Bahati ya mtende ilipotuangukia

Badala ya kupeleka shule za bweni za serikali ambako nyama Ni kitu adimu na angepewa shukrani za dhati, anawapelekea wanywa Heineken. Bure kabisa huyo Dada.
Raia tunalipa kodi viongozi waandamizi wa serikali wanafanya embezzlement ya public funds. Ilitakiwa hao watoto wale kuku kila siku kwa kodi na rasilimali tulizonazo, wala usingelalamikia zali la mentali walilopata wanywaji. 😁
 
hakika mimi kwake nimekita, kama huamini muulize mr. misifa

usitumie pesa kama fimbo, ndege niliyenasa kwenye wake ulimbo mah
 
Sadaka ya mashetani hiyo.mliokula wote motoni .mmejiunga na ibada za kuzimu hapo hakuna cha kugombana na supplier wala nini,ni ibada za kishwetani,kwa nini asipeleke kwenye vituo vya watoto yatima
 
Sky Eclat kwa kupenda vya bure...Mungu anakuona!
 
Huyo mdada mbona hua anagawa chakula kila Jumamosi ya mwisho wa mwezi,
Usikose tena mwezi ujao.
😎
 
Au pengine biashara yake halisi ni ni kuuza sahani..hiko chakula wala sio biashara yake halisi
Kwamba faida anayopata kwenye hizo sahani ni kubwa sana hadi kulipia chakula?
 
Hapo kwenye machalari hapo daa.
Wacha nmeze mate kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtakuja kula sumu bibie, wengine nasikia wanapikia maji ya maiti shauri zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…