Bagamoyo Port construction contract to be inked in June

Bagamoyo Port construction contract to be inked in June

Tanga kwa namna moja au nyingine atapewa Total aiendeshe na serikali kubaki na usimamizi

Mtwara nadhani hakuna jibu kwa sasa
Mimi nilidhani hizo bandari mbili ni muhimu kwa sasa kuliko Bagamoyo.
Anyways....since sio hela ya serikali itakayotumika hapo.....lets wait and see
 
Mimi nilidhani hizo bandari mbili ni muhimu kwa sasa kuliko Bagamoyo.
Anyways....since sio hela ya serikali itakayotumika hapo.....lets wait and see
Hivi kwani tukiwa na Bagamoyo Port ambayo itakuwa kubwa zaidi naya kisasa Africa Mashariki kunatatizo ??
 
Hivi kwani tukiwa na Bagamoyo Port ambayo itakuwa kubwa zaidi naya kisasa Africa Mashariki kunatatizo ??
Bandari moja kubwa na bandari tatu medium-sized lakini fully functional and efficient ipi bora?
Mi naona bora Tanga na Mtwara ziimarishwe kwanza. Tanga kuna bomba la mafuta linakuja na kule Mtwara ile bandari iende sambamba na ujenzi wa reli ya SGR to Amelia Bay na Mchuchuma & Liganga mines.
 
Bandari moja kubwa na bandari tatu medium-sized lakini fully functional and efficient ipi bora?
Mi naona bora Tanga na Mtwara ziimarishwe kwanza. Tanga kuna bomba la mafuta linakuja na kule Mtwara ile bandari iende sambamba na ujenzi wa reli ya SGR to Amelia Bay na Mchuchuma & Liganga mines.
Mbona kuna upanuzi unaendelea Mtwara na Tanga? Isitoshe Bagamoyo port inajengwa na private sector.





 
Ushaambiwa fedha binafsi chokochoko za nn?






Haha everything in this country 'kitaanza hivi karibuni'. Hujachoshwa tu na hizo porojo?
Anyways.......hujanielewa. Nimesema since ni hela ya wachina, no worries!
Ila I CAN BET $100 saiv hakutakuwa na Bandari ya maana hapo Mtwara wala Tanga in the foreseeable future! Hiyo yenyewe ya Bagamoyo nina wasiwasi nayo. We have been discussing it tangu mwaka gani sijui.
 
hivi, hii port ya bagamoyo iko supposed ku shindana na port ipi hapa Kenya??
lamu ambayo inajengwa miaka nenda miaka rudi kila siku wanabadilisha mwaka wa kukamilisha ujenzi😀😀
 
hawajui kwamba in 2021, Lamu port; the biggest port this sides of the world itakuwa imesha anza operations. wadanganyika ni vibonzo!
kila siku nunabadilisha miaka ya kukamilika mwanzo ilikua 2019 mkasema 2020 na sasa 2021 hehehe kesho mutatumabia 2023😀😀😀😀
 
Mimi nilidhani hizo bandari mbili ni muhimu kwa sasa kuliko Bagamoyo.
Anyways....since sio hela ya serikali itakayotumika hapo.....lets wait and see
Acha zijengwe zote mkuu...hapo naona serikali inapaswa kujikakamua na Bandari ya Mtwara maana kule kuna project ya reli kwenda nyanda za juu kusini.

Ikijengwa ya bagamoyo ambayo ipo kwenye mpango wa iconomic special zone haitagharimu pesa zetu....ile ya tanga kwa vyovyote vile Total wataijenga tu so serikali itabakia na ya mtwara.
 
Bandari moja kubwa na bandari tatu medium-sized lakini fully functional and efficient ipi bora?
Mi naona bora Tanga na Mtwara ziimarishwe kwanza. Tanga kuna bomba la mafuta linakuja na kule Mtwara ile bandari iende sambamba na ujenzi wa reli ya SGR to Amelia Bay na Mchuchuma & Liganga mines.
Kwani umeambiw
Bandari moja kubwa na bandari tatu medium-sized lakini fully functional and efficient ipi bora?
Mi naona bora Tanga na Mtwara ziimarishwe kwanza. Tanga kuna bomba la mafuta linakuja na kule Mtwara ile bandari iende sambamba na ujenzi wa reli ya SGR to Amelia Bay na Mchuchuma & Liganga mines.
Kwani umeambiwa hazi imarishi ?? Sehemu zote ujenzi unaendelea
 
Acha zijengwe zote mkuu...hapo naona serikali inapaswa kujikakamua na Bandari ya Mtwara maana kule kuna project ya reli kwenda nyanda za juu kusini.

Ikijengwa ya bagamoyo ambayo ipo kwenye mpango wa iconomic special zone haitagharimu pesa zetu....ile ya tanga kwa vyovyote vile Total wataijenga tu so serikali itabakia na ya mtwara.
Ya Mtwara inajengwa hivi hapa napo ongea.
 
Haha everything in this country 'kitaanza hivi karibuni'. Hujachoshwa tu na hizo porojo?
Anyways.......hujanielewa. Nimesema since ni hela ya wachina, no worries!
Ila I CAN BET $100 saiv hakutakuwa na Bandari ya maana hapo Mtwara wala Tanga in the foreseeable future! Hiyo yenyewe ya Bagamoyo nina wasiwasi nayo. We have been discussing it tangu mwaka gani sijui.


Nchi ni ya tuta- , ita- na kulaunch.
 
Back
Top Bottom