Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana ya evolution, kama dinosaur wa miaka hiyo amekuwa kereng'ende au mijusi wa sasa. Why not mtutsi akawa kijakazi wa wahutu?Haitakuja kutokea mtutsi kumtumikia Mhutu
Kwaiyo hapa hakuna haja ya kujenga reli kuelekea Congo?
Si mnasemaga kila alichokiumba aliona Ni chema na akapumzika! Kumbe nae Ni fundi Michael?Mungu anaendelea kuboresha uumbaji wake kwa kutengeneza umbo alitakalo Duniani.... Kama ilivyo kwenye Nyumba zetu ujenzi hauishi kuna kuwa na maboresho ya mara kwa mara ili kupata kitu bora machoni pa Mmiliki wake
Inabidi uwe na upungufu wa akili kuamini porojo Kama hiyoSisi tunaosoma Biblia na kuelewa NENO la MUNGU, tunasema that will never happen, haitakaa itokee.
Sababu ni kwamba, Biblia imetabiri matukio yote makubwa yatakayotokea duniani. Tukio la kugawanyika kwa bara la Africa ni tukio kubwa mno na halijatabiriwa kwenye Biblia.
Tukio kubwa lililotabiriwa ni tetemeko kubwa la ardhi litakaloikumba dunia yote kwa mara moja na kusababisha milima yote kudidimia na kufutika kabisa kwenye uso wa dunia. Pia, visiwa vyote vitatoweka sababu ya tetemeko hilo. Miji yote, majiji yote ya duniani yataanguka, majumba na maghorofa yote yatakaa chini.
Na baada ya tetemeko hilo kuu, ndipo KRISTO ataonekana akishuka kutoka mawinguni, akija na malaika wengi mno na sauti kuu ya parapanda itasikaka duniani kote.
Hiyo ni issue ya Miaka milioni 5 ijayoTutajipanga Hakuna Namna Acha Itokee Tu
Kwani mto Congo unamwaga maji lake TanganyikaNini hatma ya mto congo maana naona lake Tanganyika halitakuwepo tena.
Kumbe Tutakuwa HatupoHiyo ni issue ya Miaka milioni 5 ijayo
Sio Dunia ni binadamuMwanadamu aliyezaliwa juzi anazungumzia Nyufa iliyotokea miaka mil 30iliyopita? Tena Biblia unaonesha dunia ina miaka isiyozidi 7000 tu
Kwamba hakuna mtutsi aliyeajiriwa na mhutu?Haitakuja kutokea mtutsi kumtumikia Mhutu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Mmechungishwa Sana ng'ombe tabora na kufanya kazi ndogondogo mabwege nyie
Source kubwa ya huo mto ni lake Tanganyika.Kwani mto Congo unamwaga maji lake Tanganyika
Dogo kuna mkenya Ontario ni Chef anapendwa sana. Amenusurika kuwa deported. Kaongezewa another 18 months to stay in Canada. Yani anasheherekea
Vita ya kiuchumi [emoji16]
Huyohuyo ameongezewa 18 months. Na atapewa permanent residents. Watu wamefurahi sana.Dah yule jamaa kumbe aliongezewa 18moths, nilisoma story yake,
Anaupara hivi