Imole
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 1,438
- 4,053
😂😂😂 Kauzu lakini watu washamjuaFuta, potezea, kuwa kauzu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 Kauzu lakini watu washamjuaFuta, potezea, kuwa kauzu
Incognito hata screenshot inagomaKwani hadi miakaa hii bado watu mnadownload hizo video....??? Angalia online achana nazooo ona sasa
Mmmmh mm nakushauri uache kazi ,yaan uandike baraua sa hiv ya kuacha kazi ndani ya saa 48 ,kesho ukaombe account no ya hazina urudishe mshahara wa mwez mmoja,, alaf uingie kitaa ufanye biasharaWakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Sema ni mtoto alikuwa anachezea simu tuu!!Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
wow johnny sins leo nimeijua ID yakoWakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Halafu itakuwa unapiga nyetoWakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.
Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.
Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.
Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
au ni dronedrake kabadilisha ID Poor Brain njoo muokoe kijana anaangamia kwa kukosa maarifaFuta tu,haina shida
Ila tumeshakujua kumbe wew ni braza kende
Inaonekana hizo picha umeziweka kihasara sana kwenye simu yako. Kwann usizitengenezee folder ukazisokomezea huko, kiasi kwamba mtu hawezi kuzifikia kirahisi?
Sasa hapo tukushauri nini, wakati zimeshaonekana kwenye
bora akaushePigia simu wafanyakazi wenzako waambie wasap yako Iko hacked
Umeamua uje unitangaze sioKuna Dada mmoja naye Ali post picha za pono status bila kujua halafu ile simu ikawa imezima. 🤣🤣🤣
Hahahaha hahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏾Nitumie link ya group nikawatishe nimehack group zima nimeanza na wewe na anayefatia admin na member waliobaki..!!
Hapo wote wataleft mtafungua group jipya
Jitahidi walau kidogo kuficha chuki yako dhidi ya uislamuNakazia, waangaliaji wakubwa wa Porn wako Saudi Arabia kwa maana nyingine kuna watu wanapiga nyeto asubuhi jioni wanaenga kusali kwenye Kaaba