Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Maeneo gani hiyo mitaa mkuu?Sasa alipata hasira kwa kutugaia nyama ya mamba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maeneo gani hiyo mitaa mkuu?Sasa alipata hasira kwa kutugaia nyama ya mamba?
Mtoa hisani hapangiwi.Badala ya kupeleka shule za bweni za serikali ambako nyama Ni kitu adimu na angepewa shukrani za dhati, anawapelekea wanywa Heineken. Bure kabisa huyo Dada.
Raia tunalipa kodi viongozi waandamizi wa serikali wanafanya embezzlement ya public funds. Ilitakiwa hao watoto wale kuku kila siku kwa kodi na rasilimali tulizonazo, wala usingelalamikia zali la mentali walilopata wanywaji. 😁Badala ya kupeleka shule za bweni za serikali ambako nyama Ni kitu adimu na angepewa shukrani za dhati, anawapelekea wanywa Heineken. Bure kabisa huyo Dada.
Mkuu huko serikalini kuwapa chakula cha bure mchakato wake mrefu unataka maelezo ya kina...ila walevi simple tu kawamwagia kasepa.Badala ya kupeleka shule za bweni za serikali ambako nyama Ni kitu adimu na angepewa shukrani za dhati, anawapelekea wanywa Heineken. Bure kabisa huyo Dada.
Badala ya kupeleka shule za bweni za serikali ambako nyama Ni kitu adimu na angepewa shukrani za dhati, anawapelekea wanywa Heineken. Bure kabisa huyo Dada.
Fomfoo hua wanabaki kwa ajili ya ulinzi, usafi na kujisomea kwa anaye jiskiaKumbe shule hazijafingwa.
Sky Eclat kwa kupenda vya bure...Mungu anakuona!Ilikua Jumamosi, tulikuwa kwenye container moja mitaa ya nyumbani tuna burudika. Mziki na vinywaji, story na vicheko. Na joto la Dar upate kinywaji cha baridi iwe Fanta, Heineken, Ndovu au Coca-Cola.
Mara ilipita pick up nyeupe, ilipack pembeni. Alitoka dada mmoja alituambia kama tuna sahani twende atugaie vyakula. Hatukua na sahani lakini Wamachinga wanaouza vyombo walipata soko. Kila mtu alinunua sahani. Tulikwenda kule, yule sada alikua caterer na alipika chakula cha sherehe. Hatujui walikosana nini na mteja wake lakini aliamua kugawa chakula na kuondoka. Alikua na hasira sana hakutaka kuongea mengi.
Tulipata pilau, machalari, nyama ya ng’ombe na ya kuku. Baada ya kula wengine hata sahani walimuachia mwenye container.
Hivi ndibyo bahati ya mtende ilivyotushukia Jumamosi hiyo.
View attachment 1834953
Kwamba faida anayopata kwenye hizo sahani ni kubwa sana hadi kulipia chakula?Au pengine biashara yake halisi ni ni kuuza sahani..hiko chakula wala sio biashara yake halisi
Hapo kwenye machalari hapo daa.Ilikua Jumamosi, tulikuwa kwenye container moja mitaa ya nyumbani tuna burudika. Mziki na vinywaji, story na vicheko. Na joto la Dar upate kinywaji cha baridi iwe Fanta, Heineken, Ndovu au Coca-Cola.
Mara ilipita pick up nyeupe, ilipack pembeni. Alitoka dada mmoja alituambia kama tuna sahani twende atugaie vyakula. Hatukua na sahani lakini Wamachinga wanaouza vyombo walipata soko. Kila mtu alinunua sahani. Tulikwenda kule, yule sada alikua caterer na alipika chakula cha sherehe. Hatujui walikosana nini na mteja wake lakini aliamua kugawa chakula na kuondoka. Alikua na hasira sana hakutaka kuongea mengi.
Tulipata pilau, machalari, nyama ya ng’ombe na ya kuku. Baada ya kula wengine hata sahani walimuachia mwenye container.
Hivi ndibyo bahati ya mtende ilivyotushukia Jumamosi hiyo.
View attachment 1834953
Nyama ya mamba ni tamu sana kama samaki....umenikumbusha eni za brazillian restaurant pale obay na carnival ya KenyaNi nyama ya mamba wanajaribu kama wa-tz wataipenda, hizi tafiti sometimes hawako fair.
Shule bado "milango" imefungwa.Badala ya kupeleka shule za bweni za serikali ambako nyama Ni kitu adimu na angepewa shukrani za dhati, anawapelekea wanywa Heineken. Bure kabisa huyo Dada.
Mtakuja kula sumu bibie, wengine nasikia wanapikia maji ya maiti shauri zenuIlikua Jumamosi, tulikuwa kwenye container moja mitaa ya nyumbani tuna burudika. Mziki na vinywaji, story na vicheko. Na joto la Dar upate kinywaji cha baridi iwe Fanta, Heineken, Ndovu au Coca-Cola.
Mara ilipita pick up nyeupe, ilipack pembeni. Alitoka dada mmoja alituambia kama tuna sahani twende atugaie vyakula. Hatukua na sahani lakini Wamachinga wanaouza vyombo walipata soko. Kila mtu alinunua sahani. Tulikwenda kule, yule sada alikua caterer na alipika chakula cha sherehe. Hatujui walikosana nini na mteja wake lakini aliamua kugawa chakula na kuondoka. Alikua na hasira sana hakutaka kuongea mengi.
Tulipata pilau, machalari, nyama ya ng’ombe na ya kuku. Baada ya kula wengine hata sahani walimuachia mwenye container.
Hivi ndibyo bahati ya mtende ilivyotushukia Jumamosi hiyo.
View attachment 1834953