Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
Mwendelezo plz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WTF?! Hamjafika kileleni??!Muendelezo wake uko wapi mkuu, hatujafika kileleni
Namjua na gari yake ya kwanza kitchen party nlimuzia mimiAisee we jamaa itakua unashinda pale Ubungo kuandika majina ya wanaoingia mjini.
Biashara zangu nlikuwa nakutana na na naendelea kukutana na watu wengi wazito kwa wepesi mzeeHuyu jamaa anamjua kila mtu historia yake..Inawezekana hata bible na quran alishiriki kuandika [emoji23]
Halafu we jamaa nakufananisha na mdogo wake Walter pale uwanja wa Bui bui.Namjua na gari yake ya kwanza kitchen party nlimuzia mimi
Inshort nlimshikisha...alikuwa na munkari ya kumiliki gari
Alifikiaga kwa ndugu zake bukuku family wako hapo mwananyamala garage...
We mzee usinchkulie poa watu mjini kitambo bwana tuna legacy zetu kitaani
Ova
Ipo youtubeMwandishi alitakiwa aanze na historia Bahati alizaliwa lini na wapi,shule alisoma wapi na sasa yuko wapi anafanya nini.Historia huamusha hisia za vizazi na vizazi. Maana Bahati anafollowers wengi, kuwainspire ni kuandika full History yake.
Ndo kusema jide aligoma kupigwaSponsor sijui alikwama wapi, mwenzake Ruge alikuwa anapiga kwanza kabla msanii ajatoka.
Shule sio muhimu Hata [emoji23]Mi nilijua alirisiti akiwa Meta,kumbe alianza kurisiti akiwa Dar,aisee kichwa chake inaonekana shuleni kiligoma,akagundua kipaji chake,akaachana na shule,saa hizi mambo yake yako njema.Tugunduage vipaji vyetu,tusipoteze muda kusoma.
Lakini ina umuhimu wake,tatizo ni kwetu sisi ambao tunategemea ajira na koneksheni hatuna.Shule sio muhimu Hata [emoji23]
Ulivyo mzinzi unawaza kilele cha "orgasm" tuWTF?! Hamjafika kileleni??!
Watanzania wangu waungwana sana, kwa nini mnasema kusoma ni kupoteza muda? Hii imetokana na wengi kuwa mnasomea ajira? Mimi nadhani ungesema angekuwa amesoma huku anaimba basi anagefika mbali zaidi! Jamani kusoma ni zaidi ya ajira. Kwani asinheweza kuwa anasoma huku anaimba? Unajua hata machinga au muuza chipsi anaweza kusoma huku anajishughulisha na kazi yake?Mi nilijua alirisiti akiwa Meta,kumbe alianza kurisiti akiwa Dar,aisee kichwa chake inaonekana shuleni kiligoma,akagundua kipaji chake,akaachana na shule,saa hizi mambo yake yako njema.Tugunduage vipaji vyetu,tusipoteze muda kusoma.
Bila shaka umemkejeli! Wabongo wengi wanadhani watu wanasoma ili waajiriwe. Ndiyo maana unakuta watu wanamaliza mpaka chuo kikuu lakini kichwani hamna kitu kwa sababu walikuwa wanavuta muda ili mradi wapate vyeti waajiriwe! Mimi nadhani tungehimiza hata ma-house girls, waendesha boda, ma-barmaids nk watafute muda wasome part time ili kupanua akili zao zaidi!Shule sio muhimu Hata [emoji23]
Hawa ndiyo vijana wa Tanzania. 24-Hours/7-Days, kila kinachotokea mbele yao wanafikiria ngono. Na hawa hawa ndiyo wanalalamika hakuna ajira.Ulivyo mzinzi unawaza kilele cha "orgasm" tu
Meta humetameta kwa juhudi na maarifaMi nilijua alirisiti akiwa Meta,kumbe alianza kurisiti akiwa Dar,aisee kichwa chake inaonekana shuleni kiligoma,akagundua kipaji chake,akaachana na shule,saa hizi mambo yake yako njema.Tugunduage vipaji vyetu,tusipoteze muda kusoma.