Badoo inanivunjia uchumba wangu

Badoo inanivunjia uchumba wangu

Bro huyo mwanamke hakufai temana nae usipokubali now subiria HIV ujutie maishani
 
Aii jaman pole sana
Ila haya mambo ya kupimana haya jamani, ila hapana hapo kazidi... Elfu sabini ndo inamtoa roho namna hiyo,ni kweli wanawake tunapenda kusifiwa ila kuna kupima... Huyo kaingia mzima mzima

Hakufai kiukweli
 
Mkuu YAMENIKUTA nakushauri kabla hujafanya maamuzi kama ww ni mkristo tafuta wimbo wa Ambwene Mwasongwe-nguvu ya msamaha***** uusikilize
 
achana nae kiamani tu unaweza fanya hayo ila in return unajua yeye atafanyaje....usitake neno ninge lije kwako..
 
Kwanza nikiri hii ni ID yangu ya pili kwaajili ya issue hii tu, nisingependa kutumia yangu halisi kwasababu za kibinafsi zaidi.

Nina mchumba wangu tupo kwenye mahusiano kama mwaka sasa unafika na soon tulikuwa tunasubiri jambo fulani ili mwezi wa 11 tufunge ndoa, kimsingi tunapendana sana, sijawahi hata siku moja ku-notice jambo lolote baya kati yetu linaloweza kuleta labda ugomvi na kutokuelewana, tupo vizuri na tunafuraha muda wote.

Kama kuna shida basi ni ndogo ndogo za kupishana kauli kibinaadamu. Kiufupi niseme yaani tupo kwenye pick ya juu kabisa ya mapenzi yetu. Wiki mbili nyuma mshikaji wangu mmoja akaniambia mbona kwenye Badoo naona picha za shemu kabadili jina kidogo, unaruhusu vipi anaingia huko? Sikuamini ikabidi ni download na kuanza kumsearch.

Ilinichukua kama siku tatu kuja kumpata kwenye Badoo na ni yeye kweli katumia jina lake lakini kimadoido. Nikahisi labda kuna mtu anatumia picha zake sio yeye, ingawa simu yake ina password kama yangu nikagundua kweli ameinstall Badoo kwenye simu yake, muda wote huo sijamwambia kitu nachunguza tu.

Nilichokifanya account yangu ya Badoo nikatafuta picha za jamaa wa costa rica sijui nikaziweka kama zangu na jina la uongo naishi mikocheni na ukiona hivi unaona mtu mambo safi. Nikaanza kumchokoza mambo basi tukawa tunachat nikaanza kumchomekea nampenda, nimependa picha zake na ninakaa Masaki.

Jamani wanawake ni wabaya kabisa. Akaanza ooh nina mchumba lakini tufanye siri, mara ananiponda kishenzi eti ndugu zake kama wanamlazimisha nimuoe, basi na mimi namchokonoa tu yaani anafunguka hadi aibu mengine siwezi sema hapa, in short anamaanisha I am nothing at all. Nikamuomba namba akanipa, ila yangu nikamwambia sio vizuri yeye kuwa nayo, Akanipiga mzinga wa elfu 50 nikamtumia fasta kwa kibanda ya mpesa ndio nikamchanganya kabisa.

Tukaendelea kuchat nikamuomba anitumie picha, namsifia kila ninacho mwambia natamani nione anajipiga ananitumia, jamani hizo picha unaweza kulia ukajiua, mtupu kama alivyozaliwa, mara apige k picha, mara maziwa yaani hakatai kitu, nikamuomba picha ya bwana wake akanitumia jinsi alivyo mshenzi, nikimsifia mbona handsome anaponda kinoma.

Naitwa majina yote matamu duniani hadi najionea wivu mwenyewe, kila nikiingia nakuta meseji kibao yaani ni i miss u, i cant wait to xxx with u. U have sex body nk nk. Kufikia hapo nikajua mchumba tena sina lakini nikasema ngoja niendelee kumpima, nikamchomekea mambo ya tigo akaruka sijawahi na sipendi, nikaanza kumchombeza nanini heee akaniambia labda atajaribu mara moja tu lakini anasikiaga inauma na nisi pizi ndani maana manii yakiingia eti atakuwa anawashwa na atakuwa anataka kila siku kuliwa tigo khaa!.

Wiki iliopita nikamtumia elfu 20 nikamwambia saa kumi kamili aje Sinza Hotel fulani atanikuta nimechukua chumba kabisa, nitakua namsubiria kaunta ya baa chini, mimi nikaenda nikabana sehemu, akaja hadi kaunta akakaa we simu yangu hana sasa, nikamtumia tu meseji Badoo kwamba baby sorry vikao vimenibana sana sitaweza kuja ndio akaondoka. Jamani niliumia sana sana lakini sasa roho imeisha kubali, hata kama kuchepuka lakini sio kule jamani, mtu hata humjui.

Na je huko Badoo kashatongozwa na kugongwa na wangapi, maana Badoo ni kujiuza tu hakuna friends wala followers kule, wewe unatupia picha unasubiri atakayekolea mnaanza chat. Amenidhalilisha sana sana jamani, sijawahi kumkosea lolote hadi anivue nguo vile mbele ya mtu hata asiyemjua na anavyojua kujipretand sasa, nimuulize ulikuwa wapi yaani majibu anayonipa yananipa picha ndio hunidanganya hivi kila siku.

Hadi sasa sijamwambia na sijui nifanyeje lakini mimi na yeye basi maana sasa ni wiki hata hisia sina tena mzee hashtuki kabisa mpaka ananiuliza kunani? Namjibu naumwa tu. Nataka nimfanyie kitu mbaya, hizo picha za uchi atazisoma mitandaoni na kwa shigongo na itakuwa mwisho wetu. Na sitakaa nimwambie ni mimi nilikuwa nachat naye nitaacha picha ziongee.

Naomba maoni yenu wadau
Wewe ni wakiume mkuu, Mungu pia amekuepushia kitu kwa kumgundua, huna haja kbs ya kusambaza picha zake, mjulishe tu wewe ndiwe boyfriend wake wa badoo, mwambie tu unashukuru kwa yooote. Ukianza kumfanyia ubaya huenda ukapatikana na hatia halafu atajiona yupo juu.
 
Ila hizi social network zinaharibu mahusiano kama mtu hujiheshimu.

Huyo dada ana mchumba,lakini bado anacheat mtandaoni. Muache huyo hakufai, hana hata staha Kwa mwili wake.
 
Dah! pole sana kk bt ndo ukubwa huo, ila kama wengi walivyokushauri, angalia mbele...achana naye tu. Aisee huu mtandao wa badoo ni hatari sana, girls wanajirahisisha sana, yaan sio siri huu kuna girls wako kule kwa ajili ya kuuza miili kisasa zaidi
 
Wanaume mkichapiwa mnachonga kwel kwel..
ila nyie mkichepuka mnaona sawa tuu..

anywy bro me niko single njoo tuyajenge kwanza situmii social media zaid ya JF na watsup ko usitegemee kuisikia tena hiyo badoo maishan mwako.
teh teh..
 
Kwa ukweli bro dunia hii hamna aliye msafi sabb Wanawake wana sema wanaume sio wa safi .na ss tuna sema wanawake sio wa safi . Tuko sawa .sasa kwa ushauri mwambie ukweli kama akuerewi achana naye kingine usikubari mwanamke akupande kichwani. And then tatizo umependa sana
 
tumia picha kama ushahidi kumfikishia mashtaka, then achana nae ganga yako baba....
 
Mkuu amua chochote ila usiposti hizo picha za uchi mtandaoni.

Turudi kwenye mada, huyo mtu wako nadhani ni limbukeni sana na hana uzoefu kabisa na mitandao kwa maana ya kutojua kujihadhari au ana fetish ya rangi tofauti au vyote viwili. Inawezekana alitaka kujaribu tu utamu wa dudu ya pink ndio maana akafikia huko. Nasema hivyo kwa sababu elfu 20 au 50 ni hela ndogo sana na sidhani kama inaweza kumchanganya mwanamke yeyote wa mjini tena ambaye yuko badoo.

La msingi mwambie ukweli muache bila hata ya kusambaza hizo picha. Jiulize hata ukisambaza itakusaidia nini?
 
Wanaume mkichapiwa mnachonga kwel kwel..
ila nyie mkichepuka mnaona sawa tuu..

anywy bro me niko single njoo tuyajenge kwanza situmii social media zaid ya JF na watsup ko usitegemee kuisikia tena hiyo badoo maishan mwako.
teh teh..
Kinachomuuma jamaa sio kuchapiwa ni haya hapa chini.
  1. Anamponda jamaa waziwazi kwa mtu ambaye hata hajawahi kumwona.
  2. Anatuma picha za uchi kirahisi sana.
  3. Anashawishika kirahisi mno hadi inakera na kutia hasira.
Kuchapiwa is one thing ila kuchapiwa na mwanamke huyo huyo akuponde na kisha amtumie mipicha ya k yake mchapaji ni jambo lingine kabisa.
 
Mwite mweleze ukweli na katika hiyo meeting tafuta shahidi ndugu au rafiki yake wa karibu mwonyeshe chat na picha zote kisha futa kila kitu anza upya.Usisambaze picha mtandaoni wala kwa Shigongo,inauma sana lakini overtime wewe ndio utakuwa mshindi.
 
Back
Top Bottom