Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo umeisoma post yangu ya kwanza kishari shari!Isingekuhusu usingechangia kiongozi.
😂 😂 😂Ndiyo ujirekebishe sasa kuanzia leo 🤣
Mimi nilikuwa nadeka sana hivyo kwenye kibabaa na kimamaa nilikuwa napewa nafasi ya kuwaga mtoto kila siku imagine,Tukimaliza tunaenda zetu
Hahaa'Ila ndio ilikuwa inanoga kuliko hii yao mwaya.
Si eti Eeeeh...?
Umekosa mengi, DahMimi nilikuwa nadeka sana hivyo kwenye kibabaa na kimamaa nilikuwa napewa nafasi ya kuwaga mtoto kila siku imagine,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema kweli??Huu wimbo kuna watu wengi sana waliingia chaka na hadi leo bado kuna watu wanaingia chaka [emoji3][emoji3][emoji3]
Baishoo I love you bebi[emoji445] [emoji777]
(I swore I love you baby)[emoji736]
The baby to the sani[emoji777]
(You gave that to the sun)[emoji736]
The saa to ze ona[emoji777]
(The Sun threw me yonder)[emoji736]
~The ona to ze muuuni [emoji777]
(The yonder to the men)[emoji736]
The muuuni to ze bushibeya[emoji777]
(The men to the books quickly)
cherewani 1 2 3 & 4[emoji777]
(Say 1 2 3 & 4)[emoji736]
katakona[emoji777]
(That's a bonus)[emoji736]
Duh sijui tulikuwa tunakwama wapi
Ulimaanishaje eti??Ilitohewa....
Oooh yeah..!Imetoholewa..
.
🤔Aisee! Kumbe umri ni tatizo sana. Unaweza ukajikuta unabishana hata na mtoto wako wa kumzaa humu lol!Tuliozaliwa 2000's hii haituhusu!
Kumbe hukulijua hilo mzee wangu!🤔Aisee! Kumbe umri ni tatizo sana. Unaweza ukajikuta unabishana hata na mtoto wako wa kumzaa humu lol!
Let's meet at the top, cheers 🥂
Sikuliwekea maanani, ID hizi zinaficha mengi sana.Kumbe hukulijua hilo mzee wangu!
Sio mengi sana zinaficha kila kitu.Sikuliwekea maanani, ID hizi zinaficha mengi sana.
Let's meet at the top, cheers 🥂