Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Bora nikawe Kibaka Ulaya bongo nuksi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona watu wataenda kulimia meno au sio..Afrika hata ukienda zako Morogoro .ukatafuta bonde heka 5 ukapanda miwa baada ya miaka 2 sio mwenzetu unakuja kuuza Dar vijjwe vya juice, au unafungua vijiwe vya kuuza juice ya miwa.
.Unapanda minyonyo, mibono,milonge,miarobaini baada ya miezi tu unakamaua mafuta unatengeza sabuni unauza.
.Una kijiwe wilayani cha kufyatua tofauti za kuchoma unachoma kwa oil chafu watu wanajenga KILA siku Mungu akupe nini.
.Unaenda porini unaangua mibuyu kisha unatengeneza unga na mbegu unakamua mafuta unauza.
.Unalima mihogo, mtama unaweka kwenye magodown unasubiria msimu unauza unga, minadani Mungu akupe nini.
. Unanunua marobota ya mitumba Kazi yako kutembea kwenye minada unauza nguo, ukipata pesa unanunua mbuzi unaleta mjini, ukitoka mjini unachukua marobota ya mitumba unarudi nayo.
.Fungua vijiwe vya chai,kahawa,vitafunwa wilayani, vijijini,huku unawawekea tv wachek mpira bure unatoka
Fursa bado zipo tele afrika ni kuchanganywa tu ubongo,maana shida uleta akili.
Ukisubiri upate mtaji ndo ulime utasubiri sana.Naona watu wataenda kulimia meno au sio..
Kilimo bila mtaji ni maumivu.
#MaendeleoHayanaChama
Kule mwizi auliwi wala kuchomwa moto sio Buguruni kuleUnakula bullets dakika
Bora uwe machinga kuliko kuwa mwizi.Kule mwizi auliwi wala kuchomwa moto sio Buguruni kule
Barcelona hamna vitu hivyo, hapo itakua Paris wamejaa wasenegal na wa ivory coast na biashara zao za umachinga.Hizo Picha mbili za mwisho kama Barcelona
Wewe ni sawa na wale wanaosema Bora kuwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa binadamu Africamaisha ya maskini wa Paris sio sawa na maskini wa Tanzania.
maskini wa Ulaya anaweza tumia Usd 20 ama zaidi (elfu 46 za kibongo) kwa siku wakati kwa Bongo huo ni mshahara wa meneja wa Tanesco kwa siku 1[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo ni dodoma.Wale wanaofkiri kuwa Ulaya maisha ni mazuri wala huwezi kuteseka namna ambavyo tunateseka Afrika Acha niwajuze tuu hapo unapoona pichani ni nchini Ufaransa jijini Paris hebu tazama maisha ambayo wanayoishi 😬😬😬
Kubwa zaidi ni pale mwamba hupigiwa simu na ukoo wote ili atoe msaada kwa sababu tu yupo Ulaya 🥺🥺
#Tujuze
View attachment 2290515View attachment 2290517View attachment 2290518