Bahari mpya kuligawa bara la Afrika, Tanzania kuwa sehemu ya Kisiwa

Yaani likitokea hilo watu wengi sanaaa watakufa na hatuwezi kuzuia chochote.

Yaani watakufa na pakuzika patakua hapapo, Waombolezaji Wataombeleza na kuwalia nduguNa Watu wasiowajua na kuwasahau kabisa pia Kuna Baadhi ya Mataifa yatafutwa katika uso wa Dunia.

Mungu saidia lisitokee miaka ya hivi karibuni [emoji2969]
 
Haitakuja kutokea mtutsi kumtumikia Mhutu
Hapo Katoro,Bwanga na maeneo ya jirani mpo mmejazana mnachunga ng'ombe kwa kuajiriwa na mshahara ni chakula na sehemu ya kulala tu.Mnaongeaga utadhani wote mna uwezo kumbe idadi kubwa ni maskini wa kutupwa.
 
Mmechungishwa Sana ng'ombe tabora na kufanya kazi ndogondogo mabwege nyie
Katoro huko maporini mpaka leo kazi yao ndiyo hiyo hiyo kuchunga ng'ombe,ni kazi wanayoiweza nankuipenda ili mradi awe na uhakika wa kunywa maziwa tu basi
 
mpaka haya yatokee Tanzania haitakuwepo, maana inatafunwa kwa kwa speed ya mwanga
 
Mkuu haya mambo hayatokei kwa usiku mmoja, ni very vey gradual process.

Bahari hupanuka au kupungua kwa mwaka 0.01 hadi 1cm kwa mwaka. Na hilo bonde la ufa linazidi kuongezeka kila siku na baada ya miaka mingi sana ijayo (50M) litajazwa maji na kuitwa bahari. Na kujazazwa kwake maji process yake ilishaanza, humo utakuta madimbwi, vijito, mabwawa na mwisho maji yata colonize. Kipande kitazidi kujitenga kidogokidogo na kujisogeza mashariki. Hii process inaambatana na matetemeko, milipuko ya volcano n.k.
 
Umbali kwenda unguja na pemba utapungua nadhani na kodi za magari kutokea Zanzibar pia shughuli za utalii bahari zitahamia Kigoma
 
Kama na watu watakufa bas itakua ni ukatili wa Hali ya juu Zaid kuwahi kutokea Maishani!!
 
Hizo ni dalili za mwisho za kiama hata kwenye qu_rani imeelezewa kila kitu na kisiwa cha mwanzo kuangamiya ni tanzania kitafudikizwa na bahari kipotee kabi
 
Hizo ni dalili za mwisho za kiama hata kwenye qu_rani imeelezewa kila kitu na kisiwa cha mwanzo kuangamiya ni tanzania kitafudikizwa na bahari kipotee kabi
Mkuu

Qur'an imeitaja TANZANIA kwenye hilo!!?

Tuambie Qur'an ngapi na sura Gani imetaja hilo!!?

Acha Kuleta taharuki nchini!!
 
Tena mshahara wao mkubwa ni kuhakikishiwa tu kunywa maziwa,chakula na sehemu ya uhakika ya kulala

Na mkambala(tumbaku iliyosokotwa kama kamba).

Ila ndoto za Alinacha hazijawahi ondoka vichwani mwa watu
 
Kama na watu watakufa bas itakua ni ukatili wa Hali ya juu Zaid kuwahi kutokea Maishani!!
Gharika wakati wa Nuhu na moto wa Sodoma na Gomorah vilikuwa ni ukatili wa hali ya juu?

Dunia na vyote viijazavyo ni mali ya MUNGU. Yeye ndiye aliumba dunia na viumbe vyote ukiwemo na wewe mwanadamu pia ni mali ya MUNGU, tena wewe u kazi ya mikono yake.

Ikiwa wewe unaweza kusafisha nyumba yako, ukaua panya na mende wote walioko ndani ya nyumba yako, viumbe ambao hujawaumba wewe. Je, MUNGU aliyeumba hana haki ya kuisafisha dunia yake na uchafu wote kuuchoma moto????
 
Hadi itokee hio none of us will be alive, not to mention the Earth itself 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…