Bahati mbaya picha za pono zimeenda kwenye WhatsApp group la ofisi, nafanyaje?

Bahati mbaya picha za pono zimeenda kwenye WhatsApp group la ofisi, nafanyaje?

Japo umejichoresha ila asilimia kubwa huwa wanaziangalia so wataona kawaida
 
Kwani hadi miakaa hii bado watu mnadownload hizo video....??? Angalia online achana nazooo ona sasa
Incognito hata screenshot inagoma
 

Attachments

  • Screenshot_20250119-213619.png
    Screenshot_20250119-213619.png
    26.5 KB · Views: 7
Usijibu hizo message kwa simu yako tengeneza kabisa na loss report hio line itupe anza kuwaambia wadau wako simu iliibiwa..., ila kama ushajibu rudi tena upate ushauri...
 
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.

Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.

Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.

Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Mmmmh mm nakushauri uache kazi ,yaan uandike baraua sa hiv ya kuacha kazi ndani ya saa 48 ,kesho ukaombe account no ya hazina urudishe mshahara wa mwez mmoja,, alaf uingie kitaa ufanye biashara
 
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.

Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.

Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.

Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Sema ni mtoto alikuwa anachezea simu tuu!!
 
1. Kwann uwa mna download? Check online. Clear browser au tumia Private Browser.

2. Group la ofisini weekend mnafanya nini? Mi Group la ofisi 7am to 5pm weekdays tu.

3. Kwakua Group la ofisi sio official means of communication iyo issue ndogo. Kausha kama sio wewe.

4. Kesho nenda kazini.
 
Embu nitumie inbox hizo picha, then nitaona namna bora ya kukushauri.
 
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.

Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.

Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.

Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
wow johnny sins leo nimeijua ID yako
 
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.

Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.

Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.

Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Halafu itakuwa unapiga nyeto
 
Back
Top Bottom