Noah Scribe
JF-Expert Member
- Dec 29, 2024
- 578
- 1,436
Unakuta wote kwenye group wanazo, sema hawajfikwa na hiyo kadhia. Hapo jamaa kama kwaongezee mzigo.. watu wameharibikaVyovyote utakavyo fanya ila umejivunjia heshima sana,wanasema poteza vyote lakini sio heshima yako
Umeonekana mtu wa hovyo sana,kitendo tu cha kuwa na hizo video ni upumbavu wa hali juu