Yaani nyie CCM hamjatujua vizuri kumbe eeh?
Ufisadi huo woote umefanyika serikali ya CCM ikiwa madarakani na unaendelea CCM ikiwa madarakani,na wewe ni mwanaCCM kwa hiyo msijidai serikali imebadilika, amebadilika mtu mmoja tu CCM ni ileile mjiandae sasa kwa nondo zetu.
Lazima mtapata matokeo ya upumbavu wenu.