Bajaj business, 12,000,000

Bajaj business, 12,000,000

Duh...

Hope huta kula million moja 1,000,000 kwa ajili ya Bajaj Business Plan ukamwacha jamaa na 11,000,000.

MJ

MJ kila kitu kina gharama yake unajua hata kwenda msalama hutu gharimu alot of calories of energies, kwa mantiki hiyo ni kweli kabisa mheshimiwa huyu if h/she is in need of ushauri basi ita mgharimu vitu kama credit ya mawasiliano. Lakini jambo la msingi ni vyema tukaifuta fikra potofu ya kwamba ujasilimiamali ni ule kwa minajiri ya kuondoa umaskini wa mtu mmoja mmoja yaani MKUKUBI, rahasha ni vyema vijana wa leo hasa graduates tukabadili mind set zetu nakufanya vitu kwa minajiri ya jamii nzima la sivyo nyimbo za ufisadi zitaelendelea kupamba media zetu. Unaonaje muheshimiwa na milioni zake 12 akaungana na yule bwana wa ppale BENJAMINI MKAPA EXPORT ZONE mwenye milioni 16 na kuinvest kwenye kitu cha adabu zaidi na bila shaka tutapungunza malalamiko ya bidhaa fake kwa kuthamini vyetu.
 
Duh...

Hope huta kula million moja 1,000,000 kwa ajili ya Bajaj Business Plan ukamwacha jamaa na 11,000,000.

MJ

MJ kila kitu kina gharama yake unajua hata kwenda msalani hutugharimu alot of calories of energies, kwa mantiki hiyo ni kweli kabisa mheshimiwa huyu if h/she is in need of ushauri basi ita mgharimu vitu kama credit ya mawasiliano. Lakini jambo la msingi ni vyema tukaifuta fikra potofu ya kwamba ujasiliamali ni ule kwa minajiri ya kuondoa umaskini wa mtu mmoja mmoja yaani MKUKUBI, rahasha ni vyema vijana wa leo hasa graduates tukabadili mind set zetu nakufanya vitu kwa minajiri ya jamii nzima la sivyo nyimbo za ufisadi zitaelendelea kupamba press. Unaonaje muheshimiwa na milioni zake 12 akaungana na yule bwana wa ppale BENJAMINI MKAPA EXPORT ZONE mwenye milioni 16 na kuinvest kwenye kitu cha adabu zaidi na bila shaka tutapungunza malalamiko ya bidhaa fake kwa kuthamini vyetu.
 
Hata Kuku wanamlipa sana ila awe na wasimamizi makini.....na mradi endelevu.....pia hata bajaj zitamlipa na kumtoa pia....ni ujasiliamali mdogo mdogo....unafaa sana sana
 
Hata Kuku wanamlipa sana ila awe na wasimamizi makini.....na mradi endelevu.....pia hata bajaj zitamlipa na kumtoa pia....ni ujasiliamali mdogo mdogo....unafaa sana sana

Hesabu zake zimekaa sawa, ngoja nimalizie uchambuzi wa kina then ni test zali mkuu.
 
Unaonaje muheshimiwa na milioni zake 12 akaungana na yule bwana wa ppale BENJAMINI MKAPA EXPORT ZONE mwenye milioni 16 na kuinvest kwenye kitu cha adabu zaidi na bila shaka tutapungunza malalamiko ya bidhaa fake kwa kuthamini vyetu.

Yeah good idea, tatizo sina muda wa kusimamia biashara, niko nanjilinji huku navuna magimbi.
 
good idea ila bajaj zipo nyingi sana kwa sasa kulinganisha na tax, so kuwa makini na hiyo biashara
 
Uzuri wa biashara hii, unarudisha mtaji wako in one year time, the second year 16,000,000 mfukoni third year 16,000,000 4th year unauza hizo bajaj for 10,000,000.

So you can make a 42,000,000 profit in 3years time na kumbuka biashara hii haihitaji usimazi mkubwa toka kwako, wewe ni kumake sure jamaa wanakuletea hela yako kila week.

Mnaonaje.
babu hayo mahesabu kama vile mungu mnaishi nae nyumba moja na kakuhakikishia miaka mitatu utakua mzima tuu na vibajaji havijapata accidenti wala kugonga mtu wala kubamiza mecedes benzi au shoo ya gari yoyote ya gharama na kukuletea madeni badala ya faida?ushauri mzuri anza na kimoja kutest zali maana hivyo vitatu na vyote vikifululiza kuleta matatizo badala ya faida si utadata
 
Kweli wa tz sio wabunifu,yaani bajaj zilivyo jaa na wewe unaenda funga foleni???????milioni 12 but ubunifu sifuri.fuga kuku basi

Haha, na kuku nao walivyojaa sokoni pamoja na mayai yao..., Mpe ushauri unaoeleweka sio kuanza kuwalaumu wabongo waliolala bongo zao kwa sababu za kijamaa
 
babu hayo mahesabu kama vile mungu mnaishi nae nyumba moja na kakuhakikishia miaka mitatu utakua mzima tuu na vibajaji havijapata accidenti wala kugonga mtu wala kubamiza mecedes benzi au shoo ya gari yoyote ya gharama na kukuletea madeni badala ya faida?ushauri mzuri anza na kimoja kutest zali maana hivyo vitatu na vyote vikifululiza kuleta matatizo badala ya faida si utadata


Risk lazima uchukue kwenye biashara na mambo mengine mengi.

Hii kitu ikiamua kunitunuku KONDOM sivai kabisa kaka....unaona raha ya Risk.

halle-berry.jpg
 
You sound so help ful taking into consideration that you wont turn to be a" pay upfront" consultant.
BTHW do most of people at home-TZ invest in the way you are suggesting?
Thanks,
Hi! i think you real need an assiatance in entrepreneurship as well as bznees kwa ujumla, kimsingi mkuu hatua ya kwanza huwa ni generation of bznes idea and then una fanya screening kupata at least the three best ideas halafu yanafuata mengine kupitia bznes planning, resource mobilization etc or otherwise if you dont mind plz let contanct via safariwafungo@yahoo.com/+255 (0) 713 764589 at any time, your welcome!
 
Mkuu usiangalie faida tu angalia na risks, kuku wakipata kideri imetoka, Bajaj ikipata pacha unapeleka kwa fundu mwendo mdundo!
...Mndee, Bajaj unaangalia pancha tu, vipi mzee change akiipitia si ndio kwisha kazi?? Kila biashara ina uzuri na ubaya wake.Ni juu ya mhusika mwenyewe kupima faida na hasara..Good luck!
 
Risk lazima uchukue kwenye biashara na mambo mengine mengi.

Hii kitu ikiamua kunitunuku KONDOM sivai kabisa kaka....unaona raha ya Risk.

halle-berry.jpg
..Mkuu hapa kweli unaweza mtu kuamua kujitoa mhanga tu ukala chuku chukua basi mambo mengine mbele kwa mbele...Huyu dada yuko bomba..Nashangaa huwa hazeeki??
 
...Mndee, Bajaj unaangalia pancha tu, vipi mzee change akiipitia si ndio kwisha kazi?? Kila biashara ina uzuri na ubaya wake.Ni juu ya mhusika mwenyewe kupima faida na hasara..Good luck!

Hizi vitu zaweza tokea kaka , lakini si ndiyo biashara au wewe unashauri vipi?.
 
Back
Top Bottom