Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema Mungu wenu katiri sana na gaidi kwan hawez kufanya huo uharamia wake wa kuijenga dunia apendavyo bila kuharibu maisha ya watu na kuacha maumivu?Usiogope ni kawaida tu, kama wewe unavyofanya ukarabati wa Nyumba yako kwa kupaka rangi mpya ama kufunga kitasa kipya ndivyo MUNGU wetu Mkuu anavyofanya
🥹🥹[emoji849][emoji849]wanamahangaiko
[emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590] hili ni jibu sahihi kabisaMungu anaendelea kuboresha uumbaji wake kwa kutengeneza umbo alitakalo Duniani.... Kama ilivyo kwenye Nyumba zetu ujenzi hauishi kuna kuwa na maboresho ya mara kwa mara ili kupata kitu bora machoni pa Mmiliki wake
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nyie mtatoweka kwenye ramani ya Dunia Kwa kumezwa na majiZanzibar tutakua upande gani?
[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Usiogope ni kawaida tu, kama wewe unavyofanya ukarabati wa Nyumba yako kwa kupaka rangi mpya ama kufunga kitasa kipya ndivyo MUNGU wetu Mkuu anavyofanya
[emoji849][emoji849][emoji2957][emoji2957][emoji16][emoji16][emoji125][emoji125]Kwahio wabara nao wataitwa wala urojo
Mtikisiko wa magma huko chini na hayo maeneo ya Congo ndio pua za kupumulia.Sasa tetemeko la Congo na habari za Milima zina uhusiano gani na swala la Crack za mwamba wa bahari?
Zenji itakuwa imemezwa na maji ya mabadiliko ya Tabia Nchi hata kabla ya driftinginsha'Allah Muungano utakua ushavunjika hapo. Kila mtu achukue chake
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Itakuwa Mungu amechoshwa na ujinga wa waafrica acha atusongeze na Australia huko labda kipande chetu tutabadilika na kushine kidogo.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Natamani ingetokea hata kesho
Inaonekana ni miaka millions ijayoMiaka mingapi ijayo hili laweza kutimia ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]SGR yetu ya kwenda congo itakua inamwaga maji baharini kama mto.
Hakika ni vita ya kiuchumi[emoji23]
Tunavyosoma mambo ya nadharia za drifting na plate tectonics Hadi kugawanyika Kwa Dunia kwenye mabala 8 ndivyo nao watasoma maana inaweza kuja kutokea mamilioni ya miaka ijayoNashukuru hayo yakitokea nikiwa sipo dunian[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Vizaz vijavyo vitakuja kushuhudia maajabu ambayo itawalazimu kuyaweka ktk makala za kihistoria na maumivu makali sana(tusiombe yatokee).
Tuelekeako ni kubaya kulko tulikotoka, majanga mengi ambayo hata hayajawai kushuhudiwa yanaweza kuja kuikumba dunia.
Tuweni macho na umakini mkubwa sana, tuelimike jaman tuache ujuaji wa kubishana na sayansi[emoji23]
Inaweza kuja kutokea miaka Million 4 ijayo au hata miaka laki 8 ijayoKwaiyo hapa hakuna haja ya kujenga reli kuelekea Congo?
3cm yearlyYes.. miaka maelfu yajayo.