Baharia usijibu hizi text, Utanishukuru baadae

Sasa mbona mnachoma ramani ya vita??
 
Kwani ukimwambia Sina atakuua? Mbona mnakua waoga nyie wanaume. Sema sina/sikupi nna majukumu mengine yani usiahidi kitu nenda straight Sina
na yeye pia utamjengea tabia ya kuwa straight "Ooh babe ile tshirt yangu uliyofua uliweka wapi "Sijui" "babe njoo niko hapa" "siji"
mbona rahisi nyie ndio mnatindinganya mambo
 
Mimi nilipoona picha mengine sikujisumbua hata kusoma
 
Kumkatalia moja kwa moja sio poa bora kumzingua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…