Bado tunaendelea kumlaani Netanyahu kwa aliyoyafanya huyu Jamaa ataangamizwa vibaya

Bado tunaendelea kumlaani Netanyahu kwa aliyoyafanya huyu Jamaa ataangamizwa vibaya

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Kwa kweli inaumiza sana. Tukiangalia Gaza na Palestine. Kumevurugwa hasa...siyo kipole pole. Amevuruga Hamas na amewatandika Hizbullah kiasi cha kutia aibu. Inaniuma sina raha. Nliposikia ana umwa nikamshukuru Mnyaazi. Jamaa likaondoka Hosp kabla halijapona ili likaendeleze kichapo.

Yule si binadamu wa kawaida. Kweli nimeamini sura si roho. Ukimwona ana sura ya kiupole na hb kabisa. Ila akisema amesema hana masikhara. Leo hii Iran ya kuufyata? Siamini. Iran hii hii ambayo ilitangaza operation promise na sijui nini? Netanyau kaenda kuichapa mle mle ndani mwao kupiga maeneo yenye silaha. Tena kwa dharau ametumia mademu. Yaani mademu wanaenda Iran wanapiga kisha wanaondoka kurudi kwao kupika?

Netanyau si binadamu kweli nawaambia. Assad kakimbia nchi. Assad huyu alikuwa anasaidiwa na Russia. Kakimbia Syria. Ameenda ishi uhamishoni. Houthis wamevurugwa wamechonganishwa wanazichapa na Yemen. Yaani mimi nachoka kabisa. Sielewi nimekuwa oves kabisa. Netanyau tutamwombea afe aiseee....jamaa ni mbabe sana. Waisrael wote hawamtaki kabisa.

Duniani ameambiwa asikanyage atafungwa na hiili alilitangaza Ritz akaelezea vizuri kabisa. Netanyau hatakiwi kukanyaga duniani. Atafungwa, atanyongwa. Watu wake wameuliwa na kutekwa kidogo yeye amezidisha mara 1,000 kuwalipizia kisasi. Huyu jamaa Mnyaazi atamuondoa. Najiuliza tu lini? Maana amejua kutufunga mdomo.

Kwa sasa hatuna hamu kabisa. Yaani tumelegea kama mlenda... Amepapasa maadui wote wa mayahood ule ukanda ...amewatomasa amewalowanisha...wamelendemuka....hoi bin taabani. Wenzangu akina Adiosamigo Webabu Sir John Roberts Malaria 2 wamezila kabisa. Wamekata tamaa. Maana tulitegemea this is the time kuwafuta israel... Aaaah wapi. Wametufuta futa sisi.... Na bado wana randa randa na kubambia bambia watu wengine. Walitudanganya mashoga kumbe...wanachapa mti balaah. Hata wanawake wao tu ni balaa. Imagine ndo walitumwa wakamtandike mu Iran ndani mwake. Yaaani nime changanyikiwa. Nawaza sana.
 
Kwa kweli inaumiza sana. Tukiangalia Gaza na Palestine. Kumevurugwa hasa...siyo kipole pole. Amevuruga Hamas na amewatandia Hizbullah kiasi cha kutia aibu. Inaniuma sina raha. Nliposikia ana umwa nikamshukuru Mnyaazi. Jamaa likaondoka Hosp kabla halijapona ili likaendeleze kichapo.

Yule si binadamu wa kawaida. Kweli nimeamini sura si roho. Ukimwona ana sura ya kiupole na hb kabisa. Ila akisema amesema hana masikhara. Leo hii Iran ya kuufyata? Siamini. Iran hii hii ambayo ilitangaza operation promise na sijui nini? Netanyau kaenda kuichapa mle mle ndani mwao kupiga maeneo yenye silaha. Tena kwa dharau ametumia mademu. Yaani mademu wanaenda Iran wanapiga kisha wanaondoka kurudi kwao kupika?

Netanyau si binadamu kweli nawaambia. Assad kakimbia nchi. Assad huyu alikuwa anasaidiwa na Russia. Kakimbia Syria. Ameenda ishi uhamishoni. Houthis wamevurugwa wamechonganishwa wanazichapa na Yemen. Yaani mimi nachoka kabisa. Sielewi nimekuwa oves kabisa. Netanyau tutamwombea afe aiseee....jamaa ni mbabe sana. Waisrael wote hawamtaki kabisa.

Duniani ameambiwa asikanyage atafungwa na hiili alilitangaza Ritz akaelezea vizuri kabisa. Netanyau hatakiwi kukanyaga duniani. Atafungwa, atanyongwa. Watu wake wameuliwa na kutekwa kidogo yeye amezidisha mara 1,000 kuwalipizia kisasi. Huyu jamaa Mnyaazi atamuondoa. Najiuliza tu lini? Maana amejua kutufunga mdomo.

Kwa sasa hatuna hamu kabisa. Yaani tumelegea kama mlenda... Amepapasa maadui wote wa mayahood ule ukanda ...amewatomasa amewalowanisha...wamelendemuka....hoi bin taabani. Wenzangu akina Adiosamigo Webabu Sir John Roberts Malaria 2 wamezila kabisa. Wamekata tamaa. Maana tulitegemea this is the time kuwafuta israel... Aaaah wapi. Wametufuta futa sisi.... Na bado wana randa randa na kubambia bambia watu wengine. Walitudanganya mashoga kumbe...wanachapa mti balaah. Hata wanawake wao tu ni balaa. Imagine ndo walitumwa wakamtandike mu Iran ndani mwake. Yaaani nime changanyikiwa. Nawaza sana.
Acha fujo.
 
Kwa kweli inaumiza sana. Tukiangalia Gaza na Palestine. Kumevurugwa hasa...siyo kipole pole. Amevuruga Hamas na amewatandika Hizbullah kiasi cha kutia aibu. Inaniuma sina raha. Nliposikia ana umwa nikamshukuru Mnyaazi. Jamaa likaondoka Hosp kabla halijapona ili likaendeleze kichapo.

Yule si binadamu wa kawaida. Kweli nimeamini sura si roho. Ukimwona ana sura ya kiupole na hb kabisa. Ila akisema amesema hana masikhara. Leo hii Iran ya kuufyata? Siamini. Iran hii hii ambayo ilitangaza operation promise na sijui nini? Netanyau kaenda kuichapa mle mle ndani mwao kupiga maeneo yenye silaha. Tena kwa dharau ametumia mademu. Yaani mademu wanaenda Iran wanapiga kisha wanaondoka kurudi kwao kupika?

Netanyau si binadamu kweli nawaambia. Assad kakimbia nchi. Assad huyu alikuwa anasaidiwa na Russia. Kakimbia Syria. Ameenda ishi uhamishoni. Houthis wamevurugwa wamechonganishwa wanazichapa na Yemen. Yaani mimi nachoka kabisa. Sielewi nimekuwa oves kabisa. Netanyau tutamwombea afe aiseee....jamaa ni mbabe sana. Waisrael wote hawamtaki kabisa.

Duniani ameambiwa asikanyage atafungwa na hiili alilitangaza Ritz akaelezea vizuri kabisa. Netanyau hatakiwi kukanyaga duniani. Atafungwa, atanyongwa. Watu wake wameuliwa na kutekwa kidogo yeye amezidisha mara 1,000 kuwalipizia kisasi. Huyu jamaa Mnyaazi atamuondoa. Najiuliza tu lini? Maana amejua kutufunga mdomo.

Kwa sasa hatuna hamu kabisa. Yaani tumelegea kama mlenda... Amepapasa maadui wote wa mayahood ule ukanda ...amewatomasa amewalowanisha...wamelendemuka....hoi bin taabani. Wenzangu akina Adiosamigo Webabu Sir John Roberts Malaria 2 wamezila kabisa. Wamekata tamaa. Maana tulitegemea this is the time kuwafuta israel... Aaaah wapi. Wametufuta futa sisi.... Na bado wana randa randa na kubambia bambia watu wengine. Walitudanganya mashoga kumbe...wanachapa mti balaah. Hata wanawake wao tu ni balaa. Imagine ndo walitumwa wakamtandike mu Iran ndani mwake. Yaaani nime changanyikiwa. Nawaza sana.
BiBi for Guinnes Award Nominee.
 
Tunalaani pia yale makombola 1000 yaliyorushwa Oct 7th kuelekea Islael, kama yangetua yote leo hii Taifa la Islael lingekuwa limefutika katika uso wa Dunia.

Hayo waliyoyapata Parestina ni FUNDISHO tosha kwao na ni wito kwamba waachane rasmi na hao magaidi HAMAS waunde Serikali yao mpya.
 
Mbona Yemen kila siku anaitandika Israel sema jamaa wanaficha kupitia sheria yao kuficha maumivu lkn alakati sasa kupatikana aman Yemen kausika mana Yemen anachagua yeye leo nipige wapi uko Israel nikama akuna Air Defence System juzi wizara ya vita imepigwa apo Israel jana kuamkia leo maeneo sita yamepigwa yani uku kunatafutwa aman upande wapili vipigo vinaendelea maeneo mengi ya Israel yani mijini maduka yamefungwa watu wamekimbia utafanyaje kazi unasikia milio ya tahadhali kwakweli hiii vita kweli Gaza imepigwa majengo vifo lkn Israel imeumbuka sana kelele zao kuwa ndio mabingwa w technology kwishaaa kabisa mazwazwa tu kama awa tunao ishinao wananunulishwa udongo. Yani Iran inajipigia popote uko Israel adi nyumba ya Netanyahu imepigwa. Tulidanganywa sana kuusu awa waisrael !!!!!
 
Kwa kweli inaumiza sana. Tukiangalia Gaza na Palestine. Kumevurugwa hasa...siyo kipole pole. Amevuruga Hamas na amewatandika Hizbullah kiasi cha kutia aibu. Inaniuma sina raha. Nliposikia ana umwa nikamshukuru Mnyaazi. Jamaa likaondoka Hosp kabla halijapona ili likaendeleze kichapo.

Yule si binadamu wa kawaida. Kweli nimeamini sura si roho. Ukimwona ana sura ya kiupole na hb kabisa. Ila akisema amesema hana masikhara. Leo hii Iran ya kuufyata? Siamini. Iran hii hii ambayo ilitangaza operation promise na sijui nini? Netanyau kaenda kuichapa mle mle ndani mwao kupiga maeneo yenye silaha. Tena kwa dharau ametumia mademu. Yaani mademu wanaenda Iran wanapiga kisha wanaondoka kurudi kwao kupika?

Netanyau si binadamu kweli nawaambia. Assad kakimbia nchi. Assad huyu alikuwa anasaidiwa na Russia. Kakimbia Syria. Ameenda ishi uhamishoni. Houthis wamevurugwa wamechonganishwa wanazichapa na Yemen. Yaani mimi nachoka kabisa. Sielewi nimekuwa oves kabisa. Netanyau tutamwombea afe aiseee....jamaa ni mbabe sana. Waisrael wote hawamtaki kabisa.

Duniani ameambiwa asikanyage atafungwa na hiili alilitangaza Ritz akaelezea vizuri kabisa. Netanyau hatakiwi kukanyaga duniani. Atafungwa, atanyongwa. Watu wake wameuliwa na kutekwa kidogo yeye amezidisha mara 1,000 kuwalipizia kisasi. Huyu jamaa Mnyaazi atamuondoa. Najiuliza tu lini? Maana amejua kutufunga mdomo.

Kwa sasa hatuna hamu kabisa. Yaani tumelegea kama mlenda... Amepapasa maadui wote wa mayahood ule ukanda ...amewatomasa amewalowanisha...wamelendemuka....hoi bin taabani. Wenzangu akina Adiosamigo Webabu Sir John Roberts Malaria 2 wamezila kabisa. Wamekata tamaa. Maana tulitegemea this is the time kuwafuta israel... Aaaah wapi. Wametufuta futa sisi.... Na bado wana randa randa na kubambia bambia watu wengine. Walitudanganya mashoga kumbe...wanachapa mti balaah. Hata wanawake wao tu ni balaa. Imagine ndo walitumwa wakamtandike mu Iran ndani mwake. Yaaani nime changanyikiwa. Nawaza sana.
We wacha ujinga mwenzako Nyau kakubali hayo masharti ya Hamasi, afu unasema kashinda vita.


⭕️ Hii hapa ni rasimu ya makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza kulingana na vyombo mbalimbali vya habari:

Awamu ya 1 (siku 42):

1. Kusimamishwa kwa muda kwa shughuli za kijeshi na kujiondoa kwa Israeli kutoka kwa maeneo yote yenye wakazi.

2. Kusimamishwa kwa muda kwa shughuli za hewa kwa saa kumi kila siku.

3. Kurudishwa kwa watu waliohamishwa kwenye maeneo yao ya makazi.

Siku ya 7: Waisraeli wanajiondoa kutoka Mtaa wa Al-Rasheed hadi Mtaa wa Salah Al-Din, kubomolewa kwa mitambo ya Israeli na kuwarudisha watu waliohamishwa makazi yao.

Siku ya 28: Waisraeli wajiondoe kutoka Gaza ya kati, kuruhusu watu kusafiri bila malipo.

• Uwasilishaji wa vifaa vya msaada, mafuta na kuondoa vifusi, sambamba na kufunguliwa kwa hospitali na mikate kote Gaza.

* 4. Kubadilishana mateka:

Awamu ya 1: Hamas itawaachilia mateka 33, huku Israel ikiachilia wanawake na watoto wa Kipalestina 30 kwa kila mateka aliyeachiliwa huru, ili wazuiliwe.

• Hamas kisha itawaachilia wanajeshi wote wa kike wa Israel walio hai, huku Israel ikiwaachilia wafungwa 50 wa Kipalestina kwa kila mmoja.

5. Ratiba ya kubadilishana wafungwa:

Siku ya 1: Hamas inawaachilia mateka watatu wa raia.

Siku ya 7: Hamas huwaachilia mateka wanne raia, wakifuatiwa na mateka watatu wa Israeli kila wiki.

Wiki ya 6: Hamas inawaachilia wafungwa wote waliosalia wa Israel walio chini ya awamu hii kwa kubadilishana na wafungwa wa Kipalestina kulingana na orodha iliyoandaliwa na Hamas.

• Israel itawaachilia wafungwa 47 waliozuiliwa baada ya makubaliano ya Shalit na raia wote walio chini ya umri wa miaka 19 waliokamatwa huko Gaza baada ya Oktoba 7.

• Wafungwa wa Kipalestina wataachiliwa bila masharti, na hakuna kukamatwa tena siku zijazo.

6. Awamu ya kwanza ya kubadilishana mateka ni tofauti na awamu ya pili.

7. Mazungumzo ya awamu ya pili yataanza kabla ya Siku ya 16.

8. Umoja wa Mataifa utaendelea kutoa misaada.

9. Miundombinu
ukarabati utaanza.

10. Angalau nyumba 60,000 na mahema 200,000 yatatolewa kwa wale waliopoteza makazi yao.

11. Kuongeza idadi ya watu waliojeruhiwa wanaosafirishwa kwa matibabu kwa njia ya kivuko cha Rafah na kuruhusu harakati za biashara.

12. Ujenzi mpya na fidia kwa raia utaanza chini ya usimamizi wa mashirika na nchi, zikiwemo Misri na Qatar.

13. Katika awamu hii, uondoaji na usitishaji wa shughuli za kijeshi utaendelea, pamoja na mazungumzo ya awamu ya pili.

14. Usitishaji wa kudumu wa mapigano utatangazwa, na Israel itajiondoa kikamilifu kutoka Gaza.

Awamu ya 2 (siku 42):

15. Kubadilishana miili baada ya kuwatambua marehemu.

16. Kujengwa upya kwa Gaza (miaka 3-5) chini ya usimamizi wa kimataifa na Umoja wa Mataifa, ikiwa ni pamoja na Qatar na Misri.

17. Ufunguzi wa vivuko kwa watu binafsi na bidhaa.

Wadhamini wa makubaliano hayo ni Qatar, Misri na Marekani.
 
We wacha ujinga mwenzako Nyau kakubali hayo masharti ya Hamasi, afu unasema kashinda vita.


[emoji778]️ Hii hapa ni rasimu ya makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza kulingana na vyombo mbalimbali vya habari:

Awamu ya 1 (siku 42):

1. Kusimamishwa kwa muda kwa shughuli za kijeshi na kujiondoa kwa Israeli kutoka kwa maeneo yote yenye wakazi.

2. Kusimamishwa kwa muda kwa shughuli za hewa kwa saa kumi kila siku.

3. Kurudishwa kwa watu waliohamishwa kwenye maeneo yao ya makazi.

Siku ya 7: Waisraeli wanajiondoa kutoka Mtaa wa Al-Rasheed hadi Mtaa wa Salah Al-Din, kubomolewa kwa mitambo ya Israeli na kuwarudisha watu waliohamishwa makazi yao.

Siku ya 28: Waisraeli wajiondoe kutoka Gaza ya kati, kuruhusu watu kusafiri bila malipo.

• Uwasilishaji wa vifaa vya msaada, mafuta na kuondoa vifusi, sambamba na kufunguliwa kwa hospitali na mikate kote Gaza.

* 4. Kubadilishana mateka:

Awamu ya 1
: Hamas itawaachilia mateka 33, huku Israel ikiachilia wanawake na watoto wa Kipalestina 30 kwa kila mateka aliyeachiliwa huru, ili wazuiliwe.

• Hamas kisha itawaachilia wanajeshi wote wa kike wa Israel walio hai, huku Israel ikiwaachilia wafungwa 50 wa Kipalestina kwa kila mmoja.

5. Ratiba ya kubadilishana wafungwa:

Siku ya 1: Hamas inawaachilia mateka watatu wa raia.

Siku ya 7: Hamas huwaachilia mateka wanne raia, wakifuatiwa na mateka watatu wa Israeli kila wiki.

Wiki ya 6: Hamas inawaachilia wafungwa wote waliosalia wa Israel walio chini ya awamu hii kwa kubadilishana na wafungwa wa Kipalestina kulingana na orodha iliyoandaliwa na Hamas.

• Israel itawaachilia wafungwa 47 waliozuiliwa baada ya makubaliano ya Shalit na raia wote walio chini ya umri wa miaka 19 waliokamatwa huko Gaza baada ya Oktoba 7.

• Wafungwa wa Kipalestina wataachiliwa bila masharti, na hakuna kukamatwa tena siku zijazo.

6. Awamu ya kwanza ya kubadilishana mateka ni tofauti na awamu ya pili.

7. Mazungumzo ya awamu ya pili yataanza kabla ya Siku ya 16.

8. Umoja wa Mataifa utaendelea kutoa misaada.

9. Miundombinu
ukarabati utaanza.

10. Angalau nyumba 60,000 na mahema 200,000 yatatolewa kwa wale waliopoteza makazi yao.

11. Kuongeza idadi ya watu waliojeruhiwa wanaosafirishwa kwa matibabu kwa njia ya kivuko cha Rafah na kuruhusu harakati za biashara.

12. Ujenzi mpya na fidia kwa raia utaanza chini ya usimamizi wa mashirika na nchi, zikiwemo Misri na Qatar.

13. Katika awamu hii, uondoaji na usitishaji wa shughuli za kijeshi utaendelea, pamoja na mazungumzo ya awamu ya pili.

14. Usitishaji wa kudumu wa mapigano utatangazwa, na Israel itajiondoa kikamilifu kutoka Gaza.

Awamu ya 2 (siku 42):

15. Kubadilishana miili baada ya kuwatambua marehemu.

16. Kujengwa upya kwa Gaza (miaka 3-5) chini ya usimamizi wa kimataifa na Umoja wa Mataifa, ikiwa ni pamoja na Qatar na Misri.

17. Ufunguzi wa vivuko kwa watu binafsi na bidhaa.

Wadhamini wa makubaliano hayo ni Qatar, Misri na Marekani.
wafia dini bana akili zenu Gaza ikiendelea kutandikwa mnasema Israel anafanya mauaji ya halaiki na ndugu zetu waislamu wanauawa Israel wakikubali ceasefire mnasema Hamas wameshinda
 
We wacha ujinga mwenzako Nyau kakubali hayo masharti ya Hamasi, afu unasema kashinda vita.


⭕️ Hii hapa ni rasimu ya makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza kulingana na vyombo mbalimbali vya habari:

Awamu ya 1 (siku 42):

1. Kusimamishwa kwa muda kwa shughuli za kijeshi na kujiondoa kwa Israeli kutoka kwa maeneo yote yenye wakazi.

2. Kusimamishwa kwa muda kwa shughuli za hewa kwa saa kumi kila siku.

3. Kurudishwa kwa watu waliohamishwa kwenye maeneo yao ya makazi.

Siku ya 7: Waisraeli wanajiondoa kutoka Mtaa wa Al-Rasheed hadi Mtaa wa Salah Al-Din, kubomolewa kwa mitambo ya Israeli na kuwarudisha watu waliohamishwa makazi yao.

Siku ya 28: Waisraeli wajiondoe kutoka Gaza ya kati, kuruhusu watu kusafiri bila malipo.

• Uwasilishaji wa vifaa vya msaada, mafuta na kuondoa vifusi, sambamba na kufunguliwa kwa hospitali na mikate kote Gaza.

* 4. Kubadilishana mateka:

Awamu ya 1: Hamas itawaachilia mateka 33, huku Israel ikiachilia wanawake na watoto wa Kipalestina 30 kwa kila mateka aliyeachiliwa huru, ili wazuiliwe.

• Hamas kisha itawaachilia wanajeshi wote wa kike wa Israel walio hai, huku Israel ikiwaachilia wafungwa 50 wa Kipalestina kwa kila mmoja.

5. Ratiba ya kubadilishana wafungwa:

Siku ya 1: Hamas inawaachilia mateka watatu wa raia.

Siku ya 7: Hamas huwaachilia mateka wanne raia, wakifuatiwa na mateka watatu wa Israeli kila wiki.

Wiki ya 6: Hamas inawaachilia wafungwa wote waliosalia wa Israel walio chini ya awamu hii kwa kubadilishana na wafungwa wa Kipalestina kulingana na orodha iliyoandaliwa na Hamas.

• Israel itawaachilia wafungwa 47 waliozuiliwa baada ya makubaliano ya Shalit na raia wote walio chini ya umri wa miaka 19 waliokamatwa huko Gaza baada ya Oktoba 7.

• Wafungwa wa Kipalestina wataachiliwa bila masharti, na hakuna kukamatwa tena siku zijazo.

6. Awamu ya kwanza ya kubadilishana mateka ni tofauti na awamu ya pili.

7. Mazungumzo ya awamu ya pili yataanza kabla ya Siku ya 16.

8. Umoja wa Mataifa utaendelea kutoa misaada.

9. Miundombinu
ukarabati utaanza.

10. Angalau nyumba 60,000 na mahema 200,000 yatatolewa kwa wale waliopoteza makazi yao.

11. Kuongeza idadi ya watu waliojeruhiwa wanaosafirishwa kwa matibabu kwa njia ya kivuko cha Rafah na kuruhusu harakati za biashara.

12. Ujenzi mpya na fidia kwa raia utaanza chini ya usimamizi wa mashirika na nchi, zikiwemo Misri na Qatar.

13. Katika awamu hii, uondoaji na usitishaji wa shughuli za kijeshi utaendelea, pamoja na mazungumzo ya awamu ya pili.

14. Usitishaji wa kudumu wa mapigano utatangazwa, na Israel itajiondoa kikamilifu kutoka Gaza.

Awamu ya 2 (siku 42):

15. Kubadilishana miili baada ya kuwatambua marehemu.

16. Kujengwa upya kwa Gaza (miaka 3-5) chini ya usimamizi wa kimataifa na Umoja wa Mataifa, ikiwa ni pamoja na Qatar na Misri.

17. Ufunguzi wa vivuko kwa watu binafsi na bidhaa.

Wadhamini wa makubaliano hayo ni Qatar, Misri na Marekani.
Hili gazete utasoma mwenyewe. Tunachojua ni kwamba Netanyahu amefanikiwa kusambaratisha Mtandao wa ugaidi hapo Middle East.
 
We wacha ujinga mwenzako Nyau kakubali hayo masharti ya Hamasi, afu unasema kashinda vita.


⭕️ Hii hapa ni rasimu ya makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza kulingana na vyombo mbalimbali vya habari:

Awamu ya 1 (siku 42):

1. Kusimamishwa kwa muda kwa shughuli za kijeshi na kujiondoa kwa Israeli kutoka kwa maeneo yote yenye wakazi.

2. Kusimamishwa kwa muda kwa shughuli za hewa kwa saa kumi kila siku.

3. Kurudishwa kwa watu waliohamishwa kwenye maeneo yao ya makazi.

Siku ya 7: Waisraeli wanajiondoa kutoka Mtaa wa Al-Rasheed hadi Mtaa wa Salah Al-Din, kubomolewa kwa mitambo ya Israeli na kuwarudisha watu waliohamishwa makazi yao.

Siku ya 28: Waisraeli wajiondoe kutoka Gaza ya kati, kuruhusu watu kusafiri bila malipo.

• Uwasilishaji wa vifaa vya msaada, mafuta na kuondoa vifusi, sambamba na kufunguliwa kwa hospitali na mikate kote Gaza.

* 4. Kubadilishana mateka:

Awamu ya 1: Hamas itawaachilia mateka 33, huku Israel ikiachilia wanawake na watoto wa Kipalestina 30 kwa kila mateka aliyeachiliwa huru, ili wazuiliwe.

• Hamas kisha itawaachilia wanajeshi wote wa kike wa Israel walio hai, huku Israel ikiwaachilia wafungwa 50 wa Kipalestina kwa kila mmoja.

5. Ratiba ya kubadilishana wafungwa:

Siku ya 1: Hamas inawaachilia mateka watatu wa raia.

Siku ya 7: Hamas huwaachilia mateka wanne raia, wakifuatiwa na mateka watatu wa Israeli kila wiki.

Wiki ya 6: Hamas inawaachilia wafungwa wote waliosalia wa Israel walio chini ya awamu hii kwa kubadilishana na wafungwa wa Kipalestina kulingana na orodha iliyoandaliwa na Hamas.

• Israel itawaachilia wafungwa 47 waliozuiliwa baada ya makubaliano ya Shalit na raia wote walio chini ya umri wa miaka 19 waliokamatwa huko Gaza baada ya Oktoba 7.

• Wafungwa wa Kipalestina wataachiliwa bila masharti, na hakuna kukamatwa tena siku zijazo.

6. Awamu ya kwanza ya kubadilishana mateka ni tofauti na awamu ya pili.

7. Mazungumzo ya awamu ya pili yataanza kabla ya Siku ya 16.

8. Umoja wa Mataifa utaendelea kutoa misaada.

9. Miundombinu
ukarabati utaanza.

10. Angalau nyumba 60,000 na mahema 200,000 yatatolewa kwa wale waliopoteza makazi yao.

11. Kuongeza idadi ya watu waliojeruhiwa wanaosafirishwa kwa matibabu kwa njia ya kivuko cha Rafah na kuruhusu harakati za biashara.

12. Ujenzi mpya na fidia kwa raia utaanza chini ya usimamizi wa mashirika na nchi, zikiwemo Misri na Qatar.

13. Katika awamu hii, uondoaji na usitishaji wa shughuli za kijeshi utaendelea, pamoja na mazungumzo ya awamu ya pili.

14. Usitishaji wa kudumu wa mapigano utatangazwa, na Israel itajiondoa kikamilifu kutoka Gaza.

Awamu ya 2 (siku 42):

15. Kubadilishana miili baada ya kuwatambua marehemu.

16. Kujengwa upya kwa Gaza (miaka 3-5) chini ya usimamizi wa kimataifa na Umoja wa Mataifa, ikiwa ni pamoja na Qatar na Misri.

17. Ufunguzi wa vivuko kwa watu binafsi na bidhaa.

Wadhamini wa makubaliano hayo ni Qatar, Misri na Marekani.
🤣🤣🤣🤣👉👉👉👉 Hii umeniforwardia mimi hukujua nilishiliki pia kuandika ili tuwe tunaitumia.... Hii naifahamu zipo nyingine tatu nazo tunasambaza na za makubaliano na Assad aondoke Syria. Hayo makubaliano nadhani hujatumiwa bado. Ingia kwenye group angalia tarehe 12/11
 
Kwa kweli inaumiza sana. Tukiangalia Gaza na Palestine. Kumevurugwa hasa...siyo kipole pole. Amevuruga Hamas na amewatandika Hizbullah kiasi cha kutia aibu. Inaniuma sina raha. Nliposikia ana umwa nikamshukuru Mnyaazi. Jamaa likaondoka Hosp kabla halijapona ili likaendeleze kichapo.

Yule si binadamu wa kawaida. Kweli nimeamini sura si roho. Ukimwona ana sura ya kiupole na hb kabisa. Ila akisema amesema hana masikhara. Leo hii Iran ya kuufyata? Siamini. Iran hii hii ambayo ilitangaza operation promise na sijui nini? Netanyau kaenda kuichapa mle mle ndani mwao kupiga maeneo yenye silaha. Tena kwa dharau ametumia mademu. Yaani mademu wanaenda Iran wanapiga kisha wanaondoka kurudi kwao kupika?

Netanyau si binadamu kweli nawaambia. Assad kakimbia nchi. Assad huyu alikuwa anasaidiwa na Russia. Kakimbia Syria. Ameenda ishi uhamishoni. Houthis wamevurugwa wamechonganishwa wanazichapa na Yemen. Yaani mimi nachoka kabisa. Sielewi nimekuwa oves kabisa. Netanyau tutamwombea afe aiseee....jamaa ni mbabe sana. Waisrael wote hawamtaki kabisa.

Duniani ameambiwa asikanyage atafungwa na hiili alilitangaza Ritz akaelezea vizuri kabisa. Netanyau hatakiwi kukanyaga duniani. Atafungwa, atanyongwa. Watu wake wameuliwa na kutekwa kidogo yeye amezidisha mara 1,000 kuwalipizia kisasi. Huyu jamaa Mnyaazi atamuondoa. Najiuliza tu lini? Maana amejua kutufunga mdomo.

Kwa sasa hatuna hamu kabisa. Yaani tumelegea kama mlenda... Amepapasa maadui wote wa mayahood ule ukanda ...amewatomasa amewalowanisha...wamelendemuka....hoi bin taabani. Wenzangu akina Adiosamigo Webabu Sir John Roberts Malaria 2 wamezila kabisa. Wamekata tamaa. Maana tulitegemea this is the time kuwafuta israel... Aaaah wapi. Wametufuta futa sisi.... Na bado wana randa randa na kubambia bambia watu wengine. Walitudanganya mashoga kumbe...wanachapa mti balaah. Hata wanawake wao tu ni balaa. Imagine ndo walitumwa wakamtandike mu Iran ndani mwake. Yaaani nime changanyikiwa. Nawaza sana.
Aliyeanzisha....
 
wafia dini bana akili zenu Gaza ikiendelea kutandikwa mnasema Israel anafanya mauaji ya halaiki na ndugu zetu waislamu wanauawa Israel wakikubali ceasefire mnasema Hamas wameshinda
Haya si mlisema hamtoki Gaza au hamta deal na Hamasi vipi tena 🤣
 
wafia dini bana akili zenu Gaza ikiendelea kutandikwa mnasema Israel anafanya mauaji ya halaiki na ndugu zetu waislamu wanauawa Israel wakikubali ceasefire mnasema Hamas wameshinda
Huo ndio uswahili wenyewe kama unausikia na waarabu pia ni sampuli hiyohiyo. Al Sahaf type.
 
Mbona Yemen kila siku anaitandika Israel sema jamaa wanaficha kupitia sheria yao kuficha maumivu lkn alakati sasa kupatikana aman Yemen kausika mana Yemen anachagua yeye leo nipige wapi uko Israel nikama akuna Air Defence System juzi wizara ya vita imepigwa apo Israel jana kuamkia leo maeneo sita yamepigwa yani uku kunatafutwa aman upande wapili vipigo vinaendelea maeneo mengi ya Israel yani mijini maduka yamefungwa watu wamekimbia utafanyaje kazi unasikia milio ya tahadhali kwakweli hiii vita kweli Gaza imepigwa majengo vifo lkn Israel imeumbuka sana kelele zao kuwa ndio mabingwa w technology kwishaaa kabisa mazwazwa tu kama awa tunao ishinao wananunulishwa udongo. Yani Iran inajipigia popote uko Israel adi nyumba ya Netanyahu imepigwa. Tulidanganywa sana kuusu awa waisrael !!!!!
Yemen anatafutiwa timing, kama walivyomdhibiti syria
 
Kwa kweli inaumiza sana. Tukiangalia Gaza na Palestine. Kumevurugwa hasa...siyo kipole pole. Amevuruga Hamas na amewatandika Hizbullah kiasi cha kutia aibu. Inaniuma sina raha. Nliposikia ana umwa nikamshukuru Mnyaazi. Jamaa likaondoka Hosp kabla halijapona ili likaendeleze kichapo.

Yule si binadamu wa kawaida. Kweli nimeamini sura si roho. Ukimwona ana sura ya kiupole na hb kabisa. Ila akisema amesema hana masikhara. Leo hii Iran ya kuufyata? Siamini. Iran hii hii ambayo ilitangaza operation promise na sijui nini? Netanyau kaenda kuichapa mle mle ndani mwao kupiga maeneo yenye silaha. Tena kwa dharau ametumia mademu. Yaani mademu wanaenda Iran wanapiga kisha wanaondoka kurudi kwao kupika?

Netanyau si binadamu kweli nawaambia. Assad kakimbia nchi. Assad huyu alikuwa anasaidiwa na Russia. Kakimbia Syria. Ameenda ishi uhamishoni. Houthis wamevurugwa wamechonganishwa wanazichapa na Yemen. Yaani mimi nachoka kabisa. Sielewi nimekuwa oves kabisa. Netanyau tutamwombea afe aiseee....jamaa ni mbabe sana. Waisrael wote hawamtaki kabisa.

Duniani ameambiwa asikanyage atafungwa na hiili alilitangaza Ritz akaelezea vizuri kabisa. Netanyau hatakiwi kukanyaga duniani. Atafungwa, atanyongwa. Watu wake wameuliwa na kutekwa kidogo yeye amezidisha mara 1,000 kuwalipizia kisasi. Huyu jamaa Mnyaazi atamuondoa. Najiuliza tu lini? Maana amejua kutufunga mdomo.

Kwa sasa hatuna hamu kabisa. Yaani tumelegea kama mlenda... Amepapasa maadui wote wa mayahood ule ukanda ...amewatomasa amewalowanisha...wamelendemuka....hoi bin taabani. Wenzangu akina Adiosamigo Webabu Sir John Roberts Malaria 2 wamezila kabisa. Wamekata tamaa. Maana tulitegemea this is the time kuwafuta israel... Aaaah wapi. Wametufuta futa sisi.... Na bado wana randa randa na kubambia bambia watu wengine. Walitudanganya mashoga kumbe...wanachapa mti balaah. Hata wanawake wao tu ni balaa. Imagine ndo walitumwa wakamtandike mu Iran ndani mwake. Yaaani nime changanyikiwa. Nawaza sana.
Nani wa kumuangamiza mu Israel?
 
Back
Top Bottom