Badoo inanivunjia uchumba wangu

Nani Kanitag humu maana huu uzi ndio leo nauona duh!
 
Kaka umenikumbusha maumivu makali sana yaani hawa viumbe ni mashetani tu jambo la msingi muite mueleze ukweli wote na siku hiyo hiyo mwambie ndio mwisho wenu kwa sababu hata ukimsamehe daima utakumbuka ubaya wake tu na utamchukia sana katika maisha yako yote au utalipa kisasi
 
Daah mkataa pema pabaya panamwita pole Sana, ila jifunze kitu mana mapenz ya cku hiz mtu anakusifia kwa msg anajidai anakupenda na mbwembwe kibao kumbe anazuga, kwa upande wangu huyo kutuma picha Za uchi nikujizalilisha nikusih usizitupe hizo picha mtandaoni unaweza Kuja kukost maisha ya huyo bint akajiua, jaribu mchukua yy na rafiki yako mmoja, mukalishe melezeeni hali halis afu umsikie anasemaje afu ww uamue utachukua mamuz gan, ukichukua jukumu lakutupa picha Za uchi mtandaoni akija jiua,

Bas utasakwa na maisha yako yatakua hatiani, pole ila huyo ni Kat ya wanawake wasiojitambua mana haiwezekan mwanaume umepangwa future nae kuzalilisha kisa unataka penz jingine na mwanamke anayejiheshim hawez kuingia ktk mitandao ya hivyo na bint ambaye anataka had kutoa tigo kweli mmmh mabint kwa kweli wameishiwa ubungo na huyo huo mchezo wa tigo akianza haachi na huyu alikua mbwa mwitu ila akipretend tu kwa kua pengine anaitaji ndoa, pole Sana wachumba msiishie kuitana bby na nn, jaribu kuchunguza kua hayo mapenz yenu ya kweli au mtu anapretend apate ndoa, pole Sana kaka
 
Wewe pumbavu sana!! Yaani unaweka mtego wa kijinga kwa mtu unayempenda? Huna akili. Mwanamke hulindwa sii kutegwa???? Sikuelewi kama upo nomo auuuu????? [emoji9]
 
Agree mkuu, Asilimia 90 wanawake badoo wanajiuza, Malaya wote wa kujiuza wapo, Ukichat nae kidogo tu lazima uombwe pesa.Mtandao hatari, Jambo lililompata Mkuu ndio linatokea kwa watu wengi..
Ss hao Malaya wanatongozwa na nani,si inamaana na watongozaji nao ni Malaya ...partners in crime[emoji23]
 
Pole sana mkuu, Uyo msichana anamiaka mingapi?
Usisambaze picha zake kwa heshima yako na yake cz ukizisambaza ht ndg zako wataona na itakua aibu kwako pia cha msingi mwite mweleze ili ajifunze na ajue thamani yk km mwanamke.
Msamehee wewe endelea na maisha yako ye mwache aendelee na mambo yake. .
Pole sana mkuu.
 
Mkuu tupo tuliotulia na tunaojua thamani yetu. Huna mama huna madada huna mashangazi nao hawajatulia? Sema baadhi na ufute hiyo kauli yako.
 
Tupo uyo dada katuaibisha sana.
 
kweli kabisaa mkuu alichokuwa anakitaka kakipata.

ila wanawake wa sasa hivi ni wachache sana wenye sifa za kuwa wapenzi lakini hakuna kabisa wenye sifa za kuwa wake.
Wapo baadhi waliolelewa na wanajua thamani ya kua mke na maana yake si kweli kwamba hakuna wenye sifa za kuwa mke.
 
Mbona baadhi ya wanawake sasa ndio tabia yao, tena wake za watu na rings kabisa. Bora huyo wako ni just mchumba, it happened to me back then, mke wa mtu kabisa anatuma utupu wake live bila chenga, hawa watu waone hivi, baadhi ni disgrace kabisa!
Ni kweli mkuu yapo sana haya mambo.
Tatizo watu wanaolewa tu iliwavae shela
Usiombe uoe uolewe na mtu ambaye huna hisia nae kimapenzi lbd umeolewa kwakua ana mali.. Unaweza jikuta umejiunga uko badoo [emoji1] [emoji1] [emoji1] maana unakua hauna furahaa
 
Katika haya maisha ukiona umechoka kuishi au unataka stress

wewe anza hizo tabia za ajabu ajabu za kumchunguza mwanamke

hata awe mke wako,

Wewe ukikuta imeoshwa weka mate kula vitu!!
 
Katika haya maisha ukiona umechoka kuishi au unataka stress

wewe anza hizo tabia za ajabu ajabu za kumchunguza mwanamke

hata awe mke wako,

Wewe ukikuta imeoshwa weka mate kula vitu!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah kaka pole sana, inauma sana kujua umepata mtu ambaye mnaweza fika mbali ila unakuja gundua mwenzako anakupotezea muda.

Muache, Ondoka zako. Hizo photos zake usizisambaze, kaendelee na maisha yako bro. Wanawake ni mob, focus kwenye michongo na kazi zako.
 
Naungana mkona na wewe kwa issue ya kuachana nae, sikuungi mkono kwa kitendo cha kutaka kumdhalilisha, wanaume 95% ya walioachana na wake zao (sio wachumba ) hata kama alimuacha mkewe kwasababu ya kumfumania you will never hear them talking sheet to their ex wieves, hiyo ni tabia ya KIKE, kua mwanaume tu. Mwambie the ABCD ya kile ulicho kishuhudia kwake au mrushie hizo text mlizo chart nae huko sijui unakosema badoo then achana nae, kumdhalilisha HAPANA. Next time, usimchungeze sana mwanamke, wanawake ni viumbe ambao ni rahisi sana kudanganyika, kuna messages zipo humu, kwamba mwanaume unaweza mnunulia mwanamke gari but anaweza kumtunuku penzi kijana wa petrol station just kwa kumpa mafuta ya 10,000/= tu au unaweza muachia mkeo pesa ya mboga may be 10,000/= but akamtunuku penzi muuza nyama kwa kumuongea just nusu au robo kilo tu ya nyama.
 
Thread ya mwaka 2015 mkuu we umejikunja kutoa ushauri leo [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…