... indirectly alikuwa anawaambia ndugu na majirani ondoeni uchafu wenu hapa nyumbani kwangu!walivunja geti, mlango na hatimaye mumewe Henry Massawe uk
mke mwenyewe hata huko kilimanjaro hakufahamu, atapendekezaje mume anayempenda akazikwe sehemu ambayo haifahamu?
LabdaaMhh huenda hii ni moja ya ile rare cases
Si unajua in every general rule there’s an exception
... ila wachaga mmezidi; kumkomoa mkaamua kabisa kumwekea kaburi mlangoni!Huyu mwanamke sio mchaga elewa hilo, alitaka kuuza eneo hilo ila janja yake wachaga wakaijua!
... wasukuma wa uzaramuni! Noma sana.Yani kuna wadau wamemseti vibaya ila mpambe mkubwa mama mkwe, anashabikia nyumba iuzwe ili ale hela... Wabibi wa kisukuma miyeyusho mno.
Hakuna tabia mbaya inayokosa chanzo. Ukichimba utajua tu tabia ya huyu mwanamke imetokea huko huko kwao haikuibuka tu. Yani mumeo anazikwa umetoroka kisa mahakama haijakupatia ushindi?? Kwanza alipoona kuna wosia na ndugu wanakomaa alipaswa aungane nao wazike bila heka heka bila kwenda mahakamani.Tamaa za kijinga,
Afu wanaitia aibu familia nzima,
Hapo wadau watatafta background ya family afu ukoo mzima utaonekana wa ovyo
... ila wachaga mmezidi; kumkomoa mkaamua kabisa kumwekea kaburi mlangoni!
Duuh hii kesi au????Duhh kumbe.
Niliwasikia ndugu kipindi cha mazishi kwamba azikwe pale ili nyumba yake isiuzike. Na uzuri yule marehemu ndo alichuma zile mali kwa asilimia 90 mume ana asilimia ndogo sana. Sema ndo hvo ikishaitwa ndoa
... ni almost hapo hapo mlango. Mahali ambapo hawezi kuingia wala kutoka humo ndani bila kuliona.Kwani lipo mlangoni??
Kwahiyo kwa maendeleo na ustawi wa familia hizo species hazifai🤣🤣🤣Hizo spieces ulizotaja ni bora kwa matumizi tu
Hawezi kua na mafao ya maan kwa umri wake ule miaka 40Ni tamaa ya kipumbavu tu bila kuona mbele, mafao ya marehemu kwa muajili wake TBS ni haki ya mke na mtoto, pia mafao yote ya marehemu kwenye social security fund ni ya mke na mtoto, hizo sehemu mbili hakuna mtu yeyote anayeweza kulipwa stahili za marehemu zaidi ya mke, Sasa haya yote hayaoni?
Usikute ni group la Jackline Ntuyabaliwe mke wa Reginald Mengi akili zao zipo kwenye kinyeo.
Waweza kukutana mafao ya marehemu ni pesa nyingi kuliko hata pesa za kuuza hiyo nyumba, unachukuwa mafao mtoto aende shule na nyumba IPO, shida iko wapi?
Kama hauna nia mbaya nyumba zenye kaburi hospitali wanapanga vizuri tu bila shida yoyote.
maandiko ndio yamesema watoto ni ndoaUtaharibikiwa akili, acha kwenda kinyume na maandiko matakatifu.
Pengine mhusika au ndugu wa mhusika wamo humu,watapitia wataPata ujumbeNi tamaa ya kipumbavu tu bila kuona mbele, mafao ya marehemu kwa muajili wake TBS ni haki ya mke na mtoto, pia mafao yote ya marehemu kwenye social security fund ni ya mke na mtoto, hizo sehemu mbili hakuna mtu yeyote anayeweza kulipwa stahili za marehemu zaidi ya mke, Sasa haya yote hayaoni?
Usikute ni group la Jackline Ntuyabaliwe mke wa Reginald Mengi akili zao zipo kwenye kinyeo.
Waweza kukutana mafao ya marehemu ni pesa nyingi kuliko hata pesa za kuuza hiyo nyumba, unachukuwa mafao mtoto aende shule na nyumba IPO, shida iko wapi?
Kama hauna nia mbaya nyumba zenye kaburi hospitali wanapanga vizuri tu bila shida yoyote.
acha uvivuHebu maliza hiyo habari. Baada ya kukuta geti limefungwa wamechukua hatua gani? Kwa hiyo mazishi hayakufanyika?
Hawakushtakiana.Duuh hii kesi au????
umewaza mbali sanaaKwahiyo marehemu hajazikwa?? Huyo alitaka aiuze nyumba maana si unajua huwezi uza nyumba na kaburi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣... ni almost hapo hapo mlango. Mahali ambapo hawezi kuingia wala kutoka humo ndani bila kuliona.
Ndio hivyo mkuuumewaza mbali sanaa
aisee hatari sanaHawakushtakiana.
Yule mume yeye hakujua kama ndugu(sehemeji zake) wanawaza tofauti ila alipoulizwa tu unazika mkeo wapi akajibu pale (yani kwenye ile gesti) ndugu wakasapoti lakini wao walimuuliza kwa kumtega. Walishaongea kabla kuhusu swala la mazishi ya dada yao kwamba lazima iwe hapo.
Kuna maoni huwa yanaleta hitimisho kuwa inawezekana mtoa maoni ni mission town ambae anaweza kunufaika na mjane au ni mjane mwenye kimchepuko chake kisicho na makazi.WOSIA batili.
Wosia ni utashi na maamuzi ya marehemu juu ya mambo aliyo na mamlaka nayo 100% na yanayokubalika kisheria.
Ukifa nyumba inakuwa ya mjane, na mjane hataki kaburi mlangoni. Huna haki ya wosia kutaka kuzikwa hapo.
Na huwezi kusema nikifa mke asiuze nyumba wala asipake rangi ya kijivu wala asiingize ndani ki ben 10. Nyumba si yako tena!
Mjane kata rufaa.
Ndio maana Yangu Sasa hiyo, Kuan Uhalisia na Kuna Sheria.Mbona Wosia wa Marehemu Mengi Mahakama iliuutenguwa!? Siyo kila alichosema Marehemu kipindi cha uhai wake lazima kitimizwe, lazima uhalisia pia uaangaliwe! Je Marehemu angesema mkamzike Marekani mngeenda kumzika huko!!??