Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Muda ukifika utaelewa tu.
Tutaelewana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda ukifika utaelewa tu.
Hiyo mtu ni chemba ya mafiii ya kukuView attachment 1891378
Juzi alikuwemo humu
Labda makamba angalia kidogo atujasikia kauli mbaya.Watu watatu ndani ya CCM ambao hawatakiwi hata kuruhusiwa kuchukua form ni: (1) Mwigulu, (2) January (3) Nape
Ipo siku historia itaandikwa upya. NI swala la muda tu. Unazani Uhuru iliandika kwa bahati mbaya kuwa Samia hagombei Tena 2025? Hilo ndio takwa la CCM itikadi Kali.Watu mnajua kujilisha upepo sana, kujitekesha kisha kucheka wenyewe, 2025 inatolewa fomu moja tu ya mama kama utamaduni wa CCM ulivyo siku zote!! Hao akina Mwigulu, January n.k. kama wanaCCM waliopikwa na kuiva wanalijua hilo na kuliheshimu! Watu wanajipanga na 2030, kushindana na Incumbent president ndani ya CCM ni sawa na kujizika kisiasa na hutoonekana tena, Ref Shibuda, Membe
Mwiguru hawazi kuwa Rais. Wewe subiri uwone
Hii ni kumuwangia mwenzako. Na ikitokea akawa Rais?Mwigulu ni jipuu kubwa,litumbuliwe haraka
Sitaki kujadili malengo yake. Yeye pia NI mtanzania na anahaki ya kikatiba kuwa Raisi. Swali langu NI je alipata wapi uwezo na pesa anazofanyia harakati zake, Kama Kuna mtu kampa NI kwa ahadi ipi? Na atarudisha fadhila gani?Hii ni kumuwangia mwenzako. Na ikitokea akawa Rais?
Utahama nchi?
Hata Magu mlimsema hivyohivyo....ila baadae ni historia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rushia na China zina bland Sana uongozi wa kidikteta dunianiHeh!China tena?😆Kutoka vibaraka wa wazungu,mpka vibaraka wa waChina,,next vibaraka wa waBrazil
Mkuu Mkiti wa CCM na Rais ana mamlaka makubwa sana, hakuna mtu wa kumletea fyoko ndani ya chama na nje ya chama, labda katiba ya nchi na chama vibadilike kwanza, kwa sasa ni kujilisha upepo!! Hao Uhuru ni takataka tu mbele ya mamlaka ya Rais na MkitiIpo siku historia itaandikwa upya. NI swala la muda tu. Unazani Uhuru iliandika kwa bahati mbaya kuwa Samia hagombei Tena 2025? Hilo ndio takwa la CCM itikadi Kali.
Si hofu Bali NI Hali halisi kabisa. Nani hufadhili gharama ya anayofanya.Sijui kwann watu wwnamuohifia huyu jamaa mbona mtu wa kawaida tu
Kiume pesa kudinnda ugonjwaWatu watatu ndani ya CCM ambao hawatakiwi hata kuruhusiwa kuchukua form ni: (1) Mwigulu, (2) January (3) Nape
Si hofu Bali NI Hali halisi kabisa. Nani hufadhili gharama ya anayofanya.