Duhh [emoji849][emoji3][emoji3]Amina, Amina Kadala
Small wear, ...
Iliyo halisi ni hii
I'm in a...
I'm in a Dallas.
Summer wear,
I'm in a cool shade by the river,
Mimi nilikuwa nadeka sana hivyo kwenye kibabaa na kimamaa nilikuwa napewa nafasi ya kuwaga mtoto kila siku imagine,
Hiyo ya kijani ya wazungu sisi yetu hiyo na haibadiliki tumeifanyia coverHuu wimbo kuna watu wengi sana waliingia chaka na hadi leo bado kuna watu wanaingia chaka πππ
Baishoo I love you bebiπΆ β
(I swore I love you baby)β
The baby to the saniβ
(You gave that to the sun)β
The saa to ze onaβ
(The Sun threw me yonder)β
~The ona to ze muuuni β
(The yonder to the men)β
The muuuni to ze bushibeyaβ
(The men to the books quickly)
cherewani 1 2 3 & 4β
(Say 1 2 3 & 4)β
katakonaβ
(That's a bonus)β
Duh sijui tulikuwa tunakwama wapi
Lol!! Binamu umejua kuniweza.
Japo najaribu kuimba kama hainogi vile. ππ
Ndio maana tunashauriwa tuchukulie vitu easy humu....laa sivyo! πKabisa kabisa kiongozi...!