Baharia tunza 'mpini' wako vizuri

Before marriage nilikutana na mtu ni ameshiba nikasema leo lazima nilewe japo nisisikie mapigo nikawa mawazoni .
Nimechi ya big show na katoto kazuri sasa nikawa napiga tu tungi tena mechi hiyo nimeridhia basi mpendwa kila kitu was amazing ila kimoja tu ni mpini.
Kimoja tu kalala unamuamsha haamki.
Nguvu yote kumbe hewa yupo nimeshamaliza 🙄🙄 nikakaa nikaona ngoja nilale .
 
Ungemsaidia kuiamsha,angalau amalizie nusu mechi
 
Dr. Vipi huko hosptl unakula tu
 
Mkuu nakubali kumbe ww ni master plan aiseeeeh,,

Hii degree ya kuwasoma hawa viumbe kiukweli umeiva[emoji3],,

Mabaharia tunakuunga mkono aiseh,, hapo ulipo agiza naja lipa,,


Japo uliyoongea umewachoma sana[emoji3],
Kikao kijacho cha mabaharia nitaleta mswaada binafsi kupitisha huu utafiti wangu kuwa sheria kamili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…