Bahari mpya kuligawa bara la Afrika, Tanzania kuwa sehemu ya Kisiwa

Bahari mpya kuligawa bara la Afrika, Tanzania kuwa sehemu ya Kisiwa


Wanajiolojia wamethibitisha kuwa bahari mpya inaundwa barani Afrika ambayo italigawa bara hilo nusu.

Inasemwa kuwa ufa wenye urefu wa maili 35 ulionekana katika jangwa la Ethiopia eneo la Afar mwaka 2005 na pengine ni mwanzo wa bahari mpya kabisa.

Ukurasa wa The Archeologist umeandika kuwa Jarida la Geophysical Research Letters linalotumia data za tetemeko na utokeaji wa nyufa linasema utengano wa bara la Afrika ulianza taratibu takribani miaka milioni 30 iliyopita.

Mataifa 54 barani Afrika yamegawanywa kulingana na wanajiolojia wanaotafiti juu ya tectonics ya sahani za bara hilo. Ufa wa Afrika Mashariki, unaotenganisha nchi za pwani ya mashariki kama Kenya na Tanzania kutoka sehemu kubwa ya bara, unapitia Msumbiji kutoka eneo la Afar kaskazini mwa Ethiopia.


Chanzo: TBC

--------------

Moja kwa Moja kwenye mada.

Wanajiolojia wanasema Bara la Afrika litagawika kutokana na Bahari Mpya inayoenda kujitokeza.

Kwa Mujibu wa Wataalamu hao Kuna ufa unaoendelea kukua na ulioandia Ethiopia unaozidi kuongezeka kadiri ya Miaka inavyokwenda na hivyo kusababisha matetemeko makubwa ambayo yatakuja kupelekea Drifting ya Bara la Afrika na kuzaa Kisiwa Kipya kikubwa kitakachotenganishwa na Bahari Mpya.

Tanzania itakuwa sehemu ya Kisiwa hicho kikubwa sanjali na Nchi zingine za Afrika Mashariki..

My Take.

Mambo haya sio ya kupuuza ila pia hayazuiliki maana maafa yatakayokuja kutokea itakuwa simulizi ya Dunia,hiyo ya Uturuki na Syria ni maandalizi tuu.

Ukiangalia Mwenendo wa Matetemeko na Volcano za mara Kwa mara Kwenye milima ya DR Congo Mashariki na matukio ya hivi karibuni ya mauji uji ya magma liyojitokeza kwenye uso wa Dunia hasa Dar na Shinyanga ni viashiria tuu vya mambo hayo makubwa yanayotisha yatakayotokea Duniani.

Maandalizi pekee ya hali hii ni unyoofu wa Moyo vinginevyo ni vilio na Wala hakuna sayansi ya kuzuia nature,kama tuu mabara yalivyotokea ndivyo itatokea pia miaka ya baadae.
Mwanadamu aliyezaliwa juzi anazungumzia Nyufa iliyotokea miaka mil 30iliyopita? Tena Biblia unaonesha dunia ina miaka isiyozidi 7000 tu
 
Sisi tunaosoma Biblia na kuelewa NENO la MUNGU, tunasema that will never happen, haitakaa itokee.

Sababu ni kwamba, Biblia imetabiri matukio yote makubwa yatakayotokea duniani. Tukio la kugawanyika kwa bara la Africa ni tukio kubwa mno na halijatabiriwa kwenye Biblia.

Tukio kubwa lililotabiriwa ni tetemeko kubwa la ardhi litakaloikumba dunia yote kwa mara moja na kusababisha milima yote kudidimia na kufutika kabisa kwenye uso wa dunia. Pia, visiwa vyote vitatoweka sababu ya tetemeko hilo. Miji yote, majiji yote ya duniani yataanguka, majumba na maghorofa yote yatakaa chini.

Na baada ya tetemeko hilo kuu, ndipo KRISTO ataonekana akishuka kutoka mawinguni, akija na malaika wengi mno na sauti kuu ya parapanda itasikaka duniani kote.
 
Utanuzi wa Red Sea ama
Sasa naona tunagawanyika na Haya tribe na Wasomali wanakuja pande mbili pia
Ila sasa ZnZ itasogea mpaka Madagascar au itapotea maana mpasuko huo utameza wengi sana

Yajayo yanatisha ila ndio mambo ya Dunia na mabadiliko yanatokea kama hawakufanya yao kwa miaka zaidi ya Mia mmh we never know
 

Wanajiolojia wamethibitisha kuwa bahari mpya inaundwa barani Afrika ambayo italigawa bara hilo nusu.

Inasemwa kuwa ufa wenye urefu wa maili 35 ulionekana katika jangwa la Ethiopia eneo la Afar mwaka 2005 na pengine ni mwanzo wa bahari mpya kabisa.

Ukurasa wa The Archeologist umeandika kuwa Jarida la Geophysical Research Letters linalotumia data za tetemeko na utokeaji wa nyufa linasema utengano wa bara la Afrika ulianza taratibu takribani miaka milioni 30 iliyopita.

Mataifa 54 barani Afrika yamegawanywa kulingana na wanajiolojia wanaotafiti juu ya tectonics ya sahani za bara hilo. Ufa wa Afrika Mashariki, unaotenganisha nchi za pwani ya mashariki kama Kenya na Tanzania kutoka sehemu kubwa ya bara, unapitia Msumbiji kutoka eneo la Afar kaskazini mwa Ethiopia.


Chanzo: TBC

--------------

Moja kwa Moja kwenye mada.

Wanajiolojia wanasema Bara la Afrika litagawika kutokana na Bahari Mpya inayoenda kujitokeza.

Kwa Mujibu wa Wataalamu hao Kuna ufa unaoendelea kukua na ulioandia Ethiopia unaozidi kuongezeka kadiri ya Miaka inavyokwenda na hivyo kusababisha matetemeko makubwa ambayo yatakuja kupelekea Drifting ya Bara la Afrika na kuzaa Kisiwa Kipya kikubwa kitakachotenganishwa na Bahari Mpya.

Tanzania itakuwa sehemu ya Kisiwa hicho kikubwa sanjali na Nchi zingine za Afrika Mashariki..

My Take.

Mambo haya sio ya kupuuza ila pia hayazuiliki maana maafa yatakayokuja kutokea itakuwa simulizi ya Dunia,hiyo ya Uturuki na Syria ni maandalizi tuu.

Ukiangalia Mwenendo wa Matetemeko na Volcano za mara Kwa mara Kwenye milima ya DR Congo Mashariki na matukio ya hivi karibuni ya mauji uji ya magma liyojitokeza kwenye uso wa Dunia hasa Dar na Shinyanga ni viashiria tuu vya mambo hayo makubwa yanayotisha yatakayotokea Duniani.

Maandalizi pekee ya hali hii ni unyoofu wa Moyo vinginevyo ni vilio na Wala hakuna sayansi ya kuzuia nature,kama tuu mabara yalivyotokea ndivyo itatokea pia miaka ya baadae.
Miaka mingapi ijayo hili laweza kutimia ?
 
Continental drifting na points zenu ...hata ukisoma utaambiwa miaka million kadhaa
Hayo n Mambo ya Plates Tectonics na Kwa Notes zao kuwa Movement ya Plate Inachukua Centimetres 20 per Year ili kutimia bhs Jambo ilo kutimia Litahitaji Miaka Mingi Zaidi kutokea maana maeneo yalioonyeshwa sio yote yapo kweny Subduction Zones?!
 
Back
Top Bottom