Badoo inanivunjia uchumba wangu

Badoo inanivunjia uchumba wangu

Ila na yeye baba yako hamuamini
Of coz baba yako hamuamini mama yako kwa sababu kwake yeye ni mwanamke tu kama wanawake wengine. Lakini hata yeye baba anamuamini mama yake ambaye ni bibi yako ambaye naye haaminiwi na babu yako and chain continues....
 
Kinachomuuma jamaa sio kuchapiwa ni haya hapa chini.
  1. Anamponda jamaa waziwazi kwa mtu ambaye hata hajawahi kumwona.
  2. Anatuma picha za uchi kirahisi sana.
  3. Anashawishika kirahisi mno hadi inakera na kutia hasira.
Kuchapiwa is one thing ila kuchapiwa na mwanamke huyo huyo akuponde na kisha amtumie mipicha ya k yake mchapaji ni jambo lingine kabisa.

hahaaaaa sawa nimekuelewa..
dem nae kwel kaharibu vibaya....
 
Thread kama hizi huwezi kukuta mdada anachangia...yaani wanasoma na kupita kimya kimyaa..kama hawapo vileeee.....hawa viumbeee dah acha kabisaa! By the way, usisambaze picha zake. Nakushauri tafuta sehemu iliyotulia ya wazi kabisaa....

mwambia una story naye...vaa sura ya kazi..kisha mpe ukweeli wote A to Z. na mwambie yeye na wewe ndio bye bye...asikujue na wala hutamjua tena....kisha nyanyuka

du kazi tunayo!
 
unafanya kosa kubwa Sana,pale sinza hotel ungechukua room,then ukamsubir,mwisho wa siku anagonga mlango unamuambia ingia,unajibanza wash room,unatoka anakuona wewe.
hapo ungemaliza mchezo.one more advice mwambie kila kitu,ukiendelea kumficha unaharibu.
 
Of coz baba yako hamuamini mama yako kwa sababu kwake yeye ni mwanamke tu kama wanawake wengine. Lakini hata yeye baba anamuamini mama yake ambaye ni bibi yako ambaye naye haaminiwi na babu yako and chain continues....

hahah well said mkuu,,hili cheni cjui linaishia wp asee
 
Mkuu amua chochote ila usiposti hizo picha za uchi mtandaoni.

Turudi kwenye mada, huyo mtu wako nadhani ni limbukeni sana na hana uzoefu kabisa na mitandao kwa maana ya kutojua kujihadhari au ana fetish ya rangi tofauti au vyote viwili. Inawezekana alitaka kujaribu tu utamu wa dudu ya pink ndio maana akafikia huko. Nasema hivyo kwa sababu elfu 20 au 50 ni hela ndogo sana na sidhani kama inaweza kumchanganya mwanamke yeyote wa mjini tena ambaye yuko badoo.

La msingi mwambie ukweli muache bila hata ya kusambaza hizo picha. Jiulize hata ukisambaza itakusaidia nini?

uko chaka mbaya mkuu...
 
Acha zako ww unaanzaje kumsamehe mtu wa namna iyo,amuache tu time heals everything as time goes on he will be able to forget her and move on with ihis life.he shouldn't feel pity on her at all.
kuna tofauti kati ya samehe na kumsamehe. hv huko shule mnaenda kusomea ujinga?
 
Kwanza nikiri hii ni ID yangu ya pili kwaajili ya issue hii tu, nisingependa kutumia yangu halisi kwasababu za kibinafsi zaidi.

Nina mchumba wangu tupo kwenye mahusiano kama mwaka sasa unafika na soon tulikuwa tunasubiri jambo fulani ili mwezi wa 11 tufunge ndoa, kimsingi tunapendana sana, sijawahi hata siku moja ku-notice jambo lolote baya kati yetu linaloweza kuleta labda ugomvi na kutokuelewana, tupo vizuri na tunafuraha muda wote.

Kama kuna shida basi ni ndogo ndogo za kupishana kauli kibinaadamu. Kiufupi niseme yaani tupo kwenye pick ya juu kabisa ya mapenzi yetu. Wiki mbili nyuma mshikaji wangu mmoja akaniambia mbona kwenye Badoo naona picha za shemu kabadili jina kidogo, unaruhusu vipi anaingia huko? Sikuamini ikabidi ni download na kuanza kumsearch.

Ilinichukua kama siku tatu kuja kumpata kwenye Badoo na ni yeye kweli katumia jina lake lakini kimadoido. Nikahisi labda kuna mtu anatumia picha zake sio yeye, ingawa simu yake ina password kama yangu nikagundua kweli ameinstall Badoo kwenye simu yake, muda wote huo sijamwambia kitu nachunguza tu.

Nilichokifanya account yangu ya Badoo nikatafuta picha za jamaa wa costa rica sijui nikaziweka kama zangu na jina la uongo naishi mikocheni na ukiona hivi unaona mtu mambo safi. Nikaanza kumchokoza mambo basi tukawa tunachat nikaanza kumchomekea nampenda, nimependa picha zake na ninakaa Masaki.

Jamani wanawake ni wabaya kabisa. Akaanza ooh nina mchumba lakini tufanye siri, mara ananiponda kishenzi eti ndugu zake kama wanamlazimisha nimuoe, basi na mimi namchokonoa tu yaani anafunguka hadi aibu mengine siwezi sema hapa, in short anamaanisha I am nothing at all. Nikamuomba namba akanipa, ila yangu nikamwambia sio vizuri yeye kuwa nayo, Akanipiga mzinga wa elfu 50 nikamtumia fasta kwa kibanda ya mpesa ndio nikamchanganya kabisa.

Tukaendelea kuchat nikamuomba anitumie picha, namsifia kila ninacho mwambia natamani nione anajipiga ananitumia, jamani hizo picha unaweza kulia ukajiua, mtupu kama alivyozaliwa, mara apige k picha, mara maziwa yaani hakatai kitu, nikamuomba picha ya bwana wake akanitumia jinsi alivyo mshenzi, nikimsifia mbona handsome anaponda kinoma.

Naitwa majina yote matamu duniani hadi najionea wivu mwenyewe, kila nikiingia nakuta meseji kibao yaani ni i miss u, i cant wait to xxx with u. U have sex body nk nk. Kufikia hapo nikajua mchumba tena sina lakini nikasema ngoja niendelee kumpima, nikamchomekea mambo ya tigo akaruka sijawahi na sipendi, nikaanza kumchombeza nanini heee akaniambia labda atajaribu mara moja tu lakini anasikiaga inauma na nisi pizi ndani maana manii yakiingia eti atakuwa anawashwa na atakuwa anataka kila siku kuliwa tigo khaa!.

Wiki iliopita nikamtumia elfu 20 nikamwambia saa kumi kamili aje Sinza Hotel fulani atanikuta nimechukua chumba kabisa, nitakua namsubiria kaunta ya baa chini, mimi nikaenda nikabana sehemu, akaja hadi kaunta akakaa we simu yangu hana sasa, nikamtumia tu meseji Badoo kwamba baby sorry vikao vimenibana sana sitaweza kuja ndio akaondoka. Jamani niliumia sana sana lakini sasa roho imeisha kubali, hata kama kuchepuka lakini sio kule jamani, mtu hata humjui.

Na je huko Badoo kashatongozwa na kugongwa na wangapi, maana Badoo ni kujiuza tu hakuna friends wala followers kule, wewe unatupia picha unasubiri atakayekolea mnaanza chat. Amenidhalilisha sana sana jamani, sijawahi kumkosea lolote hadi anivue nguo vile mbele ya mtu hata asiyemjua na anavyojua kujipretand sasa, nimuulize ulikuwa wapi yaani majibu anayonipa yananipa picha ndio hunidanganya hivi kila siku.

Hadi sasa sijamwambia na sijui nifanyeje lakini mimi na yeye basi maana sasa ni wiki hata hisia sina tena mzee hashtuki kabisa mpaka ananiuliza kunani? Namjibu naumwa tu. Nataka nimfanyie kitu mbaya, hizo picha za uchi atazisoma mitandaoni na kwa shigongo na itakuwa mwisho wetu. Na sitakaa nimwambie ni mimi nilikuwa nachat naye nitaacha picha ziongee.

Naomba maoni yenu wadau

Sio mkeo mle tigo halafu sepa ndio maisha
 
Achana nae.atakupa magonjwa bureee!Lakini mpe ukweli wote&umwambie sioi malaya.picha zake muoneshe ili ajue kuwa wewe unajua anachofanya.NDOA SIO KITU CHA MAJARIBIO,NA AKIFUNGA NDOA NDO ATAKUWA ZAIDI YA HAPO.
 
Weka appointment tena. Umsubiri chumbani. Bila shaka atakuacha mwenyewe kwa aibu kuu. Tahadhari. Kama ana weak heart anaweza anguka chini.
 
Kutongozwa tunatongozwa ila huyu amezidi lol ndo nn kumkandika ex wako na picha anatuma bila aibu. Hapo either mpe appointment mkutane guest ajionee mwenyewe au mtumie namba yako ya simu tena mkiwa mmekaa wote afu sikilizia atasemaje.
 
Pole kaka na nivizuri umetambua kwamba hakufaii achana nae maana sio mwaminifu amekuponda sana ipo siku ataambiwa akutilie sumu ufe aolewe na msela mwingine
 
Back
Top Bottom