Baishoo I Love You Baby. Kumbe Sio Aisee! Lol 🤣

Baishoo I Love You Baby. Kumbe Sio Aisee! Lol 🤣

Mimi nilikuwa nadeka sana hivyo kwenye kibabaa na kimamaa nilikuwa napewa nafasi ya kuwaga mtoto kila siku imagine,

Daaaaah umenikumbusha mbali huo mchezo jamani nilioa wake wawili mtu na ndugu yake walikuwa mapacha aisee.

Basi mpaka tunakuwa wakubwa wote wakawa wananiita mume wangu mume wangu. Utoto jamani lol.

😍
 
Huu wimbo kuna watu wengi sana waliingia chaka na hadi leo bado kuna watu wanaingia chaka 😀😀😀

Baishoo I love you bebi🎶 ❌
(I swore I love you baby)✅

The baby to the sani❌
(You gave that to the sun)✅

The saa to ze ona❌
(The Sun threw me yonder)✅

~The ona to ze muuuni ❌
(The yonder to the men)✅

The muuuni to ze bushibeya❌
(The men to the books quickly)

cherewani 1 2 3 & 4❌
(Say 1 2 3 & 4)✅

katakona❌
(That's a bonus)✅

Duh sijui tulikuwa tunakwama wapi
Hiyo ya kijani ya wazungu sisi yetu hiyo na haibadiliki tumeifanyia cover
 
Lol!! Binamu umejua kuniweza.

Japo najaribu kuimba kama hainogi vile. 😂😂

Naachaje kukuweza kwa mfano binamu yangu mie. Hahahah.

Haiwezi kunoga my dear vya uswazi ndio vinakuwaga vitamu mwaya. Lol.

Nipo njiani nakuja Chuga my lovely ngoja niku-check pm mwaya.

😍
 
Haya ndiyo matokeo ya kuimba “elomenopinkyu” badala ya “lmnopq” tukiwa nursery
 
Back
Top Bottom