Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Ndo nini sasaINAENDELEA
Bahati Bukuku anakiri kwamba alikuwa na utoto, kutokujitambua na ushamba mwingi sana kiasi Cha kushindwa kutambua nia ya sponsor kutoka mwanzoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo nini sasaINAENDELEA
Bahati Bukuku anakiri kwamba alikuwa na utoto, kutokujitambua na ushamba mwingi sana kiasi Cha kushindwa kutambua nia ya sponsor kutoka mwanzoni.
Sasa kwa jinsi wanawake wa Mbeya walivyo..sponsor itakua alipiga sana...Sponsor sijui alikwama wapi, mwenzake Ruge alikuwa anapiga kwanza kabla msanii ajatoka.
Lazima alipiga bhana., bukuku kaedit ukweliSponsor sijui alikwama wapi, mwenzake Ruge alikuwa anapiga kwanza kabla msanii ajatoka.
HujakoseaUpstairs, bahati bukuku hayupo sawa kabisa, yaani ni mmama anaye payuka payuka hana full-stop mdomoni mwake
Nimependa namna ulivyodai muendelezo.Muendelezo wake uko wapi mkuu, hatujafika kileleni
Yaani wakati anatoka mi nilikuwa najua ni mmama!! Kumbe mdogo angu, mweee1981 lakini anaonekana aged sana
Huenda pia umri wake usiwe sahihi waongo waongo sana hawa wasaniiYaani wakati anatoka mi nilikuwa najua ni mmama!! Kumbe mdogo angu, mweee
Aisee we jamaa itakua unashinda pale Ubungo kuandika majina ya wanaoingia mjini.Huyu dem anakuja mjini namuona
Sauti yake ilikuwa hivyo hivyo
Ova
Huyu jamaa anamjua kila mtu historia yake..Inawezekana hata bible na quran alishiriki kuandika 😂Aisee we jamaa itakua unashinda pale Ubungo kuandika majina ya wanaoingia mjini.
Tena ana maneno machafu sana.Upstairs, bahati bukuku hayupo sawa kabisa, yaani ni mmama anaye payuka payuka hana full-stop mdomoni mwake
Mkuu huu mji unamengi tusiyo yajuaKuna watu wanamwita mtoto wa mjini anakifurahia hicho cheo
Hajui anajichoresha inamlazimu kuongea uwongo kuwafurahisha watu
Uyo bwana ni mtu mstaarabu ila apunguze uwongo
Mtu mzima unaongea uwongo ni karaha
Watakwenda jehanamu na hoye zaoHoyeee