Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
- #41
Ntaenda kukaa mwenyewe pale kufanya nini? Si ntaonekana nawanga, kumbuka huo ni uwanja wa shuleSi bora kama vipi uende angalau uonekane mmoja na mfia chama kuliko kuhudhuria kwenye mitandao