Bahiri kupitiliza

Bahiri kupitiliza

Mkuu, usiwe mgumu kupitiliza kama demu unaona umemwelewa na ana uelekeo mpe hela kadri ya uwezo wako,
Ukikimbia demu kisa kaomba hela utakimbia wangapi

Note:

Kuna mmoja kaniomba 30k kupitia whatsapp tangu j5 sijafungua sms yake, sio demu wangu official ndo maana.
Hawa wanawake wanadhani hela twaokota eeeh
 
Mkuu, usiwe mgumu kupitiliza kama demu unaona umemwelewa na ana uelekeo mpe hela kadri ya uwezo wako,
Ukikimbia demu kisa kaomba hela utakimbia wangapi

Note:

Kuna mmoja kaniomba 30k kupitia whatsapp tangu j5 sijafungua sms yake, sio demu wangu official ndo maana.
Mkuu mimi huyu namuelewa sana kaomba 60k toka wiki iliyopita sijampa
 
Wakuu ukiachana na swala.la wanawake kupenda sana hela zetu ila mimi pia nina tatizo binafsi ambalo linanikwaza sana.

Ipo hivi wanaume tumeumbwa kutoa hiyo ni nature japo wanawake walaghai pia wapo lakini wacha nijizungumzie mimi

Aisee mimi ni bahiri vibaya mno sio tu kwa mwanamke mpenda hela yani mpaka mwanamke aisependa hela sana nipo hivo,
Yani mwanamke akiniomba hela tu najiskia mood inakata kabisa.

kama miezi 6 iliyopita nilipata binti mzr sana kuanzia shepu na umbo yani aombi hela ananiambiaga tu kuwa anapenda mwanaume anaejiongeza but mimi sikuwa hi kufanya hivo hela nazompa mara nyingi ni baada ya show ya na mara nyingi kashanimbia anaomba nimnunulie chupi kama zawadi pia sikuwahi kufanya hivo imefika stage yule mdada kapata chamgamoto na akaniomba msaada na sikumsadia bac yule mdada alichoamua ni kumove on na mpaka sasa huwa tunawasiliana japo kanikatia tamaa

Sasa kwa tabia hz nitaweza kupata mke kweli coz hata mahusiano sasa hv nayaona magumu. Na upwiru unakaba koo.

Hii hali imekuwa kero kubwa kwangu nashindwa kuwa kwenye mahusiano sababu ubahiri umezidi viwango aisee ebu kama kuna jambo la kunishauri naombeni mawazo nyinyi wengine mahusiano mnayaendeshaje mbona mimi nimeshindwa nachojua nikutafuna mbususu tu hayo mambo ya kupalilia shamba mimi yamemishinda kabisa
Kuna jambo la muhimu na la maana ,Usipotoa hela kwenye jambo la muhimu kama sherehe haina shida ila la maana kama Afya unatakiwa uingie mfukoni kwa maana kutoa ni Moyo si utajiri
 
Kuna ubahili wa kutokutowa pesa ovyo na wamalengo sasa kwa upande wako nakuona una bajeti nzuli. Anza sasa kuwa na bajeti
1/kazini
2/kanisani
3/family apa na vimada weka
4/hakiba
5/ malazi.
Mim nilikuwa nachangamoto kama Yako hila baada ya baba wa kiroho kunifundisha hiii binu now mamb Yako saw
Pia tahadhari au dharura ni muhimu
 
Mkuu,
Huenda kipato chako bado hakikutoshi na hakiwezi kutosha ntu wa pili, huo sio ubahili. Ni uwezo mdogo tu, hivyo unajiuliza namna gani unaweza kutoa wakati wewe mwenyewe hujajipata.

Bahili ni yule anacho na kutoa hataki/hawezi kwa namna yoyote ile.

Jitathmini kwanza kama ni ubahili au uwezo mdogo. Ukipata jibu karibu chama cha mabahili Tanzania.
Ewaaah asijekutaka kujilinganisha na mastaaa wakati yeye bado anajitafuta
 
Huo ubahili. Me naamini huna hela. Pia, ukimpata mpenzi wote mkawa na malengo hawezi kukuchuna hata 50 atahitaji hela za kawaida tu kama voch, nauli, hela ambazo hata wewe utahitaji. Pia huo ubahili huweI kuwa na maisha mazuri kamwe. Hivyo Jiangalie kijana. Hata ADA, CHAKULA NA MAVAZI huwez mudu kisa ubahili.
 
Kiufupi huna hela,Tafuta hela uwe na roho ya kusaidia wahitaji, haijalishi ni demu wako au mzazi wako.
 
Back
Top Bottom