Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #81
Sipendi za kuweka hamirahamira uliweka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipendi za kuweka hamirahamira uliweka?
unaona zilivyojiachia? unaweka kidogo hata baking powder kidogo zjnatutumuka flani hizo umejitahidi lakini bajia za dengu nzuri unaweka hamira unasubiri unga uumuke zinakaa poa zako zinakula mafuta sonSipendi za kuweka hamira
Nitajaribu za hamira siku mojaunaona zilivyojiachia? unaweka kidogo hata baking powder kidogo zjnatutumuka flani hizo umejitahidi lakini bajia za dengu nzuri unaweka hamira unasubiri unga uumuke zinakaa poa zako zinakula mafuta son
ukijaribu utaniambia kama kawaida yakoNitajaribu za hamira siku moja
Sasaiv naona wanataka kunibana 😂 uwez amin nipo kibaruan now nang’aa machoukijaribu utaniambia kama kawaida yako
eeeSasaiv naona wanataka kunibana 😂 uwez amin nipo kibaruan now nang’aa macho
Tuone kama kweli 😂😂Jiko langu limewaka moto kwa haya mapishi, yani mafuta yamemwagika moto huo. Hii yote ya mapishi.
Mamaae
Huyu Mwache Luwii ni mchawi ase utalipia jiko langu ww.😁
Mauzi haya 😂 nausingizi jana sijalala nikasema leo nawai mapema tu na sleeppol
eee
Half american unamsikia jamaa yalJiko langu limewaka moto kwa haya mapishi, yani mafuta yamemwagika moto huo. Hii yote ya mapishi.
Mamaae
Huyu Mwache Luwii ni mchawi ase utalipia jiko langu ww.😁
asa unatakiwa ukitoka hapo unakuta mtoto mzuri kkuwekaa maji yakuoga chakula kitam kiko mezani shida unakuja msos unapika mwenyewe unamtishia hata huyo mtoto wa watuMauzi haya 😂 nausingizi jana sijalala nikasema leo nawai mapema tu na sleep
Faya wapo ndani na cmu yangu ya kupiga picha imejaa mafuta vile nilikuwa nikisoma na kutizama jinsi ya kukarangaTuone kama kweli 😂😂
Juzi kati nilinunua chakula nikaendesha sana mpaka leo bado nimekunywa dawa wapi that why sinunui chakulas
asa unatakiwa ukitoka hapo unakuta mtoto mzuri kkuwekaa maji yakuoga chakula kitam kiko mezani shida unakuja msos unapika mwenyewe unamtishia hata huyo mtoto wa watu
Pole sana mkuuFaya wapo ndani na cmu yangu ya kupiga picha imejaa mafuta vile nilikuwa nikisoma na kutizama jinsi ya kukaranga
😂😂
Naomba twende wote 😅Kwako unakaribisha wageni?
mhh sometimes ni mentality umejiwekea lakini sikushangai hata mm nikinunua juice ya matunda mjini huko lazima tumbo likose ushirikiano had leo sinunui bora ninunue maji ninywe, mwana kasema hatakiJuzi kati nilinunua chakula nikaendesha sana mpaka leo bado nimekunywa dawa wapi that why sinunui chakula
We si utaki mwana aje uku nikae nae
Hakuna tabu. Ndio kujifunza.Pole sana mkuu
Kisa nini ataki?mhh sometimes ni mentality umejiwekea lakini sikushangai hata mm nikinunua juice ya matunda mjini huko lazima tumbo likose ushirikiano had leo sinunui bora ninunue maji ninywe, mwana kasema hataki
Ulitumia kalai?Hakuna tabu. Ndio kujifunza.