Bahati mbaya picha za pono zimeenda kwenye WhatsApp group la ofisi, nafanyaje?

Bahati mbaya picha za pono zimeenda kwenye WhatsApp group la ofisi, nafanyaje?

Nenda kwenye option ya click for all uzifute hizo picha, ila kuna muda maalum ukipita huwezi futa. Kama hutoweza kufuta mwenyewe wasiliana na admini yoyote azifute. Baada ya hapo omba msamaha waambie haikuwa dhamira yako kutuma hizo picha.
Kama unaweza kujieleza kwa kuongopa waambie account yako ya WhatsApp ilikuwa hacked na wakaweza kutuma hizo picha chafu. Ila hapo utatakiwa kujiandaa kwa kujibu maswali.
Delete for all
Tomorrow is Monday Kesho nenda bila simu , jifanye ulipoteza cmu
 
Sina picha mbya au za x kwenye simu yangu lakini kamwe siwezi kuziweka kijinga namna hio iwe vyepesi kuonekana na kufikiwa !
Kumbe akili ni nywele kila mtu ana zake.
 
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.

Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.

Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.

Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Umeyatimba washakujua ni mtu wa namna gani
 
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.

Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.

Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.

Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Delete for all au mcheki Admin afute
 
Kama hujaongea na yeyote na hizo picha hazina sura yako it is easy. Piga kawaida kwa Admn aiondoe number yako kwenye group kwamba WhatsApp iko hacked hivyo unahofu jamaa watapata number za members wengi wanasumbua au kutapeliwa. Then baada ya siku moja anakurudisha unaingia na sorry guys. Ila usimwambie admn mpango wako.
 
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.

Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.

Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.

Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Unawatumia na bonus.. za mtoto Lily Starfire ... Sio group linakaa kizembe zembe

C.c mzabzab anasbo
images (1).jpeg
 
Sasa unaogopa nini acha ufala wewe... Tena ukute hao mabosa na watu unaoheshimiana nao wamefurahi sana kupata hizo videos ili wapigie nyeto... Hii dunia wa kumheshimu na kumuogopa ni Mungu tu... Hao wengine ni wapuuzi kama wewe tu ulivyo mpuuzi 🤣 embu kunywa bia
 
Wakuu wahenga walishasema elimu haina mwisho. Nilikuwa katika jitihada binafsi za kujiongezea ujuzi hapa lakini sijajua kimetokea nini.

Nimeshangaa mfululizo wa simu kutoka wa wadau wa kazini wakinishtua nimetuma picha zisizofaa kule.

Sasa kuja kucheki naona ni kweli zimeenda kwa bahati mbaya.

Msaada wakuu kwa aliyewahi kutokewa na hii kitu nawezaje kuuwa hii soo maana kuna watu tunaheshimiana sana.
Jilize kwa sauti na usingizie chochote kitakachokuijia kichwani mwako.
 
Back
Top Bottom