Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba kachoka kuchezewa bila ya kukutana na hiyo bahati aliyoikuta kwako hivyo weye hupendwi ni vile tu umempa option ya kitu alichokua anakisaka kwa robo karneunamaanisha nini mkuu
mawazo yako yaheshimiwe 1/10 non virginityKwamba kachoka kuchezewa bila ya kukutana na hiyo bahati aliyoikuta kwako hivyo weye hupendwi ni vile tu umempa option ya kitu alichokua anakisaka kwa robo karne
😎Kila la kheri,kama umejiridhisha kukubali kirahisi hivyo kuwa anakupenda,maana yeye kuolewa kaona bahati,na hayo mambo ya kupenda kwake yatakuja yenyewe...
dude la kinyamweziUsitufokee!!!! Ana tako?
KWamba wanyamwezi wote wana mizigo? Mbona Magreth Sita ambaye ni myamwezi tolea la mwanzo hana mkia?dude la kinyamwezi
Miezi mwili (2) itapendeza......dude la kinyamwezi
halimpati mweweMiezi mwili (2) itapendeza......
Namaanisha kuwa ndoa yenu ita dumu kwa miezi mwili tu.