Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Wanawake wa wapi hawapendi hela mkuu?Kwani hawana Roho mbaya mkuu,mimi wawili tu nilikutana nao wamenishinda wanapenda hela balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wa wapi hawapendi hela mkuu?Kwani hawana Roho mbaya mkuu,mimi wawili tu nilikutana nao wamenishinda wanapenda hela balaa
Hapana inategemeana mbona tumezika wachaga wengi kwenye maeneo yao wengine kwenye makaburi ya umma, wengine unakuta kwao walishauza maeneoNilisikia mtu mmoja akisema wachaga hawazikwi ugenini
Kambaku;Hivi ukishakuwa na ndoa mwenye haki ya kuzika ni mke au ndugu wa mume?
Naona kama umetukana bila sababu hivi.
Mke au mume wana haki ya kuzikana ila kuna conditions za wao kupata au kukosa haki hiyoHivi ukishakuwa na ndoa mwenye haki ya kuzika ni mke au ndugu wa mume?
Naona kama umetukana bila sababu hivi.
Sidhani kama angekuwa mgonjwa hoi angegombaniwa ili atibiweBaadhi ya Waombolezaji kwenye msiba wa Kijana Henry Massawe aliyekua Mkazi wa Kiaraka Magengeni, Bagamoyo Mkoani Pwani, wamelazimika kuvunja geiti la nyumbani kwa Marehemu ili kuingia kumzika baada ya kukuta geiti hilo limefungwa huku Mke wake akiwa hajulikani alipo ikiwa ni muda mfupi tu baada ya Mahakama ya Bagamoyo kuamuru Marehemu azikwe Bagamoyo na sio Kilimanjaro kama alivyotaka Mkewe.
kabla ya kuvunjwa kwa geiti hilo Waombolezaji walikua wamekaa nje wakati wote na baada ya hapo wakaingia na kuuvunja pia mlango wa nyumba ya Marehemu ili mwili uingizwe sebuleni kama ilivyo taratibu za misiba ya kikristo.
Henry Massawe alifariki January 16, 2023 na mwili wake ulisubiri kuzikwa kwa wakati wote huo kutokana na mgogoro uliokuwepo baina ya Ndugu wa Marehemu waliotaka azikwe nyumbani kwake Bagamoyo huku Mke wa Marehemu akitaka azikwe Kilimanjaro kabla ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Bagamoyo Vedatus Mwalia kuamua kuwa Marehemu azikwe Bagamoyo ,
Mahakama ya Bagamoyo mkoani Pwani leo January 24 2023 kuamuru mwili wa Henry Massawe kuzikwa nyumbani kwake Kiaraka, Bagamoyo kama watakavyo Ndugu zake na kutupilia mbali hoja za Mke wake aliyetaka akazikwe Mkoani Kilimanjaro, Ndugu Jamaa na Marafiki waliojitokeza kwa ajili ya maziko ya Marehemu Henry wamekuta geti la nyumbani kwake limefungwa huku ikielezwa kuwa Mkewe hajulikani alipo,
Marehemu hakuacha Wosia wowote kuhusu wapi azikwe? Mimi tayari nimeshaambia mke wangu na ndugu zangu kwamba nikifa nikazikwe kwenye makaburi ya ukoo wetu huko kijijini kwetu Moshi, na sehemu ya kuzikwa nimeshawaonyesha kwamba nizikwe hapa.Mambo mengine ni upuuzi tu, huyo alitaka kujimilikisha msiba Ili akapate michango Kwa ndugu zake huko. Ndugu wa Mume wapo sahihi na wasibabaishwe na huyo mke wao.
Sahihi kabisa kiongoziUpatapo wasaa andika wosiaaa
Marehemu alishaacha wosia azikwe Bagamoyo. Mke ndo amegoma kwa sababu za kibiashara. Mahakama imetoa amri mke ametoroka hajazika mumewe. Na hapo awali mke alishafumaniwa na picha zake zilichafua hali ya hewa kwa mangeMarehemu hakuacha Wosia wowote kuhusu wapi azikwe? Mimi tayari nimeshaambia mke wangu na ndugu zangu kwamba nikifa nikazikwe kwenye makaburi ya ukoo wetu huko kijijini kwetu Moshi, na sehemu ya kuzikwa nimeshawaonyesha kwamba nizikwe hapa. Kurahisisha kusafirisha mwili nina mpango wa kukata bima ya maisha ya walau milioni 4 (life insurance). Haya mambo ukiyapangilia yanasaidia sana kuondokana na hii migogoro wajameni, hebu tubadilike wakuu.
Upo sahihi mkuu, wenye haki ya kuzika ni upande wa mume yaani ndugu zake, Ila mke akifa mume ndio ataamua kwa kumzika mkeweHaiko hivyo mkuu, mume akifa ukisikia anaenda kuzikwa kwao ujue anaenda alikozaliwa ambako mke hana uhalali nako, hivyo ndugu wa mume watahusika mwanzo mwisho, na mke siku zote anazikwa na mume wake(hapo mwanaume ndiye anaamua mke wake azikwe wapi) hapo mambo ya haki au gender balance hayapo
Alifumaniwa kumbe… Kwahiyo ndoa yao ilikuwa na mgogoro??Marehemu alishaacha wosia azikwe bagamoyo. Mke ndo amegoma kwa sababu za kibiashara. Mahakama imetoa amri mke ametoroka hajazika mimewe. Na hapo awali mke alishafumaniwa na picha zake zilichafua hali ya hewa kwa mange
Huyu marehemu alishawahi pia kuwa TA pale UDSM umeme. Enzi hizo tunasoma back 2011 etcBaadhi ya Waombolezaji kwenye msiba wa Kijana Henry Massawe aliyekua Mkazi wa Kiaraka Magengeni, Bagamoyo Mkoani Pwani, wamelazimika kuvunja geiti la nyumbani kwa Marehemu ili kuingia kumzika baada ya kukuta geiti hilo limefungwa huku Mke wake akiwa hajulikani alipo ikiwa ni muda mfupi tu baada ya Mahakama ya Bagamoyo kuamuru Marehemu azikwe Bagamoyo na sio Kilimanjaro kama alivyotaka Mkewe.
kabla ya kuvunjwa kwa geiti hilo Waombolezaji walikua wamekaa nje wakati wote na baada ya hapo wakaingia na kuuvunja pia mlango wa nyumba ya Marehemu ili mwili uingizwe sebuleni kama ilivyo taratibu za misiba ya kikristo.
Henry Massawe alifariki January 16, 2023 na mwili wake ulisubiri kuzikwa kwa wakati wote huo kutokana na mgogoro uliokuwepo baina ya Ndugu wa Marehemu waliotaka azikwe nyumbani kwake Bagamoyo huku Mke wa Marehemu akitaka azikwe Kilimanjaro kabla ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Bagamoyo Vedatus Mwalia kuamua kuwa Marehemu azikwe Bagamoyo ,
Mahakama ya Bagamoyo mkoani Pwani leo January 24 2023 kuamuru mwili wa Henry Massawe kuzikwa nyumbani kwake Kiaraka, Bagamoyo kama watakavyo Ndugu zake na kutupilia mbali hoja za Mke wake aliyetaka akazikwe Mkoani Kilimanjaro, Ndugu Jamaa na Marafiki waliojitokeza kwa ajili ya maziko ya Marehemu Henry wamekuta geti la nyumbani kwake limefungwa huku ikielezwa kuwa Mkewe hajulikani alipo,
Mhhhh kazi ipo...hivi siku hzi mtu unaweza ukawa unafanya kazi Daslamu na makazi bagamoyo eee...kweli mji umekua
NdioAlifumaniwa kumbe… Kwahiyo ndoa yao ilikuwa na mgogoro??
Sio kweli, mwanaume anazikwa kwao means alikozaliwa au popote pale ndugu zake watakapoona inafaa ila mwanamke anazikwa pale mume wake atakapopendekeza. Unadhani mahari ina maana gani?Mtu akishakuwa ni mume/mke wa mtu halali mwenzie akitangulia all alobaki ndio wa kupanga ni wapi mume/mke wangu atazikwa! Sio ndugu......ndugu kuingilia kupanga flani azikiwe wapi ndio wana jambo lao