Bahari mpya kuligawa bara la Afrika, Tanzania kuwa sehemu ya Kisiwa

Bahari mpya kuligawa bara la Afrika, Tanzania kuwa sehemu ya Kisiwa

Kwaiyo hapa hakuna haja ya kujenga reli kuelekea Congo?

Tujenge tu huwezi jua,labda ndio kamba pekee itakayoshikilia hicho kipande kisigawanyike kwa kasi na kupunguza maafa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji1545][emoji1545].


Samahani mtoto alishika simu.sio mimi niliyeandika[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mungu anaendelea kuboresha uumbaji wake kwa kutengeneza umbo alitakalo Duniani.... Kama ilivyo kwenye Nyumba zetu ujenzi hauishi kuna kuwa na maboresho ya mara kwa mara ili kupata kitu bora machoni pa Mmiliki wake
Si mnasemaga kila alichokiumba aliona Ni chema na akapumzika! Kumbe nae Ni fundi Michael?
 
Sisi tunaosoma Biblia na kuelewa NENO la MUNGU, tunasema that will never happen, haitakaa itokee.

Sababu ni kwamba, Biblia imetabiri matukio yote makubwa yatakayotokea duniani. Tukio la kugawanyika kwa bara la Africa ni tukio kubwa mno na halijatabiriwa kwenye Biblia.

Tukio kubwa lililotabiriwa ni tetemeko kubwa la ardhi litakaloikumba dunia yote kwa mara moja na kusababisha milima yote kudidimia na kufutika kabisa kwenye uso wa dunia. Pia, visiwa vyote vitatoweka sababu ya tetemeko hilo. Miji yote, majiji yote ya duniani yataanguka, majumba na maghorofa yote yatakaa chini.

Na baada ya tetemeko hilo kuu, ndipo KRISTO ataonekana akishuka kutoka mawinguni, akija na malaika wengi mno na sauti kuu ya parapanda itasikaka duniani kote.
Inabidi uwe na upungufu wa akili kuamini porojo Kama hiyo
 
Mbona walikuwa wanasema litagawanyika horizontally na sio vertically kama hivyo?
 
Back
Top Bottom