Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Pole yakeHalf american unamsikia jamaa yal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole yakeHalf american unamsikia jamaa yal
Mkuu, fanya kupika za kunde aise. Bibi yangu Iringa alikuwa anazipika sana ila shida alikuwa anazisaga na Jiwe, kwa upishi wa kisasa sijui zinapikwaje.Sema mkuu tucheke kidogo
Kuna zao linaitwa dengu likishakauka ndio wanasaga unatokea unga pia kuna bagia za kunde pia
Nitajaribu piaMkuu, fanya kupika za kunde aise. Bibi yangu Iringa alikuwa anazipika sana ila shida alikuwa anazisaga na Jiwe, kwa upishi wa kisasa sijui zinapikwaje.
Niliweka sema nilitumia kijiko na sikuweka hamiraUnajua kwann zimekua shapeless?? [emoji3] Kwanza hujaweka baking poweder
Hamira Kwan za biashara 😀 au unakula na kijijiNiliweka sema nilitumia kijiko na sikuweka hamira
Yummyephen_ aliomba nimuonyeshe jinsi ya bagia za dengu zinavyo pikwaa
Nilikuwa na shughuli za hapa napale uku naangalia mpira wa yanga tukashinda uku nanyoosha
Nikawa nawaza chakula jion nikaona bagia kivile ni nyepesi kupika basi nipike
Nikaandaa karoti na hoho
View attachment 3239436
Kisha nikachukua unga wa bagia nikaweks kwenye chombo
View attachment 3239441
Baada ya hapo nukaweka karoti na hoho na kuchanga vizuri
View attachment 3239445
Kisha weka maji kidogo kidogo uji wako hakikisha uji wako haui mzito sana wala mwepesi sana kama hivi
View attachment 3239449
Kisha weka kwenye mafuta tia kidogo kidogo mimi nilitumia kijiko wengine wanatumia mkono kuweka kwenye mafuta moto weka mdogo kabisa ziive pole pole
View attachment 3239453
Baada ya hapo nikachemsha maziwa na mayai sehemu mbilintofauti now nakula karibu
View attachment 3239455
Ulie omba mkate wa mchele kesho nitakupikia muda kesho ninao wakutosha kabisa ila Mama Mwana mkate wako unao utaka ule mgumu kidogo na ugumu unakuja pale jinsi ya kuuoka pia hakuna walaji hapa kwangu