Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thread kama hizi huwezi kukuta mdada anachangia...yaani wanasoma na kupita kimya kimyaa..kama hawapo vileeee.....hawa viumbeee dah acha kabisaa! By the way, usisambaze picha zake.
Nakushauri tafuta sehemu iliyotulia ya wazi kabisaa....mwambia una story naye...vaa sura ya kazi..kisha mpe ukweeli wote A to Z. na mwambie yeye na wewe ndio bye bye...asikujue na wala hutamjua tena....kisha nyanyuka sepa...usimpe nafasi ya kuongea...wala kuona machozi yake. Chukua usafiri wahi home. Hata kuja kukusahau hadi siku ya mwisho.
Kweli kabisa, kama ana simu ya kuweza ku-install apps; basi si ajabu hata ya JF anayo!.Pole sana Mkuu, ila kama yumo humu si kishastuka wewe ni nani kwa kusoma huu uzi? Just thinking aloud.
kujaribu mpenzi ni hatari sana
si ajabu hata hajawahi kugongwa na mtu,lakini kwa kuwa shetani yupo upande wako akaona hilo litokee
nakushauri muache lakini
Hahahah iyo ndio badoo mm pia natomba tu wengi tu uko mkuu