Hawa wanawake wanadhani hela twaokota eeehMkuu, usiwe mgumu kupitiliza kama demu unaona umemwelewa na ana uelekeo mpe hela kadri ya uwezo wako,
Ukikimbia demu kisa kaomba hela utakimbia wangapi
Note:
Kuna mmoja kaniomba 30k kupitia whatsapp tangu j5 sijafungua sms yake, sio demu wangu official ndo maana.