We mjinga kama huyo demu.Hivi ukishakuwa na ndoa mwenye haki ya kuzika ni mke au ndugu wa mume?
Naona kama umetukana bila sababu hivi.
Mwanamke ni msukuma na posibility kubwa anahusika na kifo cha mumeweHawa ndio wanafanya wanawake wa kichaga waonekane wauaji
Shukrani Sana boss 🙏We mjinga kama huyo demu.
Kwa taarifa marehemu alisema azikwe hapo, ila mwanamke wa kisukuma kwa kushirikiana na🙏 mama yake wakaenda kuweka court injuction hawataki azikwe hapo eti wanataka wauze hilo eneo(upunguani)
Duh....Hebu maliza hiyo habari. Baada ya kukuta geti limefungwa wamechukua hatua gani? Kwa hiyo mazishi hayakufanyika?
Akataka kwenda kuzika Kilimanjaro?Mwanamke ni msukuma na posibility kubwa anahusika na kifo cha mumewe
Sahihi sanaaa....mke Yuko chini ya Mume ila Mume Yuko chini ya wazazi wake na wazee wake mpk SIKU ya mwisho wakeWenye wajibu wa kuzika ni ndugu, mke Hana mamlaka mumewe azikwe wapi ila mwanamke akifa mumewe ndio mwenye mamlaka
Haiko hivyo mkuu, mume akifa ukisikia anaenda kuzikwa kwao ujue anaenda alikozaliwa ambako mke hana uhalali nako, hivyo ndugu wa mume watahusika mwanzo mwisho, na mke siku zote anazikwa na mume wake(hapo mwanaume ndiye anaamua mke wake azikwe wapi) hapo mambo ya haki au gender balanc
Hii ni kwa mujibu wa katiba, dini au mila au desturi?Haiko hivyo mkuu, mume akifa ukisikia anaenda kuzikwa kwao ujue anaenda alikozaliwa ambako mke hana uhalali nako, hivyo ndugu wa mume watahusika mwanzo mwisho, na mke siku zote anazikwa na mume wake(hapo mwanaume ndiye anaamua mke wake azikwe wapi) hapo mambo ya haki au gender balance hayapo
Mhhhhh[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]kumbeeeMarehemu alishaacha wosia azikwe bagamoyo. Mke ndo amegoma kwa sababu za kibiashara. Mahakama imetoa amri mke ametoroka hajazika mimewe. Na hapo awali mke alishafumaniwa na picha zake zilichafua hali ya hewa kwa mange
Kwa hiyo mkuu ni hilo tu ndio la kukufanya uniite mjinga?Jinga wewe ikuhumba ni mchaga.
Mwanamke ni msukuma
Nimejaribu kuscreenshot kwa mange inakuja screen ya giza. Mange mshenzy sana. Hatak tuibe ubuyuuMhhhhh[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]kumbeee
Mnooo anathamini Mali kuliko utu....na Kwa staili huyu dada alikua kimaslahi zaidiUkibahatika kupata mwenza mwenye utu ni zaidi ya uhai ila ukipata mke wa aina ya hili sanga ni mateso tu duniani
Mwanamke mwenye hili sakata katoka Kanda ya Ziwa! Tusiwe na chuki kupitiliza.Mi yalinikuta kwa hao Wachaga nilibaki kimbaumbau kidogo nidanje, sijui nilitoka vipi ktk lile dimbwi la mauti [emoji849]
Asante sana Mungu kuniokoa [emoji2960]
[emoji38][emoji38][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38]jamani wanadamu Wana maneno balaa...safi kabisaWAFIWA WAMEONA ISIWE TABU WAMEMUWEKEA MKE UA LAKE MLANGO AKIJA AMALIZIE KUZIKA. WAKAMUINGANISHIA NA BANGO[emoji119][emoji22] “MTAKA NYINGI NASABA HUPATA MINGI MISIBA”View attachment 2494264View attachment 2494265
Yeye na ukoo wake wote washenzy sanaMnooo anathamini Mali kuliko utu....na Kwa staili huyu dada alikua kimaslahi zaidi
Unapata wapi ujasiri wa kufunga mlango msiba wa mwenza wako?dada ana balaa
Ilitokea hata kitaa kule Kuna Mzee alisema nikifa mnizike pembeni ya nyumba yangu wanangu wasiniuze na ndivyo ilivyokuaNina wasiwasi Me alishahisi kitu juu ya nyumba kwa Mkewe ndiyomaana akaona hata akidanja ni vyema azikwe hapo hapo ktk himaya yake.
Oooh natafakari hapa unaweza kuta hata kifo cha mumewe kina utata, mwanamke ameshajaa ushetani hataki hataki hata kuwa karibu na kaburi la mumeweHivi kwao mwanamke alie kwenye ndoa ni wapi, alafu kumbuka mwanamke haoi bali anaolewa.
Tunapofiwa wanaume ndiyo hupanga mipango yote ya mazishi, huyu mwanamke sijui alizipata wapi nguvu za kuamua mazishi.
🤣🤣🤣🤣Ilitokea hata kitaa kule Kuna Mzee alisema nikifa mnizike pembeni ya nyumba yangu wanangu wasiniuze na ndivyo ilivyokua
Ahaaa kuuumbeeeSio kweli, mwanaume anazikwa kwao means alikozaliwa au popote pale ndugu zake watakapoona inafaa ila mwanamke anazikwa pale mume wake atakapopendekeza. Unadhani mahari ina maana gani?