Bagamoyo DC wa ajabu kabisa.

Bagamoyo DC wa ajabu kabisa.

Viwango vya wananchama vimepungua!
Hapana, zamani jf was meant for few special great minds ambao wana discuss ideas, now jf is for everybody hivyo lots of simple minds ndio wamejazana humu, wakifuatiwa ordinary minds wanao discuss events, great minds wanao discuss ideas wamepungua wamebaki wachache na hao wacheche wakutafuta kwa tochi, wana post kwa nadra sana!. Zamani watu kama Mzee Mwanakijiji , na kale kanzi, Cheche za fikra, khl news, huku magazetini Lula wa Ndali, ilikuwa ni daily, weekly vigongo vinashuka, siku hizi ni ikitokea, sijui kale ka inzi kamekufa!.
P
 
Swali kidogo.

Hawa viongozi wanamatatizo.

Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.

Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?

Au ndio kuzidiana Dumba?

Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?

My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Mbona unaandika kama unaoga nje?
 
Hapana, zamani jf was meant for few special great minds ambao wana discuss ideas, now jf is for everybody hivyo lots of simple minds ndio wamejazana humu, wakifuatiwa ordinary minds wanao discuss events, great minds wachache ndio wamebakia na wakutafuta kwa tochi!.
P
Tangu machawa walipopewa fursa kutamalaki humu, JF imeshuka ubora wake sana.
Hapana, zamani jf was meant for few special great minds ambao wana discuss ideas, now jf is for everybody hivyo lots of simple minds ndio wamejazana humu, wakifuatiwa ordinary minds wanao discuss events, great minds wachache ndio wamebakia na wakutafuta kwa tochi!.
P
 
U
Swali kidogo.

Hawa viongozi wanamatatizo.

Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.

Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?

Au ndio kuzidiana Dumba?

Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?

My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Unamkubuka manzie mangochie??? Dc wa zamani wa chato? Hakuwa na sifa yeyote hata ya kuwa VEO
 
Huyu dc ukisikiliza hii video fupi...ut
Screenshot_20240906_195328_Facebook.jpg
utanielewa.

Hapa wamekula pesa ndefu..

Wakawakandamiza wananchi

 
Swali kidogo.

Hawa viongozi wanamatatizo.

Unamuwakilishaje Mama Samia kwa dc wa aina hii.

Kama ni uteuzi wa kujuana sawa. Hivi hakuna vijana wenye hekima?

Au ndio kuzidiana Dumba?

Asilimia kubwa ma RC hawana tatizo..upande wa ma DC inanishangaza, hivi vetting zinavamiwa?

My take
Mnamdhalilisha Mh Rais.
Bila picha wala video uzi wako ni batili
 
Hapana, zamani jf was meant for few special great minds ambao wana discuss ideas, now jf is for everybody hivyo lots of simple minds ndio wamejazana humu, wakifuatiwa ordinary minds wanao discuss events, great minds wanao discuss ideas wamepungua wamebaki wachache na hao wacheche wakutafuta kwa tochi, wana post kwa nadra sana!. Zamani watu kama Mzee Mwanakijiji , na kale kanzi, Cheche za fikra, khl news, huku magazetini Lula wa Ndali, ilikuwa ni daily, weekly vigongo vinashuka, siku hizi ni ikitokea, sijui kale ka inzi kamekufa!.
P
Mzee Mwanakijiji ni kada mwenzako wa Ccm ila yeye alikuwa Pro-JPM.
 
Back
Top Bottom