Baharia ogopa mabinti wanaojipodoa, wengi hawafai kwa ndoa

sijawahi kufikiria kudate na sijawahi kudate na mwanamke mvaa wigi,mikucha mirefu au mwenye kujipka cream hyo ndo principle yngu
Ila kwa kweli mawigi yanakera. Mengine ukiligusa tu unaweza washwa hata mwezi. Halafu yana mapepo ya hao wafu wenye nywele zao. Ni marufuku mwanamke mwenye wigi kuingia ghetoni kwangu au hata kunikumbatia. Kupeana mikosi tu ya wafu wa Brazil [emoji16][emoji16][emoji16][emoji51][emoji51]
 
Wewe unaishi kwenye nyumba yenye vioo na bado umerusha jiwe gizani, ooh; shauri yako poti. 😁😁
 
[emoji16][emoji16][emoji16] daah aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba ukimaanisha tusiojipodoa kiivyo Ni wife material eeh!! Basi hauko sahihi,
 
 
AF wanawake wakibrazil wana nywele hatari!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…