Kila mtu kwa wakat flan kwenye dunia hii huwa ana roho mbaya. Sasa unajua kilichotokea? Yule mwanaume baada ya kuoa anataka kufukuza wanae aliozaa na marehemu mke wa kwanza ambaye yule marehem mali zote yeye ndo alichuma.
Hii dunia haina formula ndo maana watu wanawindana
Yani kuna mikundu sana Tanzania, chuki ambazo ukimuuliza vizuri sababu za msingi utakuta halina. Wangekuwa na tamaa si wangedanga kama kina hamisa na kajala waskuma wenzioo