Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Nenda kwenye option ya click for all uzifute hizo picha, ila kuna muda maalum ukipita huwezi futa. Kama hutoweza kufuta mwenyewe wasiliana na admini yoyote azifute. Baada ya hapo omba msamaha waambie haikuwa dhamira yako kutuma hizo picha.Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Nakazia, waangaliaji wakubwa wa Porn wako Saudi Arabia kwa maana nyingine kuna watu wanapiga nyeto asubuhi jioni wanaenga kusali kwenye KaabaUsiwaze, ziache; ninakuhakikishia hakuna ambaye hajawahi kuangalia porn kwenye group lenu.
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Usihangaike kujitetea sana...Waambie hao ni hackers from fb sasa hv wamehamia hadi whatsapp kwa kua app zote ni za META.
Tena ongezea kua itakua mbaya zaidi kwasababu tiktok imekua banned marekani so usalama wa whatsapp uko hatarini.
Kwa kukazia unasema wanapata access thru installation ya application mpya pale inapouliza kuallow acces to gallery phonebook n.k.
Best way, andika waraka kama wale ma influenza sijui motivesheno spikaz kuhusu hili, then mtumie huo waraka mtu mwingine, and then akutumie tena halaf unauforwad kwenye group so it seems as a forwaded to many message.
Hii process hata mi siielewi, subiri kidogo nimalize hii chibuku ntajaribu tena.
"IMPROVISE, ADAPT, OVERCOME"
Tru shit. But nigga in question seems shaken, ingekua mimi ningequote moja na kuisifiaUsihangaike kujitetea sana...
We all watch porns
Kwenye hizo picha ni wewe umeonekanq unafanya au ni wazungu?Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Ubaya ubwelaNB: Mwisho wa ubaya ni aibu.