Bagia za dengu maziwa na mayai

Sema mkuu tucheke kidogo

Kuna zao linaitwa dengu likishakauka ndio wanasaga unatokea unga pia kuna bagia za kunde pia
Mkuu, fanya kupika za kunde aise. Bibi yangu Iringa alikuwa anazipika sana ila shida alikuwa anazisaga na Jiwe, kwa upishi wa kisasa sijui zinapikwaje.
 
Yummy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…