Bagamoyo: Mwanamke ashindwa kuzika mwili wa mumewe. Mgogoro wasababisha afunge geti marehemu alikopaswa kuzikwa na kutokomea kusikojulikana

Uislam mwema sana, unapokufa ndipo unapozikwa.

Ikitokea utata wenye maamuzi ni warithi.
 
Kama unaongelea case hii Basi inawezekana huyo mwanaume kapigwa bomu na watu tofauti, sio huyu mwanamke anayeishi nae
 
Manka kaona fursa ya kupangisha nyumba apate pesa hafikirii kabisa utu, ndio maana wanawake wachaga wanachukiwa kumbe hawasingiziwi.

DeepPond njoo usome huu mkasa ili ututungue story.
Yani kuna mikundu sana Tanzania, chuki ambazo ukimuuliza vizuri sababu za msingi utakuta halina. Wangekuwa na tamaa si wangedanga kama kina hamisa na kajala waskuma wenzioo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…