Uchaguzi 2020 Bagamoyo msirudie mlichokifanya kwa CHADEMA leo

Uchaguzi 2020 Bagamoyo msirudie mlichokifanya kwa CHADEMA leo

Si bora kama vipi uende angalau uonekane mmoja na mfia chama kuliko kuhudhuria kwenye mitandao
Ntaenda kukaa mwenyewe pale kufanya nini? Si ntaonekana nawanga, kumbuka huo ni uwanja wa shule
 
Bagamoyo Lissu kasimamisha mji alafu huyu mlamba viatu kaficha picha za tukio kaja kuwalaghai wenye akili zao jf..upuuzi wako malizia huko huko lumumba ken.e wewe!
 
Mkuu, nipo Bagamoyo eneo la Ukuni na ofsi zangu zipo magomeni karibu kabisa na viwanja vya shule ya msingi Majengo, anachoripoti jamaa ni kweli

Asubuhi wazee wa mji wanauliza Tu, Nani aende Kwa msaliti?

Hili swala la usaliti limekuzwa Sana na kuvuma mno na nadhani wengi wanasema sema tu bila hata kufahamu maana yake au dhana nzima ya huo usaliti

Watu hawajaenda kabisa, tofauti Kabisa na alipokuja Mama Samia
Dah...We jamaa muongo sana....mimi nipo kitengo cha huduma ya kwanza...hadi mkutano unaisha watu 27 walipoteza fahamu kwa sababu ya msongamano na kukosa hewa..... acha uongo 🤭
 
Now zamu ya wajumbe imeisha sasa wananchi wanafanya yao jaman kwenda katika mkutano si lazima ni matakwa ya mtu , ila imekuwaje watu wote wa bagamoyo wakawa na fikra moja hii ajabu
 
Yaonyesha hadi mida hiyo hapo Lumumba ulipokuwapo hamkuwa na mwana chadema Ila nyie buku 7 kadhaa mliokuwa mkisubiria malipo yenu ya leo ali mradi mkono uende kinywani.
Wewe ni mjinga, kama kweli unaipenda chadema si ungekuja hapa uwanjani?
 
Huwa nawashangaa sana wanasiasa, unawakusanya Watu muda wa kazi kwasababu zipi hasa.
Kwanini wanasiasa wasiambiwe muda wakukusanya watu uwe kuanzia saa 10?
Mbaazi Akikosa maua husingizia jua
CCM tunajaza watu sijui za kazi tena mida ya kazi
 
Sasa utaweka picha ya uwanja tupu??
Hii Hali inaweza kuwa endelevu, ukweli kabisa, Watu hawamtaki huyu mtu,

Lakini pia aliingia na Gia moja ya hovyo Sana, Kitendo cha kusema hatokaa amwachie Mungu maswala yake, ni mabaya mno katika ulimwengu wa Mungu, Wakati huohuo Corona imetoweka Kwa nguvu hiyo hiyo ya Mungu asiyemhitaji amsaidie ktk mambo yake

Hata mtu akikataa, ukweli ni kwamba, Taifa letu ni lawacha Mungu, na nafasi aliyoiomba, Inaombewa maombi karibu Massa 24 yote Kwa siku na kila siku

Watu wanakemea mtu asiyemtambua Mungu aliye hai, yeye moja Kwa moja alionyesha waziwazi kuwa hamtaki Mungu ispokuwa atakutana naye katika hukumu yake,

Akikosa watu basi akumbuke alikoangukia arudi atubu na Safari iendelee
 
Dah...We jamaa muongo sana....mimi nipo kitengo cha huduma ya kwanza...hadi mkutano unaisha watu 27 walipoteza fahamu kwa sababu ya msongamano na kukosa hewa..... acha uongo 🤭
Duh! Mkuu umetisha!

Au na wewe huutambui uwepo wa Mungu katika harakati za kimaisha kama ilivyo Kwa mgombea aliyetutekeleza Leo huku Bagamoyo

Yeye alijitangazia kabisa kuwa yeye si mtu wa kumwachia Mungu ispokuwa atakutana naye huko pindi atakapoitwa
 
Lisu ni pepo 2015 alitamka wazi kuwa CHADEMA iko tayari kushirikiana hata na Shetani kama atawasaidia kushika dola alipoulizwa kwa nini wamempokea Lowasa waliyemwita fisadi kugombea urais Chadema
 
Bagamoyo wanapaogopa sio utani

Uhuru wa Tanzania ulitokea pale mti wa uhuru bagamoyo na udongo ule ambao Nyerere na Karume waliuchanganya kuunda muungano wa sasa huu wa serikali mbili ambao udongo ulichukuliwa Zanzibar na Tanganyika udongo uliotumika kufunga huo muungano kwa Tanganyika ulichotwa bagamoyo ukasomewa dua nzito na wazee wa bagamoyo akapewa Nyerere akachanganye na ule wa Zanzibar uliosomewa madua na wazee wa Zanzibar

Mvunja muungano au mwenye nia ya kubomoa muungano huu wa serikali mbili kiboko yake iko bagamoyo hata Lowasa alikimbia kufanya kampeni na UKAWA wake bagamoyo anapajua alisepa
Mkuu hii history bila shaka Shangazi wa Taifa ilimpita😬
 
Lisu ni pepo 2015 alitamka wazi kuwa chadema iko tayari kushirikiana hata na Shetani kama atawasaidia kushika toka alipoulizwa kwa nini wamempokea Lowasa waliyemwita fisadi kugombea uraisi Chadema
Acha sasa akataliwe, hamna namna
 
Back
Top Bottom