Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Tupigeni tu mawe ata sasa tupo tayariWanawake tunafahamu mnakimbia accountability.
Kwa Mungu enzi za Musa walikuwa wanapigwa mawe na bado wana makosa wote wawili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupigeni tu mawe ata sasa tupo tayariWanawake tunafahamu mnakimbia accountability.
Kwa Mungu enzi za Musa walikuwa wanapigwa mawe na bado wana makosa wote wawili.
Hakuna haja ya kupiga mawe ni kuachana tu , wewe ufurahie na mtu umpendaye, maana huwezi saliti kama hujampenda.Tupigeni tu mawe ata sasa tupo tayari
badala adeal na mkewe ndani ye anamuonea mtu mwingineShangaa....
ni kweli nimekupenda,,ila nimekupendea kitu fulani kwaio vingine ntavipata nje uko soooo.......tuvumiliane.Hakuna haja ya kupiga mawe ni kuachana tu , wewe ufurahie na mtu umpendaye, maana huwezi saliti kama hujampenda.
I will not wrestle with women, it's a waste of time.
Mwanamke ni kama bata au kondoo, au treni....Unamaanisha nini?
Inasikitisha sana kuwa na kizazi cha wanaume wajinga kama weweMwanamke ni kama bata au kondoo, au treni....
Huu ni ubinafisi wa hali ya juu,hivi unadhani wake zetu wao wanaridhika na sisi 100% ,vipi kama humtoshelezi ashindwe kwenda kutafuta part time?,siwezi nikafanya huu ujinga.Tego n kama password ila
Unaweza ukatoa bikira akaja kupewa kitambo kikali kuliko akakusahau. Wapo waliowachagua mabikra kutoka kijijini na kuja nao mjini. Mwisho wa siku wanyoosha mikono juu. Bora aliyedinywa mpaka anaridhika akisema nimuda wa kutulia. Ukitaka hasara ya bikira waulize walipa mabinti wadogo ambao wanataka kujaribu jaribu.Kama ulimuoa ukamkuta sio bikira ujue ulioa kahaba
Your dick inside her wasn't the first one, and it won't be the last
☺️☺️😂😂😂😂wamemuonea tu kwan huyo mke ye hajijui kama ni mke watu
Huwa napenda sana huo msemo, it's not anybody's duty to sexually satisfy a harlot, it's a duty of the streets.Mwenye mali ni nani?
Kama mali inagawa uchi hovyo it means she belongs to the streets
It's not your duty to sexually satisfy a harlot is the duty of the streets
Sema siku nikijua siyo ikitokeaHapana.. sijawah chapiwa (nina uhakika)..
Huwa nawaza siku ikitokea ntajisikiaje..
Kama umenipenda utaniheshimu, msamiati wa kuvumiliana kwenye mambo kama hayo sina.ni kweli nimekupenda,,ila nimekupendea kitu fulani kwaio vingine ntavipata nje uko soooo.......tuvumiliane.