Bagia za dengu maziwa na mayai

Bagia za dengu maziwa na mayai

Sipendi za kuweka hamira
unaona zilivyojiachia? unaweka kidogo hata baking powder kidogo zjnatutumuka flani hizo umejitahidi lakini bajia za dengu nzuri unaweka hamira unasubiri unga uumuke zinakaa poa zako zinakula mafuta son
 
unaona zilivyojiachia? unaweka kidogo hata baking powder kidogo zjnatutumuka flani hizo umejitahidi lakini bajia za dengu nzuri unaweka hamira unasubiri unga uumuke zinakaa poa zako zinakula mafuta son
Nitajaribu za hamira siku moja
 
Jiko langu limewaka moto kwa haya mapishi, yani mafuta yamemwagika moto huo. Hii yote ya mapishi.

Mamaae

Huyu Mwache Luwii ni mchawi ase utalipia jiko langu ww.😁
 
Jiko langu limewaka moto kwa haya mapishi, yani mafuta yamemwagika moto huo. Hii yote ya mapishi.

Mamaae

Huyu Mwache Luwii ni mchawi ase utalipia jiko langu ww.😁
Tuone kama kweli 😂😂
 
s
Mauzi haya 😂 nausingizi jana sijalala nikasema leo nawai mapema tu na sleep
asa unatakiwa ukitoka hapo unakuta mtoto mzuri kkuwekaa maji yakuoga chakula kitam kiko mezani shida unakuja msos unapika mwenyewe unamtishia hata huyo mtoto wa watu
 
s

asa unatakiwa ukitoka hapo unakuta mtoto mzuri kkuwekaa maji yakuoga chakula kitam kiko mezani shida unakuja msos unapika mwenyewe unamtishia hata huyo mtoto wa watu
Juzi kati nilinunua chakula nikaendesha sana mpaka leo bado nimekunywa dawa wapi that why sinunui chakula

We si utaki mwana aje uku nikae nae
 
Juzi kati nilinunua chakula nikaendesha sana mpaka leo bado nimekunywa dawa wapi that why sinunui chakula

We si utaki mwana aje uku nikae nae
mhh sometimes ni mentality umejiwekea lakini sikushangai hata mm nikinunua juice ya matunda mjini huko lazima tumbo likose ushirikiano had leo sinunui bora ninunue maji ninywe, mwana kasema hataki
 
mhh sometimes ni mentality umejiwekea lakini sikushangai hata mm nikinunua juice ya matunda mjini huko lazima tumbo likose ushirikiano had leo sinunui bora ninunue maji ninywe, mwana kasema hataki
Kisa nini ataki?
 
Back
Top Bottom