Baharia mwenzenu yememkuta msijesema ni uongo

Baharia mwenzenu yememkuta msijesema ni uongo

Bado hajanyooshwa!
Hahaha ulitaka wapite igunga
NAOMBA RADHI!!:OrangeJustice::OrangeJustice:
Hahaha kutoka moyoni
😂😂😂😂wamemuonea tu kwan huyo mke ye hajijui kama ni mke watu
Kwani ukikanyagwa mtu hajui kama utaumia?
Wanaume hapa ndio tunapofeli, kosa ni umalaya wa mke wake yeye anaenda kumpiga mwanaume mwenzake.

Hapo malaya anamuona mumewe mjinga na ataendelea kutombesha kama kawa.

Suluhisho ni kumpiga chini mke malaya

Huyu jamaa hana hata kosa basi tu, jumba bovu limemwangukia
Jilinde mwanamke ni sheitwani kama sio mama yako
Mke anauma jmn acheni tu..
Uliwahi gongewa nn umeongea kwa hisia
 
Back
Top Bottom