Tatizo ushalijua ni ubahiilii sasa unataka ushauriwe nini tena? Tafta hela nyingi ili ukihonga zisiwe zinakuuma.Wakuu ukiachana na swala.la wanawake kupenda sana hela zetu ila mimi pia nina tatizo binafsi ambalo linanikwaza sana.
Ipo hivi wanaume tumeumbwa kutoa hiyo ni nature japo wanawake walaghai pia wapo lakini wacha nijizungumzie mimi
Aisee mimi ni bahiri vibaya mno sio tu kwa mwanamke mpenda hela yani mpaka mwanamke aisependa hela sana nipo hivo,
Yani mwanamke akiniomba hela tu najiskia mood inakata kabisa.
kama miezi 6 iliyopita nilipata binti mzr sana kuanzia shepu na umbo yani aombi hela ananiambiaga tu kuwa anapenda mwanaume anaejiongeza but mimi sikuwa hi kufanya hivo hela nazompa mara nyingi ni baada ya show ya na mara nyingi kashanimbia anaomba nimnunulie chupi kama zawadi pia sikuwahi kufanya hivo imefika stage yule mdada kapata chamgamoto na akaniomba msaada na sikumsadia bac yule mdada alichoamua ni kumove on na mpaka sasa huwa tunawasiliana japo kanikatia tamaa
Sasa kwa tabia hz nitaweza kupata mke kweli coz hata mahusiano sasa hv nayaona magumu. Na upwiru unakaba koo.
Hii hali imekuwa kero kubwa kwangu nashindwa kuwa kwenye mahusiano sababu ubahiri umezidi viwango aisee ebu kama kuna jambo la kunishauri naombeni mawazo nyinyi wengine mahusiano mnayaendeshaje mbona mimi nimeshindwa nachojua nikutafuna mbususu tu hayo mambo ya kupalilia shamba mimi yamemishinda kabisa
Tafuta elf tatu nenda Kona bar&Mrina bar uchaguwe fungu lako.Sawa mkuu na vp kuhusu upwiru?
3000k mkuu hapo ntapata mali safi kweliTafuta elf tatu nenda Kona bar&Mrina bar uchaguwe fungu lako.
Mali safi Hizo ukitaka unaweka oda.3000k mkuu hapo ntapata mali safi kweli
NakataaIn nature
Bado huna hela mkuu yaan bado sana endelea kuzijazajaza kwanza zikiwa nyingi hutoona kazi kutoa walau kidogo, narudia huna hela una vihela kwa hio ongeza ongeza hela ziwe nyingi nyingiHii hali imekuwa kero kubwa kwangu nashindwa kuwa kwenye mahusiano sababu ubahiri umezidi viwango aisee ebu kama kuna jambo la kunishauri naombeni mawazo nyinyi wengine mahusiano mnayaendeshaje mbona mimi nimeshindwa nachojua nikutafuna mbususu tu hayo mambo ya kupalilia shamba mimi yamemishinda kabisa
Uongo huu kuupata nibonyeze *# kisha?Wewe ubahili wako upo level ya uchoyo. Yan unajua amepata shida na bado ukashindwa kumsaidia.
Badilika bana kwanza ukiwa mtoaji baraka zinaongezeka .
Sio uongo jaribu uone.. kuna mtu aliniambia kua kila akinipa pesa anapata deal anaingiza pesa baada ya hapo.Uongo huu kuupata nibonyeze *# kisha?
Una akiba kiasi gani? Kama una zaidi ya 5m unaweza kuhonga angalau 10,20,30,40,50 usizidi 50, kwa sababu 50 ni 1% ya 5m,Mkuu kujipata bado halafu nina malengo makubwa mno kiac kwamba mimi mwenyewe naona pesa ainitoshi japo sina kipato kibaya sana kukunja 30k mpaka 60k kwa siku ni kawaida but nahisi malengo niliyonayo ndio yananifanya nione pesa ainitoshi
Sio kweeli emu tujaribu na mimi weka namba zako za miamala nikujazie nipatemo hayo madiliSio uongo jaribu uone.. kuna mtu aliniambia kua kila akinipa pesa anapata deal anaingiza pesa baada ya hapo.
Sema kweliSio kweeli emu tujaribu na mimi weka namba zako za miamala nikujazie nipatemo hayo madili
Hiyo ni milioni 3 ndugu.3000k mkuu hapo ntapata mali safi kweli
Bro wee sio bahiri...okoa kibundaWakuu ukiachana na swala.la wanawake kupenda sana hela zetu ila mimi pia nina tatizo binafsi ambalo linanikwaza sana.
Ipo hivi wanaume tumeumbwa kutoa hiyo ni nature japo wanawake walaghai pia wapo lakini wacha nijizungumzie mimi
Aisee mimi ni bahiri vibaya mno sio tu kwa mwanamke mpenda hela yani mpaka mwanamke aisependa hela sana nipo hivo,
Yani mwanamke akiniomba hela tu najiskia mood inakata kabisa.
kama miezi 6 iliyopita nilipata binti mzr sana kuanzia shepu na umbo yani aombi hela ananiambiaga tu kuwa anapenda mwanaume anaejiongeza but mimi sikuwa hi kufanya hivo hela nazompa mara nyingi ni baada ya show ya na mara nyingi kashanimbia anaomba nimnunulie chupi kama zawadi pia sikuwahi kufanya hivo imefika stage yule mdada kapata chamgamoto na akaniomba msaada na sikumsadia bac yule mdada alichoamua ni kumove on na mpaka sasa huwa tunawasiliana japo kanikatia tamaa
Sasa kwa tabia hz nitaweza kupata mke kweli coz hata mahusiano sasa hv nayaona magumu. Na upwiru unakaba koo.
Hii hali imekuwa kero kubwa kwangu nashindwa kuwa kwenye mahusiano sababu ubahiri umezidi viwango aisee ebu kama kuna jambo la kunishauri naombeni mawazo nyinyi wengine mahusiano mnayaendeshaje mbona mimi nimeshindwa nachojua nikutafuna mbususu tu hayo mambo ya kupalilia shamba mimi yamemishinda kabisa
YeahSema kweli
3000k ni seven figures hio 3M unapata ng'ombe km watano hivi walionona tayari kwa kuchinjwa3000k mkuu hapo ntapata mali safi kweli
Bro wee sio bahiri...okoa kibunda
Huyu akanunue mbususu tuBro wee sio bahiri...okoa kibunda