Bahari mpya kuligawa bara la Afrika, Tanzania kuwa sehemu ya Kisiwa

Bahari mpya kuligawa bara la Afrika, Tanzania kuwa sehemu ya Kisiwa

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Bara.png

Wanajiolojia wamethibitisha kuwa bahari mpya inaundwa barani Afrika ambayo italigawa bara hilo nusu.

Inasemwa kuwa ufa wenye urefu wa maili 35 ulionekana katika jangwa la Ethiopia eneo la Afar mwaka 2005 na pengine ni mwanzo wa bahari mpya kabisa.

Ukurasa wa The Archeologist umeandika kuwa Jarida la Geophysical Research Letters linalotumia data za tetemeko na utokeaji wa nyufa linasema utengano wa bara la Afrika ulianza taratibu takribani miaka milioni 30 iliyopita.

Mataifa 54 barani Afrika yamegawanywa kulingana na wanajiolojia wanaotafiti juu ya tectonics ya sahani za bara hilo. Ufa wa Afrika Mashariki, unaotenganisha nchi za pwani ya mashariki kama Kenya na Tanzania kutoka sehemu kubwa ya bara, unapitia Msumbiji kutoka eneo la Afar kaskazini mwa Ethiopia.


Chanzo: TBC

--------------

Moja kwa Moja kwenye mada.

Wanajiolojia wanasema Bara la Afrika litagawika kutokana na Bahari Mpya inayoenda kujitokeza.

Kwa Mujibu wa Wataalamu hao Kuna ufa unaoendelea kukua na ulioandia Ethiopia unaozidi kuongezeka kadiri ya Miaka inavyokwenda na hivyo kusababisha matetemeko makubwa ambayo yatakuja kupelekea Drifting ya Bara la Afrika na kuzaa Kisiwa Kipya kikubwa kitakachotenganishwa na Bahari Mpya.

Tanzania itakuwa sehemu ya Kisiwa hicho kikubwa sanjali na Nchi zingine za Afrika Mashariki..

My Take.

Mambo haya sio ya kupuuza ila pia hayazuiliki maana maafa yatakayokuja kutokea itakuwa simulizi ya Dunia,hiyo ya Uturuki na Syria ni maandalizi tuu.

Ukiangalia Mwenendo wa Matetemeko na Volcano za mara Kwa mara Kwenye milima ya DR Congo Mashariki na matukio ya hivi karibuni ya mauji uji ya magma liyojitokeza kwenye uso wa Dunia hasa Dar na Shinyanga ni viashiria tuu vya mambo hayo makubwa yanayotisha yatakayotokea Duniani.

Maandalizi pekee ya hali hii ni unyoofu wa Moyo vinginevyo ni vilio na Wala hakuna sayansi ya kuzuia nature,kama tuu mabara yalivyotokea ndivyo itatokea pia miaka ya baadae.
 
Wanajiolojia wamethibitisha kuwa bahari mpya inajiunda huku bara la Afrika likitegemewa kugawanyika nusu.

Bundle likikurihusu angalia hiyo sinema hapo chini👇🏾!.


Juhudi za kimataifa zimefichua kuwa ufa wenye urefu wa maili 35 lilioonekana katika jangwa la Ethiopia katika eneo la Far mwaka 2005 ilionekana pengine kama ni mwanzo wa bahari mpya kabisa.

Utafiti wa hivi majuzi, uliochapishwa katika jarida la Utafiti wa Jiofizikia, unachanganya data za tetemeko kutoka kwa uundaji wa ufa ili kuonyesha kuwa inaendeshwa na michakato sawa na ule uliopo chini ya bahari.

Mapande ya mwamba ya Afrika na Arabia yanagongana jangwani na yamekuwa yakitengana polepole kwa takriban miaka milioni 30. Mwendo huo huo pia umegawanyika Bahari Nyekundu, lakini hii inatokea tu kwa kiwango cha sehemu ya inchi kwa mwaka.

Mataifa 54 ya Afrika yanagawanywa kulingana na wataalamu wa jiolojia, rift ya Afrika Mashariki, ambayo hutenganisha nchi za pwani ya mashariki kama Kenya na Tanzania kupita Msumbiji kutoka eneo la Afar la kaskazini mwa Ethiopia.

Utafiti mpya katika jarida la asili uligundua kwamba vipande viwili vya ardhi vinatenganisha kwa kiwango cha milimita 7 kwa mwaka na mataifa kama Zambia na Uganda watakuwa na pwani zao wenyewe.
 

Wanajiolojia wamethibitisha kuwa bahari mpya inaundwa barani Afrika ambayo italigawa bara hilo nusu.

Inasemwa kuwa ufa wenye urefu wa maili 35 ulionekana katika jangwa la Ethiopia eneo la Afar mwaka 2005 na pengine ni mwanzo wa bahari mpya kabisa.

Ukurasa wa The Archeologist umeandika kuwa Jarida la Geophysical Research Letters linalotumia data za tetemeko na utokeaji wa nyufa linasema utengano wa bara la Afrika ulianza taratibu takribani miaka milioni 30 iliyopita.

Mataifa 54 barani Afrika yamegawanywa kulingana na wanajiolojia wanaotafiti juu ya tectonics ya sahani za bara hilo. Ufa wa Afrika Mashariki, unaotenganisha nchi za pwani ya mashariki kama Kenya na Tanzania kutoka sehemu kubwa ya bara, unapitia Msumbiji kutoka eneo la Afar kaskazini mwa Ethiopia.


Chanzo: TBC

--------------

Moja kwa Moja kwenye mada.

Wanajiolojia wanasema Bara la Afrika litagawika kutokana na Bahari Mpya inayoenda kujitokeza.

Kwa Mujibu wa Wataalamu hao Kuna ufa unaoendelea kukua na ulioandia Ethiopia unaozidi kuongezeka kadiri ya Miaka inavyokwenda na hivyo kusababisha matetemeko makubwa ambayo yatakuja kupelekea Drifting ya Bara la Afrika na kuzaa Kisiwa Kipya kikubwa kitakachotenganishwa na Bahari Mpya.

Tanzania itakuwa sehemu ya Kisiwa hicho kikubwa sanjali na Nchi zingine za Afrika Mashariki..

My Take.

Mambo haya sio ya kupuuza ila pia hayazuiliki maana maafa yatakayokuja kutokea itakuwa simulizi ya Dunia,hiyo ya Uturuki na Syria ni maandalizi tuu.

Ukiangalia Mwenendo wa Matetemeko na Volcano za mara Kwa mara Kwenye milima ya DR Congo Mashariki na matukio ya hivi karibuni ya mauji uji ya magma liyojitokeza kwenye uso wa Dunia hasa Dar na Shinyanga ni viashiria tuu vya mambo hayo makubwa yanayotisha yatakayotokea Duniani.

Maandalizi pekee ya hali hii ni unyoofu wa Moyo vinginevyo ni vilio na Wala hakuna sayansi ya kuzuia nature,kama tuu mabara yalivyotokea ndivyo itatokea pia miaka ya baadae.

Ripoti Kamili na muonekano wa ramani mpya hii hapa
Nini hatma ya mto congo maana naona lake Tanganyika halitakuwepo tena.
 

Wanajiolojia wamethibitisha kuwa bahari mpya inaundwa barani Afrika ambayo italigawa bara hilo nusu.

Inasemwa kuwa ufa wenye urefu wa maili 35 ulionekana katika jangwa la Ethiopia eneo la Afar mwaka 2005 na pengine ni mwanzo wa bahari mpya kabisa.

Ukurasa wa The Archeologist umeandika kuwa Jarida la Geophysical Research Letters linalotumia data za tetemeko na utokeaji wa nyufa linasema utengano wa bara la Afrika ulianza taratibu takribani miaka milioni 30 iliyopita.

Mataifa 54 barani Afrika yamegawanywa kulingana na wanajiolojia wanaotafiti juu ya tectonics ya sahani za bara hilo. Ufa wa Afrika Mashariki, unaotenganisha nchi za pwani ya mashariki kama Kenya na Tanzania kutoka sehemu kubwa ya bara, unapitia Msumbiji kutoka eneo la Afar kaskazini mwa Ethiopia.


Chanzo: TBC

--------------

Moja kwa Moja kwenye mada.

Wanajiolojia wanasema Bara la Afrika litagawika kutokana na Bahari Mpya inayoenda kujitokeza.

Kwa Mujibu wa Wataalamu hao Kuna ufa unaoendelea kukua na ulioandia Ethiopia unaozidi kuongezeka kadiri ya Miaka inavyokwenda na hivyo kusababisha matetemeko makubwa ambayo yatakuja kupelekea Drifting ya Bara la Afrika na kuzaa Kisiwa Kipya kikubwa kitakachotenganishwa na Bahari Mpya.

Tanzania itakuwa sehemu ya Kisiwa hicho kikubwa sanjali na Nchi zingine za Afrika Mashariki..

My Take.

Mambo haya sio ya kupuuza ila pia hayazuiliki maana maafa yatakayokuja kutokea itakuwa simulizi ya Dunia,hiyo ya Uturuki na Syria ni maandalizi tuu.

Ukiangalia Mwenendo wa Matetemeko na Volcano za mara Kwa mara Kwenye milima ya DR Congo Mashariki na matukio ya hivi karibuni ya mauji uji ya magma liyojitokeza kwenye uso wa Dunia hasa Dar na Shinyanga ni viashiria tuu vya mambo hayo makubwa yanayotisha yatakayotokea Duniani.

Maandalizi pekee ya hali hii ni unyoofu wa Moyo vinginevyo ni vilio na Wala hakuna sayansi ya kuzuia nature,kama tuu mabara yalivyotokea ndivyo itatokea pia miaka ya baadae.
Bora na iwe hivyo ,tugravitate kwa waAustralia huko labda tunaweza pata evolution jamii hii ikabadilika na kuwa tofauti na ngedere wengine wa bara hili
 
Back
Top Bottom