, nchi imejaa wachuuzi na si watengeneza bidhaa
 
Miradi isiyokuwa na continuity haina maana. Mradi unajengwa kwa pesa nyingi ndani na miaka miwili ulishakufa.

Projects nyingi za hii serikali ya kifisadi ni White Elephant Projects.

Choke on it.
Mradi hauna continuity ndio nini? 😂😂

Mbona unatapatapa Mzee tatizo nini? Si ulisema tunagawana pesa saizi unabadili magoli? 😁😁

Bado hujasema Hadi useme.Hapa ni Lindi mabilioni Yako kazini Kwa Wananchi 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DFLO6vhtNs0/?igsh=ODEwbXloMW9tZzYw
 
Matokeo ni zaidi ya extra ordinary across sectors na utambue kama Wananchi wako hoi kiuchumi Serikali isingepata hela .

Kazi inaendelea kama unavyoona 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DFKgviaNpSo/?igsh=MWp2MTVjYjFoc3h0dA==
 
Tsh 1 trilion maana yake unaigawana kwa 19 upate KSH.

Tujitahidi hesabu zetu ziwe na uhalisia tunapotaka kufanya mashindano ya kweli.
Hujui kitu wewe ,hesabu ulipata zero bila shaka.

Chukua makusanyo ya Kenya hapo Juu zidisha na 1kes=19Tshs. Utapata jibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…