Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
daaaaaaah,ndo wanawake wa cku hizi hao,ndo maana vijana kasi ya kuoa inapungua sana.hawakataagi wamejirahisisha sana.huyo atakua mnyakyusa nini?
Duuh pole braza... Kiukwel wanawake co wa kuwaamini sana
Thread kama hizi huwezi kukuta mdada anachangia...yaani wanasoma na kupita kimya kimyaa..kama hawapo vileeee.....hawa viumbeee dah acha kabisaa! By the way, usisambaze picha zake. Nakushauri tafuta sehemu iliyotulia ya wazi kabisaa....mwambia una story naye...vaa sura ya kazi..kisha mpe ukweeli wote A to Z. na mwambie yeye na wewe ndio bye bye...asikujue na wala hutamjua tena....kisha nyanyuka sepa...usimpe nafasi ya kuongea...wala kuona machozi yake. Chukua usafiri wahi home. Hata kuja kukusahau hadi siku ya mwisho.
Duuu kaka kama kweli hii kitu imekutokea kwanza pole sana,I always telling my friends that,In this world I only trust my beloved mama,becz she didn't throw me away. Hawa viumbe hawaaminiki kabisa, cha kufanya hapo ni kumwambia ukweli na kumuacha moja kwa moja ili akipata mwanaume mwingine ajifunze. Inashangaza sna hawa viumbe wanajifunza eti baada ya kufanya makosa why don't you learn before doing s*ts. Huyo hakufai kbs utapoteza muda wako then utakuja kujuta mbeleni.
Dah! Mkuu inamaana wanyakyusa ndio hawakatai? Umewahi kumuuliza Dada yako amegongwa na wangap acha dharau kende ww