Baharia mwenzenu yememkuta msijesema ni uongo

Baharia mwenzenu yememkuta msijesema ni uongo

Tupigeni tu mawe ata sasa tupo tayari
Hakuna haja ya kupiga mawe ni kuachana tu , wewe ufurahie na mtu umpendaye, maana huwezi saliti kama hujampenda.

I will not wrestle with women, it's a waste of time.
 
Hakuna haja ya kupiga mawe ni kuachana tu , wewe ufurahie na mtu umpendaye, maana huwezi saliti kama hujampenda.

I will not wrestle with women, it's a waste of time.
ni kweli nimekupenda,,ila nimekupendea kitu fulani kwaio vingine ntavipata nje uko soooo.......tuvumiliane.
 
Kataa mke wa mtu , acha shobo na mke wa mtu , futa namba za mke wa mtu ....Punguza mazoea na utani na mke wa mtu.
 
Siku nikiwa kichaaa nkaoa nkikuta umemshikisha ukuta mke wangu nafunga mlango kwa nje naenda kwa afisa nyuki nabeba furushi la nyuki nawabwagia humo ndani
 
Tego n kama password ila
Huu ni ubinafisi wa hali ya juu,hivi unadhani wake zetu wao wanaridhika na sisi 100% ,vipi kama humtoshelezi ashindwe kwenda kutafuta part time?,siwezi nikafanya huu ujinga.

K ni yake,mwache awe huru,kikubwa nisijue tu,bati siwezi pigana na mwanamme nitaachana na mke kiroho safi,japo bado nitakuwa namuonea,ila ndo hivyo kiumbe chochote cha jinsi ya kiume hakipendi kushare mwanamke,iwe kuku,bata ,mbwa nk
 
Kama ulimuoa ukamkuta sio bikira ujue ulioa kahaba

Your dick inside her wasn't the first one, and it won't be the last
Unaweza ukatoa bikira akaja kupewa kitambo kikali kuliko akakusahau. Wapo waliowachagua mabikra kutoka kijijini na kuja nao mjini. Mwisho wa siku wanyoosha mikono juu. Bora aliyedinywa mpaka anaridhika akisema nimuda wa kutulia. Ukitaka hasara ya bikira waulize walipa mabinti wadogo ambao wanataka kujaribu jaribu.
 
ni kweli nimekupenda,,ila nimekupendea kitu fulani kwaio vingine ntavipata nje uko soooo.......tuvumiliane.
Kama umenipenda utaniheshimu, msamiati wa kuvumiliana kwenye mambo kama hayo sina.

Kama kuna tatizo sema lisuluhishwe.
 
Back
Top Bottom