Bahiri kupitiliza

Bahiri kupitiliza

Wakuu ukiachana na swala.la wanawake kupenda sana hela zetu ila mimi pia nina tatizo binafsi ambalo linanikwaza sana.

Ipo hivi wanaume tumeumbwa kutoa hiyo ni nature japo wanawake walaghai pia wapo lakini wacha nijizungumzie mimi

Aisee mimi ni bahiri vibaya mno sio tu kwa mwanamke mpenda hela yani mpaka mwanamke aisependa hela sana nipo hivo,
Yani mwanamke akiniomba hela tu najiskia mood inakata kabisa.

kama miezi 6 iliyopita nilipata binti mzr sana kuanzia shepu na umbo yani aombi hela ananiambiaga tu kuwa anapenda mwanaume anaejiongeza but mimi sikuwa hi kufanya hivo hela nazompa mara nyingi ni baada ya show ya na mara nyingi kashanimbia anaomba nimnunulie chupi kama zawadi pia sikuwahi kufanya hivo imefika stage yule mdada kapata chamgamoto na akaniomba msaada na sikumsadia bac yule mdada alichoamua ni kumove on na mpaka sasa huwa tunawasiliana japo kanikatia tamaa

Sasa kwa tabia hz nitaweza kupata mke kweli coz hata mahusiano sasa hv nayaona magumu. Na upwiru unakaba koo.

Hii hali imekuwa kero kubwa kwangu nashindwa kuwa kwenye mahusiano sababu ubahiri umezidi viwango aisee ebu kama kuna jambo la kunishauri naombeni mawazo nyinyi wengine mahusiano mnayaendeshaje mbona mimi nimeshindwa nachojua nikutafuna mbususu tu hayo mambo ya kupalilia shamba mimi yamemishinda kabisa
Tatizo ushalijua ni ubahiilii sasa unataka ushauriwe nini tena? Tafta hela nyingi ili ukihonga zisiwe zinakuuma.
 
Hii hali imekuwa kero kubwa kwangu nashindwa kuwa kwenye mahusiano sababu ubahiri umezidi viwango aisee ebu kama kuna jambo la kunishauri naombeni mawazo nyinyi wengine mahusiano mnayaendeshaje mbona mimi nimeshindwa nachojua nikutafuna mbususu tu hayo mambo ya kupalilia shamba mimi yamemishinda kabisa
Bado huna hela mkuu yaan bado sana endelea kuzijazajaza kwanza zikiwa nyingi hutoona kazi kutoa walau kidogo, narudia huna hela una vihela kwa hio ongeza ongeza hela ziwe nyingi nyingi
 
Wewe ubahili wako upo level ya uchoyo. Yan unajua amepata shida na bado ukashindwa kumsaidia.

Badilika bana kwanza ukiwa mtoaji baraka zinaongezeka .
Uongo huu kuupata nibonyeze *# kisha?
 
Mkuu kujipata bado halafu nina malengo makubwa mno kiac kwamba mimi mwenyewe naona pesa ainitoshi japo sina kipato kibaya sana kukunja 30k mpaka 60k kwa siku ni kawaida but nahisi malengo niliyonayo ndio yananifanya nione pesa ainitoshi
Una akiba kiasi gani? Kama una zaidi ya 5m unaweza kuhonga angalau 10,20,30,40,50 usizidi 50, kwa sababu 50 ni 1% ya 5m,
 
Sio uongo jaribu uone.. kuna mtu aliniambia kua kila akinipa pesa anapata deal anaingiza pesa baada ya hapo.
Sio kweeli emu tujaribu na mimi weka namba zako za miamala nikujazie nipatemo hayo madili
 
Wakuu ukiachana na swala.la wanawake kupenda sana hela zetu ila mimi pia nina tatizo binafsi ambalo linanikwaza sana.

Ipo hivi wanaume tumeumbwa kutoa hiyo ni nature japo wanawake walaghai pia wapo lakini wacha nijizungumzie mimi

Aisee mimi ni bahiri vibaya mno sio tu kwa mwanamke mpenda hela yani mpaka mwanamke aisependa hela sana nipo hivo,
Yani mwanamke akiniomba hela tu najiskia mood inakata kabisa.

kama miezi 6 iliyopita nilipata binti mzr sana kuanzia shepu na umbo yani aombi hela ananiambiaga tu kuwa anapenda mwanaume anaejiongeza but mimi sikuwa hi kufanya hivo hela nazompa mara nyingi ni baada ya show ya na mara nyingi kashanimbia anaomba nimnunulie chupi kama zawadi pia sikuwahi kufanya hivo imefika stage yule mdada kapata chamgamoto na akaniomba msaada na sikumsadia bac yule mdada alichoamua ni kumove on na mpaka sasa huwa tunawasiliana japo kanikatia tamaa

Sasa kwa tabia hz nitaweza kupata mke kweli coz hata mahusiano sasa hv nayaona magumu. Na upwiru unakaba koo.

Hii hali imekuwa kero kubwa kwangu nashindwa kuwa kwenye mahusiano sababu ubahiri umezidi viwango aisee ebu kama kuna jambo la kunishauri naombeni mawazo nyinyi wengine mahusiano mnayaendeshaje mbona mimi nimeshindwa nachojua nikutafuna mbususu tu hayo mambo ya kupalilia shamba mimi yamemishinda kabisa
Bro wee sio bahiri...okoa kibunda
 
Mkuu, usiwe mgumu kupitiliza kama demu unaona umemwelewa na ana uelekeo mpe hela kadri ya uwezo wako,
Ukikimbia demu kisa kaomba hela utakimbia wangapi

Note:

Kuna mmoja kaniomba 30k kupitia whatsapp tangu j5 sijafungua sms yake, sio demu wangu official ndo maana.
 
Back
Top Bottom